Miguno, vilio, sauti za mahaba ukiwa kitandani

Miguno, vilio, sauti za mahaba ukiwa kitandani

Ni kweli Binti wa zamani , huwa natumia email za ambazo nakuwa hata sina access baada ya kufungua account. Na mie nina mzigo wa password inafikia kipindi ndio inakuwa kama hivyo nikabilisha tu device napoteza account haza ambazo hazinipi hata cent
Mtu mzima wewe, kuwa na encrypted password manager, siyo kila kitu mpaka mfundishwe shule.
 
Mtu mzima wewe, kuwa na encrypted password manager, siyo kila kitu mpaka mfundishwe shule.
password manager tumewaachia nyie wataalamu 🤣🤣 mie nina password moya tu naibadilisha badilisha kwenye ile ina mambo muhimu, ila sio Jf au other social media ambazo silipii kufungua account 😅😅
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom