Mihadhara ya kidini

... AYA ZA SHETANI (The Satanic Verses). Je Wakristo wakiamua kutafsiri kile kitabu na kuanza mihadhara patakalika kweli? Nadhani Wakristo waendelee kuwa watulivu ili kulinda amani. Ila ingekuwa vema viongozi wa juu wa serikali wakakemea mambo haya. Au nao wanayafurahia?
Wanaruhusiwa mkuu kukitafsiri kwa lugha waipendayo... Tena itakuwa safi sana kama watafsiri kama kilivyo na ndipo hapo utakuja kugundua siri iliyokuwemo ndani ya hicho kitabu.

Pole mkuu kwa maswahibu hayo.... wale wote wanao ona kuwa wanasumbuliwa na hiyo mihadhara wana haki kwenda kutoa ripoti vituo husika (Polisi) nadhani watapata msaada kutoka uko na si kukaa kaa tu na kulalamikia pembeni bila kuchukuwa hatua mwafaka.
 
Nadhani hiyo ni mitaa ya magomeni na manzese si ndiyo? na hao ni waislam wanachambua the holy BIBLE. That is lack of confidence.


Bible ndo kitabu kinachoongoza kwa mauzo duniani na kinasomwa na watu wengi zaidi, hivyo wanachofanya wanazidi kukitukuza kwa kukisoma,
 
Hivi mihadhara ya kidini imeruhusiwa tena? Huku mtaani kwetu kwa muda wa wiki nzima sasa kumekuwa na mihadhara inayoendeshwa kila siku jioni na waumini wa dini moja wakichambua kitabu cha dini nyingine....

hawa watu wanachotakiwa kufanya ni kufundisha masuala ya dini yao kwa waumini wao na sio kuchambua masuala ya dini nyingine!
 
Wakuu,
Mbona mnakuwa hivyo...watanzania tunaongozwa na sheria na katiba whatsoever,kama sisi hapa JF tuanavyo enjoy uhuru wetu wa kikatiba wa kujieleza na wao kadhalika wanatumia haki kama hiyo ya kikatiba kama watanzania wengine ya kujikusanya na kuhubiri...hawavunji sheria yoyote,mbali na nyinyi kupata maudhi...si vumilieni tu, waacheni wa enjoy uhuru wao wa kutangaza dini yao na imani yao kama nyinyi mnavyo enjoy uhuru wenu wa kujieleza na kutoa maoni hapa JF...mnafikiri watu hawaudhiki na mashambulizi na matusi ya JF...si wanavumilia tu...au?

(Quote) Wanajamii wenzangu
Kama alivyosema mwanajamii mmoja, hao waachwe watumie haki yao ya kikatiba ya kujieleza na kutetea dini yao.
Kuhusu suala la kuvaa eboebo kama alivyodai mwenzetu mmoja kwamba ndiyo tabia ya hawa watu, mimi naona huko ni kuwa na mawazo finyu kwani huwezi "kujudge" imani ya mtu kutokana na uvaaji wake, mbali na kutumia mavazi kujisitiri kikamilivu inavyohitajikana. Ni vizuri pia ikaeleweka kwamba hakuni dini isyozungunzia mabaya ya dini nyingine. Wote wanatofautiana tu kwa jinsi gani na kwa namna gani. Wengine wanazungumza kwa sauti kubwa kwa kujiamini na wengine kwa mafumbo na kwa sauti za chini chini kwa kutojiamini. Ni wajibu wa msikilizaji kuchambua mwenyewe aendelee kuzikiliza au apuuzie na kama akisikiliza achuke yapi na aache yapi. Uhuru huu ni wa kila mmoja wetu
 
