herman joshua
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 2,305
- 3,989
Mbona kama msibani sasaš¤
Mbona kama msibani sasaš¤
Ila we si unanichora tu kweli wkt mwingine ona nimechanganya When I was your man ya Bruno Mars na If I were a boy ya B, kweli?, penzi ni madawa ya kulevya, Dah ššššView attachment 3456292
Niendelee amaā¦ā¦ā¦Hapo nimepick randomlyš
Nakutazama tu unavyohaha haha š š šIla we si unanichora tu kweli wkt mwingine ona nimechanganya When I was your man ya Bruno Mars na If I were a boy ya B, kweli?, penzi ni madawa ya kulevya, Dah šššš
Ni msiba wa furaha ouyeaaaah ashhhhMbona kama msibani sasaš¤
Akiingia mitini mbona kuna backup za vijana wengine wanaojielewa akina Al-mukheef , dosho12 , na ApolloShadow utajichagulia tu wewe mwenyewe š¤£
š¤£š¤£š¤£sikutegemea kama ungemtaja Apollo
Huyu kijana anaonekana anapenda sana kamnyweso, si atakuwa ananirudia nyumbani alfajiri sitaki mieš š
ššAnaweza kulewa penzi lako š¤£š¤£š¤£ akawa anarudi jioni mapema tu, saa kumi na moja kasoro yupo home.
Anaichapa akitoka kazini, anaichapa mkitaka kulala na unaamka imo, inatandikwa tena š¤£š¤£š¤£ hapo ndiyo utawish bora angekua mlevi wa kamnyweso š¤£
Tabia mbaya hiyo kuchungulia wakubwaš¤£š¤£š¤£Kuna libaba limoja lilikuwa linakuja kumfanyia tabia mbaya Aunt yangu some yrs back mm nikiwa std 3 na 4, aunt yangu alikuwa analia half nlikuwa sijuagi ni kwanini hata, tena huyo baba nalionaga linaitwa Mushiš¤£š¤£š¤£ kuna siku Aunt alikuja kuzima taa ya nje halafu Mushi akamdinya nje usiku
Kweli kabisa, unaweza kulia na machozi yakatoka ila kumbe āchozi la utamuā linatoka huku unasema āasante bebiāNi msiba wa furaha ouyeaaaah ashhhh
Njoo hapa masaki kwanza..
Kwahiyo ulikua unawapiga chabo ššKuna libaba limoja lilikuwa linakuja kumfanyia tabia mbaya Aunt yangu some yrs back mm nikiwa std 3 na 4, aunt yangu alikuwa analia half nlikuwa sijuagi ni kwanini hata, tena huyo baba nalionaga linaitwa Mushiš¤£š¤£š¤£ kuna siku Aunt alikuja kuzima taa ya nje halafu Mushi akamdinya nje usiku
Alafu kweli maana haiwezekani kafungua ID chap kakimbilia kwenye huu uziš š
Alizima taa ya nje sasa walifanya karibu na dirishani nikasikiaTabia mbaya hiyo kuchungulia wakubwaš¤£š¤£š¤£
I think it comes with age
- Unapenda kusikia zile sauti za mahaba au mpenzi / mwenza wako akizitoa zinakukera?
- Ushawahi kukutana na miguno au vilio vya ajabu mpaka vikakushangaza? ilikuwaje?
Mimi najitolea kusema kwa niaba ya wanawake, "wanaume tunapenda mkitoa hizo sauti zenu na mkigugumia na vile vibesi" jitahidini msitulombe kama mabubu. āØāØ
View attachment 3453022
Kwenye simulizi yangu ya mwisho ya āUtamu wa Tunda la katiā nilisahau kuzungumzia hili.
Moja ya vitu ambavyo yule kaka aliwazidi wengine ni kutoa ile sauti nzito ya kiume mambo yakinoga na kunichombeza chombeza. Moto aliokua ananipelekea tayari ulikua unanichanganya, ila ile mihemo na zile miguno ya "mmmh mamaaa" na sifa za hapa na pale vilinimaliza. āØāØāØ
SOMO LA LEO: Sauti, vilio na miguno inanogesha tendo, siyo wanawake tu na nyie wanaume pia toeni, TUNAZIPENDA!
Ni hayo tu, Alamsiki!
Analia KE tu
Unanikumbusha tukio moja hiloš„²š„²Alizima taa ya nje sasa walifanya karibu na dirishani nikasikia
Haaaah dadeki we bibi nimekushindwa au wewe ndo yule BIBI SINGELI nini maana daahUlijionea nini huko? Au na wewe uliishia kukwea mnazi na mkono kama ApolloShadow
Newlyweds Harmful , waifu material vipi bado mmelaliana?