Miguu kama kwato za ng'ombe....

Miguu kama kwato za ng'ombe....

Loli

Senior Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
176
Reaction score
75
Jamani humu ndani nani ameshawah kukutana na Viroja vya mtu mwenye kwato kama za ng'ombe atueleze ilikuaje..? Nimewahi kusikia Madereva tax huwa wanakumbana sana na hii mambo. Au ni uzushi???
 
Jamani humu ndani nani ameshawah kukutana na Viroja vya mtu mwenye kwato kama za ng'ombe atueleze ilikuaje..? Nimewahi kusikia Madereva tax huwa wanakumbana sana na hii mambo. Au ni uzushi???

Ni ngumu kuithibitisha kwa kuwa haiwezi kuthbitishwa kwa majaribio ya kisayansi.
 
Ni mambo ya kufikirika zaidi, pia kuna mauzauza ya namna hiyo lakini pia yapo mazingaombwe
 
Yakufikirika lakini yanatokea aisee! Mimi kuna kitoto kilikua jirani yangu huko mitaa ya kwa aziz ali cha 6yrs kilimuumbua bibi mmoja "We bibi mi leo siendi na wewe kula nyama na kucheza ngoma usiku" mama mtoto kuhamaki anamuhoji mtoto anamueleza wanavyoondokaga, na wanayoyafanya. Alikua ntu wa Ntwala, akampeleka huko kwao sijui ndo kuzindikwa na akamuacha huko2 kwa babu yake.
 
Back
Top Bottom