Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 3,897
- 5,354
Ni usiku mwema kwa wote wana jf,
Nimeona ni jambo jema na la kufanyiwa kazi hasa kwa Wizara ya ardhi. Ili kuepusha migogoro na malumbano yasio na tija kwa eneo husika hasa wananchi kwenye swala la ardhi ni vyema hawa viongozi wetu tajwa hapo juu wachaguliwe kulingana na tabia nzuri zisizo na tamaa za kijinga!
Nimekuwa nikishuhudia migogoro mbalimbali ya ardhi hasa hapa Dodoma, mingi utakuta wamo waliosababisha migogoro hiyo ni wenyeviti wa mitaa pamoja na madiwani!
Kama vile uvamizi wa maeneo ya wazi, utakuta mwenyekiti wa mtaa nae anaeneo kajimegea pamoja na Diwani baadhi.
Hivyo kabla ya kuchukulia hatua wananchi tuanze na hawa madalali Chama!
Nimeona ni jambo jema na la kufanyiwa kazi hasa kwa Wizara ya ardhi. Ili kuepusha migogoro na malumbano yasio na tija kwa eneo husika hasa wananchi kwenye swala la ardhi ni vyema hawa viongozi wetu tajwa hapo juu wachaguliwe kulingana na tabia nzuri zisizo na tamaa za kijinga!
Nimekuwa nikishuhudia migogoro mbalimbali ya ardhi hasa hapa Dodoma, mingi utakuta wamo waliosababisha migogoro hiyo ni wenyeviti wa mitaa pamoja na madiwani!
Kama vile uvamizi wa maeneo ya wazi, utakuta mwenyekiti wa mtaa nae anaeneo kajimegea pamoja na Diwani baadhi.
Hivyo kabla ya kuchukulia hatua wananchi tuanze na hawa madalali Chama!