Mkulima na Mfugaji
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 1,013
- 1,634
Asalam aleykum, niende moja kwa moja kwenye mada.
Siku hizi kumeibuka utitiri wa wahubiri wanaojiita ni wa kiislam, wanaitisha Mihadhara kwa kivuli cha dini, utasikia wanatoa wachawi, wanauza dawa, wanatoa kinga za kichawi, mwisho wa siku wanaomba michango.
Huu sio utararibu wa kiislam na wala uislam haujaelekeza hivyo. Ifikie hatua Bakwata ambacho ndio chombo kinachoaminiwa na serikali kwamba ndio wasemaji wa waislam wapige marufuku mihadhara hii.
Siku hizi kumeibuka utitiri wa wahubiri wanaojiita ni wa kiislam, wanaitisha Mihadhara kwa kivuli cha dini, utasikia wanatoa wachawi, wanauza dawa, wanatoa kinga za kichawi, mwisho wa siku wanaomba michango.
Huu sio utararibu wa kiislam na wala uislam haujaelekeza hivyo. Ifikie hatua Bakwata ambacho ndio chombo kinachoaminiwa na serikali kwamba ndio wasemaji wa waislam wapige marufuku mihadhara hii.