MIFI vs Router kwa matumizi ya nyumbani

MIFI vs Router kwa matumizi ya nyumbani

Hivi hizi Router zinazouzwa na makampuni ya simu za mikononi (Tigo, Voda, Smart, Halotel etc), hivi zinaweza kuwa universal kwa sim card ya kampuni yoyote ya simu (tofauti na kampuni ilikuuzia) kutumia?
Kuna namna ya kuifanya ikawa hivyo?
 
Hivi hizi Router zinazouzwa na makampuni ya simu za mikononi (Tigo, Voda, Smart, Halotel etc), hivi zinaweza kuwa universal kwa sim card ya kampuni yoyote ya simu (tofauti na kampuni ilikuuzia) kutumia?
Kuna namna ya kuifanya ikawa hivyo?
Inawezekana ila sio zote, nyengine ni rahisi kuzifungua, nyengine mpaka ulipie na nyengine ni ngumu sana.

Cha muhimu tafuta model yake kisha google kuangalia uwezekano wa kutoa lock. Full model.
 
Inawezekana ila sio zote, nyengine ni rahisi kuzifungua, nyengine mpaka ulipie na nyengine ni ngumu sana.

Cha muhimu tafuta model yake kisha google kuangalia uwezekano wa kutoa lock. Full model.
Mkuu hii google payment method ya airtime billing inakata pesa tokea mkoba upi....!?
 
Sina uhakika mkuu, maana mara inatokea mara haitokei, ni kama wanafanya majaribio, unaweza jaribu kwako kama hio option ipo.
Showmax juzi nilisngalia sikuikuta, ila ni njia mzuri ngoja tuipe muda. Thou kwenye boomplayer naona inakubali...
 
Nimecheki haina band 800 ina maana tigo na smile hutapata kando kando ya mji utapata tu 4g ya tigo 1800mhz mjini.

Ila voda, ttcl na halotel fresh.

Pia ina mimox4 na wifi ya Ac, hivyo ni router nzuri sana.

Sema na bei nayo imechangamka.

mkuu vp ik router ipoje B593s-22 @chief mkawa
 
mkuu vp ik router ipoje B593s-22 @chief mkawa
Mkuu ipo vizuri sana except haina Lte advance, speed yake ya mwisho ni 150mbps,

Band zake ni 800/1800/2600 ambazo ni perfectly zinamatch huku kwetu, kwa mitandao yote mikubwa.

Pia ina Mimox2 kwa speed zaidi.

Functions nyengine za router kubwa pia zipo.
 
Sina uhakika mkuu, maana mara inatokea mara haitokei, ni kama wanafanya majaribio, unaweza jaribu kwako kama hio option ipo.
Mkuu kuna jamaa anatumia router hii,gb 20 za voda zinakatika ndani ya siku 2 pasipo kudownload movie au kuingia netflix na vile vile bila kuingia youtube shida itakua nini mkuu?
 

Attachments

  • 20200823_194139.jpg
    20200823_194139.jpg
    90.4 KB · Views: 37
Mkuu kuna jamaa anatumia router hii,gb 20 za voda zinakatika ndani ya siku 2 pasipo kudownload movie au kuingia netflix na vile vile bila kuingia youtube shida itakua nini mkuu?
Vifaa vyake ni vipi? Hajampa mtu password? Firewall muhimu hapo aweke firewall kumonitor na kumanage vitu gani vinatumia internet.
 
Huawei mobile wifi 2 pro
E5885L
Model E5885Ls 93a
Ninauza kwa anayehitaji
Msipate tabu kuagiza ipo hapa

32 user
All band
All network
Unaweza tumia km powerbank
Ina battery 6300mah
300 mbps speed
Inasupport 5g band WI-FI

0620552992
MAKUMBUSHO BUS STAND DSM
Bei tzs 150000/=
20201208_003132.jpg
20201208_003058.jpg
 
Mkuu ipo vizuri sana except haina Lte advance, speed yake ya mwisho ni 150mbps,

Band zake ni 800/1800/2600 ambazo ni perfectly zinamatch huku kwetu, kwa mitandao yote mikubwa.

Pia ina Mimox2 kwa speed zaidi.

Functions nyengine za router kubwa pia zipo.

shukrani mkuu lakini kwani kuna mtandao unatoa zaid ya 50MbPs kwa apa Tanzania sasa ivi maana kwa halotel napataga adi 50Mbps, kutakuwa na umuhimu gani wakuwa na iyo lte advance
 
shukrani mkuu lakini kwani kuna mtandao unatoa zaid ya 50MbPs kwa apa Tanzania sasa ivi maana kwa halotel napataga adi 50Mbps, kutakuwa na umuhimu gani wakuwa na iyo lte advance
Hio ni theoretical speed tu

Mfano kama modem yako ni 150mbps in real life unaweza pata hio 50mbps, ikiwa 300mbps ukapata 70mbps.

Hupati speed yote kama modem inavyoonyesha.
 
Simu 2 tu mkuu
Aangalie kwenye hizo simu data imetumikaje?

Na hizi router kama hujabadili default password pengine mtu wa nje ameingia na kuona password ya wifi, huwa anaangalia kama ni hizo simu mbili tu ndio zinatumika?

Kama ni router ya huawei wana app yao playstore anaweza kuimanage kirahisi.
 
Back
Top Bottom