Migiro arejea na uzoefu kibao

Kusema ukweli huyu mama ni wa aina yake aisee kuwa N/katibu mkuu UN then urudi kuja kufundisha UDSM? hiyo tu inampa credit kuwa ni mtu simple sana. Nami najifunza kitu toka kwake. Kama alikosea UN ni jambo la kawaida maana si yeye peke yake aliyejiuzulu. Hongera Migiro japo umempa tumbo joto Membe na Sitta hawana amani angalia wasikuloge tu kabla ya 2015
 
Kusema ukweli huyu mama ni wa aina yake aisee kuwa N/katibu mkuu UN then urudi kuja kufundisha UDSM? hiyo tu inampa credit kuwa ni mtu simple sana. Nami najifunza kitu toka kwake. Kama alikosea UN ni jambo la kawaida maana si yeye peke yake aliyejiuzulu. Hongera Migiro japo umempa tumbo joto Membe na Sitta hawana amani angalia wasikuloge tu kabla ya 2015

Haaaaa,,.teh...teh,wamloge tena.
 
Huyu mama mbona anataka publicity kiasi hiki? TAFAKARI, Chukua hatua 2015 usirudie makosa ukijua Nyerere bado ni rais wa TZ.
 
Kama ana akili timamu ni bora akafundishe, akijifanya kujiingiza kwenye siasa za magamba, ataishia kudhalilishwa, ni bora ajilindie heshima yake tu...
 
Kama maadili ya UN kwa viongozi wa ngazi za juu wakistaafu hawatakiwi kujihusisha na siasa katika nchi zao kwa muda fulani; sasa mimi nataka kujua kipimo cha muda huo, yaani labda miezi au miaka kadhaa. Naomba utuambie huo muda fulani ni miaka mingapi kabla hatujamuuliza bwana Ki-moon!

Source: Habari leo 10/07/2012
Hakuna kitu kama hicho bwana Mwanamayu,Kumbuka Mkurugenzi mkuu wa shirika la UN-HABITAT alistaafu na kuingia siasa!Hivyo yeye kaamua kwa ridhaa yake kwenda kufundisha kwaendelea kulinda heshima yake katika hanga za kimataifa kuliko kukimbizana na magazeti kila siku maana vyombo vyote vinakuwa vinamwangali yeye anafanya nini!
 
Last edited by a moderator:
Hivi wakati anaingia kwenye siasa, aliacha kazi au aliomba likizo?
Kama aliacha kazi, ataomba kurudishwa huko, Je ana uhakika kwamba atarudi UDSM na sio chuo kingine?
Kama aliomba likizo naamini itakuwa bila ya malipo, Je yeye alikuwa hachukui malipo yoyote toka alikokuwa anafanya kazi?
 
Kwa kifupi huwezi ukawa mwanachama wa CCM,tena mwanachama makini wa chama hicho na mwenye dhamira ya dhati kwa ukombozi wa mwananchi wa kawaida na yule maskini,mkulima na wengine wanaoishi chini ya dola moja,na ukawa radhi kugombea nafasi za kisiasa katika chama hicho,unless umewahi kuhudhuria kliniki pale Mirembe... I'm telling you!

Kama maadili ya UN kwa viongozi wa ngazi za juu wakistaafu hawatakiwi kujihusisha na siasa katika nchi zao kwa muda fulani; sasa mimi nataka kujua kipimo cha muda huo, yaani labda miezi au miaka kadhaa. Naomba utuambie huo muda fulani ni miaka mingapi kabla hatujamuuliza bwana Ki-moon!

Source: Habari leo 10/07/2012
 
Akakae uko uko mlimani uku mtaani tumewashika vibaya magamba wenzie akijichanganya tu imekula kwake.
 
huyu mama angekua mchapa kazi basi angekaa term hii nzima ya pili ya ki-moon inaelekea kazi zilimshinda huko na hii siasa ya ccm na kina lowassa huyu mama hataiweza watamrushia sumu akimbie..bora ajifungie huko mlimani
 
Ni bora afanye kazi ya kufundisha, hapo ndio impact yake kwa jamii itakuwa kubwa zaidi. Hakuwa wa msaada mkubwa kwa Ki-Moon. Akikubali kuingia ktk siasa basi ajue kuwa ataimarisha au kuunda kundi jingine ndani ya CCM. Mwisho haitakuwa na tija coz serikali imetumia vibaya reasources za nchi wakati ikijaribu kukinzana na kambi kadhaa ndani ya CCM!! Watakaokuwa victims ni wananchi watazamaji.

She was very poor in the UN. Very!! She did not choose to step down, her hand was forced. Including a few others, sio yeye tu.

Naamini una chuki binafsi na huyu mama wa watu,yaani hata akirudi UDSM ambako ndiko alikopita na records zake zinajulikana vema pale UDSM wewe hutaki,kesha sema hataki u rais basi tuliza mzuka ndgu.
 
Dr.Asha-Rose Migiro,aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amerejea nchini. Aliporejea tu,akadakwa na wana-CCM mbalimbali ili wajikombe kwake na wamuombe agombee Urais 2015.Anaonekana 'Msafi' pekee aliyebakia CCM. Kitu ambacho si cha uhakika. Ugonjwa wa CCM hauna kinga wala tiba.

Kwenye Mkutano na Waandishi wa Habari jana,Dr.Migiro amesema yeye anarejea UDSM kufundisha Sheria. Akapokelewa na Mwajiri wake,Prof. Rwekaza Simpho Mukandara kurejea kazini.Tayari amerejea kwenye nyumba yake iliyopo UDSM Sehemu ya Mlimani. Je, kauli yake ni dhabiti au danganya-toto? Tujadili...
Ni hivi huyu mama UN ameshindwa kabisa ku perform na matokeo yake ki moon akamfukuza.yeye alitaka kuweka propaganda za ccm kwenye UN,yaani zile za tutafanya hiki na hiki...kumbe wapi.Kwa kifupi Migiro hana uwezo wa kiutendaji.
 
Naamini una chuki binafsi na huyu mama wa watu,yaani hata akirudi UDSM ambako ndiko alikopita na records zake zinajulikana vema pale UDSM wewe hutaki,kesha sema hataki u rais basi tuliza mzuka ndgu.
Kama kweli amefanya uamuzi wa kurudi UDSM kufundisha basi amefanya uamuzi wa hekima na busara. Lakini ninavyowafahamu hawa jamaa wa CCM hii ni geresha,anataka kuonyesha siyo mroho wa madaraka,wakati anajua jamaa yake anamwandalia nafasi nyingine ya ulaji...!
 
Kwanini Chadema wanamuogopa sana huyu mama?
We kweli umefulia kwani umeambiwa CDM wanamuogopa???? CCM imeisha chafuka hakuna wa kuiokoa hapa ilipofika si Migilo wala Membe!!!Tunangoja kupeleka watu mahakamani tuu kwa wizi na kuficha fedha zetu nje ya nchi!!!

 
Back
Top Bottom