MIFI vs Router kwa matumizi ya nyumbani

MIFI vs Router kwa matumizi ya nyumbani

taekwondo

Senior Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
131
Reaction score
244
Habari zenu wakuu?

Msaada wenu tafadhali. Nahitaji kununua kifaa kimoja wapo cha internet kwa ajili ya matumizi ya nyumbani, je ni kipi ambacho kitakuwa na speed nzuri maana napenda kustream online ila hotspot ya simu naona inakwama sana.

Msaada wenu tafadhali
 
Kama mpango wako ni kupachika line basi mifi na simu yako hazina tofauti sana.

Hamna mabadiliko makubwa utaona ukitumia mifi, simu yako na hizo umetaja router au access point kama zotenutaweka line ya mtandao.

Muhimu tafuta mtandao unaokamata vizuri hapo kwako ndio utafute hivyo vifaa.
 
Kama mpango wako ni kupachika line basi mifi na simu yako hazina tofauti sana...
Si kweli (kulingana na uzoefu wangu binafsi-mtu mwingine anaweza kuwa na uzoefu tofauti).

Natumia mifi router ya Alcatel ambayo niliinunua mwaka huu kipindi kile mambo ya working from home yamepamba moto; Na hii ilikuja baada ya kuwa napata changamoto ya internet access kwa kutumia hotspot ya simu yangu kwa connect PC. Kwa kweli internet ilikua very unstable.

Baada ya kuanza kutumia mifi router mabadiliko ni makubwa, internet access yake ni safi sana, very stable and very continuous, ni tofauti kubwa sana na nilipokua natumia simu yangu kama hotspot kuiconnect kwenye PC.
 
Si kweli (kulingana na uzoefu wangu binafsi-ntu mwingine anaweza kuwa na uzoefu tofauti)...
Yes, sio simu zote zipo sawa, nime presume ana simu yenye reasonable specs, all in all wireless tethering haihitaji massive processing power ila tu simu ikiwa na wifi chipset nzuri na antenna basi hutoona hizo shida umetaja.
 
Kwa matumizi ya sasa na ya baadae, nunua 4G LTE Router yeyote itakufaa, mifi huwezi kuunganisha vifaa zaidi ya 8 kwa wakati mmoja.

Kumbuka utaongeza vifaa siku zijazo, mfano smart TV, Game Consoles, IP Cameras, Alarm System na smart home devices zingine.
 
Habari zenu wakuu?

Msaada wenu tafadhali. Nahitaji kununua kifaa kimoja wapo cha internet kwa ajili ya matumizi ya nyumbani, je ni kipi ambacho kitakuwa na speed nzuri maana napenda kustream online ila hotspot ya simu naona inakwama sana.

Msaada wenu tafadhali
Mkuu kama una uwezo nunua Router nzuri, sio tu itakusaidia kwenye kustream online bali hata offline, kwa maisha ya kisasa router ni must have kuunganisha vifaa vyote nyumbani.

Kuhusu suala la kustream na kukwama halihusiani na router ama simu ama mifi bali aina ya modem iliotumika.

Ili kutake advantage ya mitandao yetu hio router inatakiwa iwe na:
1. Band zote, 800, 1800, 2300 na 2600 mhz, kuna band zinakuwa na speed kuliko nyengine, mfano speed ya tigo band 800 ni ndogo ila band 1800 ni kubwa sana.

2. Iwe na angalau Lte Advance (300mbps kupanda) sababu tayari mitandao yetu baadhi wana hii speed.

3. Iwe na angalau Mimox2 ila Mimox4 recomended, hii huongeza speed sana, hasa kwa Halotel, ni uwezo wa Router kupokea signal kutoka Mnara(antenna) zaidi ya mmoja.
 
Mkuu kama una uwezo nunua Router nzuri, sio tu itakusaidia kwenye kustream online bali hata offline, kwa maisha ya kisasa router ni must have kuunganisha vifaa vyote nyumbani.

Kuhusu suala la kustream na kukwama halihusiani na router ama simu ama mifi bali aina ya modem iliotumika.

Ili kutake advantage ya mitandao yetu hio router inatakiwa iwe na:
1. Band zote, 800, 1800, 2300 na 2600 mhz, kuna band zinakuwa na speed kuliko nyengine, mfano speed ya tigo band 800 ni ndogo ila band 1800 ni kubwa sana.

2. Iwe na angalau Lte Advance (300mbps kupanda) sababu tayari mitandao yetu baadhi wana hii speed.

3. Iwe na angalau Mimox2 ila Mimox4 recomended, hii huongeza speed sana, hasa kwa Halotel, ni uwezo wa Router kupokea signal kutoka Mnara(antenna) zaidi ya mmoja.
Nifungue macho kuhusu matumizi ya router offline mkuu. Ahsante Chief-Mkwawa
 
Nifungue macho kuhusu matumizi ya router offline mkuu. Ahsante
Mfano una desktop yako chumba kimoja ina movies ama games unaweza kustream zile movies ama kucheza zile games kupitia kifaa chengine mahala popote wifi inapofika bila kutumia internet.