Wana JF hata mimi napata kigugumizi kuielewa hiyo dini na nia yake ni nini. Utakuta wakati wa mfungo wa Ramadhani mtu anakuja kugonga kwako saa 3 usiku eti anaomba futari. Nilishindwa kumuelewa. Utakuta wenzetu hawa wanaandamana siku za Ramadhani kwenda kwa Bakhresa kuomba msaada. Ni watu wazima ila uvivu na kutopata mwongozo mzuri toka kwa Wakuu wao wa dini ni tatizo. Nadhani suala la Elimu litiliwe mkazo zaidi vinginevyo ni makelele na mkanganyiko katika jamii.
 
mbona muoga hivyo husemi dini gani inakashfu nyingine? kawaida dini iliyoishiwa ni waislamu muda wote wanachambua ukristo wakati miungu hao wako tofauti
 
Hivi mihadhara ya kidini imeruhusiwa tena? Huku mtaani kwetu kwa muda wa wiki nzima sasa kumekuwa na mihadhara inayoendeshwa kila siku jioni na waumini wa dini moja wakichambua kitabu cha dini nyingine....

Hapo kwenye kuchambua kitabu cha dini nyingine siyo sahihi ni uwendawazimu!
 
Tatizo awa jamaa awana Elimu,wanasoma elimu haera ambapo awapo yani kwa kifupi awajamaa ni wafu kwani wanafanya mambo ya mizimu.kitu kingine awa jamaa awaelewi maana ya quruani wanasoma vitu ambavyo awavielewi.wengi wa viongozi wao na wao wenyewe wanajua maana ya misitari michache sana ya quruani.mi ningewashauri hao watu wa miazara watafute ile transleted quruan(Englis/swahili) watajua kwamba wako kwenye giza.
 
cartoon-ghost.jpg
image006.jpg




Ndiyo idadi kubwa ya wahitimu toka shimoni (kuzimu) iliyoanza kazi tangu mwanzo wa mwaka huu. Wengi wao ni majini kabisa, na ni rahisi kuyatambua kama unataka.
 
cartoon-ghost.jpg
image006.jpg




Ndiyo idadi kubwa ya wahitimu toka shimoni (kuzimu) iliyoanza kazi tangu mwanzo wa mwaka huu. Wengi wao ni majini kabisa, na ni rahisi kuyatambua kama unataka. Watu wengi sana wameumizwa kwenye hiyo mihadhara
 
kwakifupi hii mihadhara huudhuriwa na watu wenye imani haba,ndio maana wengi wao hujikana hata nafsi zao,huku ni kutojiamini!!
 
wanatumia uhuru wao wa kikatiba. sasa kama mnakereka basi njia nyeupeeeeeee nendeni mahakamani.
 
Terrified christians mihadahar ni muhimu kwa faida yenu yenyewe tuwaelimishe kwamba yesu si mungu ili msije kutulaumu siku ya kiama kwamba hatukuwaambia wakati mnaungua motoni
 
Terrified christians mihadahar ni muhimu kwa faida yenu yenyewe tuwaelimishe kwamba yesu si mungu ili msije kutulaumu siku ya kiama kwamba hatukuwaambia wakati mnaungua motoni

Who is terrified?

Wewe hata koran huijuwi, kwani allah nae ni mungu, au ni kiumbe?

Hivi hujuwi kuwa allah anenda choo, sasa Mungu toka lini akaenda choo. lol
 
Who is terrified?

Wewe hata koran huijuwi, kwani allah nae ni mungu, au ni kiumbe?

Hivi hujuwi kuwa allah anenda choo, sasa Mungu toka lini akaenda choo. lol
Ha ha ha una uliza majibu? who is terrified? wale wote wanaolalamika ...of course ndiyo waoga kilichobaki mtaita polisi kama kawaida yenu....lol
huna hoja..pumba tu unaongea hapo...kasome biblia kabla hujaja kubishana mambo ya Allah ni nani?
Yesu Si Mungu..mungu gani anazaliwa, kula, na kwenda ******, mungu atauuliwa msalabani na waisrael kwa kupigwa na mijeledi..uwiiiiiiiiii! hii aibu kubwa kwa wagalatia
 
Back
Top Bottom