Wenzetu wazungu vitu kama Desktop ama Nas server vinakaa tu basement, sebuleni kwake kunakuwa simple, akitaka kucheza games anawasha smart tv yake na app kama ya steam kupitia wifi inastream game kwenye tv.

App nyengine maarufu ni kama Kodi ama plex, hizi pia watu wanatumia kustream movies.
 
Mkuu kama una uwezo nunua Router nzuri, sio tu itakusaidia kwenye kustream online bali hata offline, kwa maisha ya kisasa router ni must have kuunganisha vifaa vyote nyumbani.

Kuhusu suala la kustream na kukwama halihusiani na router ama simu ama mifi bali aina ya modem iliotumika.

Ili kutake advantage ya mitandao yetu hio router inatakiwa iwe na:
1. Band zote, 800, 1800, 2300 na 2600 mhz, kuna band zinakuwa na speed kuliko nyengine, mfano speed ya tigo band 800 ni ndogo ila band 1800 ni kubwa sana.

2. Iwe na angalau Lte Advance (300mbps kupanda) sababu tayari mitandao yetu baadhi wana hii speed.

3. Iwe na angalau Mimox2 ila Mimox4 recomended, hii huongeza speed sana, hasa kwa Halotel, ni uwezo wa Router kupokea signal kutoka Mnara(antenna) zaidi ya mmoja.
Nashukuru sana chief..ngoja nijipange kwa router.
 
Mfano una desktop yako chumba kimoja ina movies ama games unaweza kustream zile movies ama kucheza zile games kupitia kifaa chengine mahala popote wifi inapofika bila kutumia internet.

Wenzetu wazungu vitu kama Desktop ama Nas server vinakaa tu basement, sebuleni kwake kunakuwa simple, akitaka kucheza games anawasha smart tv yake na app kama ya steam kupitia wifi inastream game kwenye tv.

App nyengine maarufu ni kama Kodi ama plex, hizi pia watu wanatumia kustream movies.
[emoji109][emoji109][emoji109]
 
Kama mpango wako ni kupachika line basi mifi na simu yako hazina tofauti sana.

Hamna mabadiliko makubwa utaona ukitumia mifi, simu yako na hizo umetaja router au access point kama zotenutaweka line ya mtandao.

Muhimu tafuta mtandao unaokamata vizuri hapo kwako ndio utafute hivyo vifaa.
Kwangu nikitumia LTE simu inaisha chaji haraka kuliko MIFI
 
Mkuu kama una uwezo nunua Router nzuri, sio tu itakusaidia kwenye kustream online bali hata offline, kwa maisha ya kisasa router ni must have kuunganisha vifaa vyote nyumbani.

Kuhusu suala la kustream na kukwama halihusiani na router ama simu ama mifi bali aina ya modem iliotumika.

Ili kutake advantage ya mitandao yetu hio router inatakiwa iwe na:
1. Band zote, 800, 1800, 2300 na 2600 mhz, kuna band zinakuwa na speed kuliko nyengine, mfano speed ya tigo band 800 ni ndogo ila band 1800 ni kubwa sana.

2. Iwe na angalau Lte Advance (300mbps kupanda) sababu tayari mitandao yetu baadhi wana hii speed.

3. Iwe na angalau Mimox2 ila Mimox4 recomended, hii huongeza speed sana, hasa kwa Halotel, ni uwezo wa Router kupokea signal kutoka Mnara(antenna) zaidi ya mmoja.
Mkuu nataka kununua router iko ebay, kwa upande wako unaiongeleaje. Nimeangalia bands zote ambazo zinapatika kwa eneo langu zote zipo.

 
Mkuu nataka kununua router iko ebay, kwa upande wako unaiongeleaje. Nimeangalia bands zote ambazo zinapatika kwa eneo langu zote zipo.

Nimecheki haina band 800 ina maana tigo na smile hutapata kando kando ya mji utapata tu 4g ya tigo 1800mhz mjini.

Ila voda, ttcl na halotel fresh.

Pia ina mimox4 na wifi ya Ac, hivyo ni router nzuri sana.

Sema na bei nayo imechangamka.
 
Nimecheki haina band 800 ina maana tigo na smile hutapata kando kando ya mji utapata tu 4g ya tigo 1800mhz mjini.

Ila voda, ttcl na halotel fresh.

Pia ina mimox4 na wifi ya Ac, hivyo ni router nzuri sana.

Sema na bei nayo imechangamka.
Mpya nimeona wanauza hadi dola 500, kwa maeneo yangu kipaumbele ni halotel ndio napata speed nzuri, voda sio kivile. Nimeipenda kwa sababu ina LAN PORT. Mitandao mingine hata sina haja nayo.
 
Mpya nimeona wanauza hadi dola 500, kwa maeneo yangu kipaumbele ni halotel ndio napata speed nzuri, voda sio kivile. Nimeipenda kwa sababu ina LAN PORT. Mitandao mingine hata sina haja nayo.
Kwa halotel Ni perfect mkuu, utapata speed kubwa sana.
 
Back
Top Bottom