Miezi sita ya Kikwete kuwa Madarakani

Mahiri

Member
Dec 25, 2014
12
4
Professor JK atagundua kitu kimoja namba ikibadilika kutoka 2014 kuwa 2015; kuwa miaka yake 10 imekwisha-never to return again. Kwa utafiti wangu mdogo, kafanya mazuri mengi, ila pia watu wanashangilia kila kona ya nchi kwamba kawa mzigo, hususan miji mikubwa ikiwamo Dar, Arusha, na Mwanza. Utafiti ulihusisha maswali, na baadhi ya majibu yanastua: "Nchi imeporomoka sana kiuchumi na kiusalama"; "udini umeota mizizi"; "pengo kati ya wasio nacho na walionacho limekuwa kama mlango bahari", "usalama umezorota sana na kwa mara ya kwanza tumeona watu kwa makumi wakiuwawa kwa mabomu". Yote tisa, kilicho nifungua macho kama mtu niliyezaliwa mwanzoni mwa miaka ya tisini (May 1990) ni mawili: wamachinga na "unwritten code" ya makabila madogo. Nitafafanua:

1. Wamachinga: Pamoja na kwamba eneo hili linahitaji utafiti zaidi, utawala mbovu umewasababishia umasikini mkubwa vijana hawa na hasira na ghadhabu yao kwa serikali haimithiliki. Hofu yangu ni kwamba watakuwa wavumilivu hadi lini? Je Arab spring haikusababishwa na zuluma kama hizo?

2. Unwritten code ya makabila madogo: Kumbe siri ni nyingi kwanini Tanzania ina amani tofauti na nchi nyingine. Lakini ambalo limekuwa likifanywa kwa weledi sana na awamu zote tatu (bila kuwa na katiba ama sheria inayolazimisha) ni "inclusion", yaani ushirikishwaji wa jamii ndogo katika uongozi wa nchi. Nafasi za kuteuliwa zilitumika vizuri sana kwa hili. Professor yeye labda hakujua hili ama kaamua kuharibu nchi. Kwa saa kuna jamiii nyingi hazina kabisa uwakilishi serikalini, wana hasira kwa kubaguliwa. Visingizio vimekuwa hawajasoma ama eti nchi siyo ya ukabila (sawa kabisa na mbuni kuficha kichwa mchangani akiamini hataonekana). Hawa pia wanasubiri JK aondoke wapumue, wamebanwa mbavu.

3. Rais ajaye ana kazi kwelikweli.
 
Professor JK atagundua kitu kimoja namba ikibadilika kutoka 2014 kuwa 2015; kuwa miaka yake 10 imekwisha-never to return again. Kwa utafiti wangu mdogo, kafanya mazuri mengi, ila pia watu wanashangilia kila kona ya nchi kwamba kawa mzigo, hususan miji mikubwa ikiwamo Dar, Arusha, na Mwanza. Utafiti ulihusisha maswali, na baadhi ya majibu yanastua: "Nchi imeporomoka sana kiuchumi na kiusalama"; "udini umeota mizizi"; "pengo kati ya wasio nacho na walionacho limekuwa kama mlango bahari", "usalama umezorota sana na kwa mara ya kwanza tumeona watu kwa makumi wakiuwawa kwa mabomu". Yote tisa, kilicho nifungua macho kama mtu niliyezaliwa mwanzoni mwa miaka ya tisini (May 1990) ni mawili: wamachinga na "unwritten code" ya makabila madogo. Nitafafanua:

1. Wamachinga: Pamoja na kwamba eneo hili linahitaji utafiti zaidi, utawala mbovu umewasababishia umasikini mkubwa vijana hawa na hasira na ghadhabu yao kwa serikali haimithiliki. Hofu yangu ni kwamba watakuwa wavumilivu hadi lini? Je Arab spring haikusababishwa na zuluma kama hizo?

2. Unwritten code ya makabila madogo: Kumbe siri ni nyingi kwanini Tanzania ina amani tofauti na nchi nyingine. Lakini ambalo limekuwa likifanywa kwa weledi sana na awamu zote tatu (bila kuwa na katiba ama sheria inayolazimisha) ni "inclusion", yaani ushirikishwaji wa jamii ndogo katika uongozi wa nchi. Nafasi za kuteuliwa zilitumika vizuri sana kwa hili. Professor yeye labda hakujua hili ama kaamua kuharibu nchi. Kwa saa kuna jamiii nyingi hazina kabisa uwakilishi serikalini, wana hasira kwa kubaguliwa. Visingizio vimekuwa hawajasoma ama eti nchi siyo ya ukabila (sawa kabisa na mbuni kuficha kichwa mchangani akiamini hataonekana). Hawa pia wanasubiri JK aondoke wapumue, wamebanwa mbavu.

3. Rais ajaye ana kazi kwelikweli.

i. Kwasisi wa Mikoa ya Magharibi ilokuwa imesahauliwa tangu kipindi cha Nyerere hususani Tabora, Kigoma na Rukwa, Unapomzungumzia Kikwete vibaya tunaumia sana coz he is the only president aloikumbuka mikoa hii especially kwenye barabara, we are no longer cloesed. Mfano Tabora haikuwa na Bababara hata moja ya Lami kuunganisha na mkoa mwingine, but now kuna barabara 05 zikifungua mikoa ya singida , shinyanga, kigoma, na Mbeya
ii. Kwa wale wazazi walokuwa na hamu ya kuwasomesha watoto wao kwa kushindwa kuwalipia ada shule za Saint.... hawatokuelewa ukimsema J.K vibaya. Shule hizi zimesaidia na zitasaidia sana kupunguza tofauti ya Elimu (literacy imbalance between and across regions). Siku hizi Hassan naye anasoma secondary school kama John.
iii. Kwa wale walokuwa wanakosa acessibility kuingia University kama ilivyokuwa miaka ya 90 hadi mwanzoni wa 2000 wakati kulikuwa na very stiff competition ya kuingia university pia hawatakuelewa

Tatizo unalosema la udini kwa upande wangu nadhani ni watu kukosa tu mazoea kuwa hata akina Haji nao wanahaki ya kuwa mawaziri. Ni kitu wengi hawajakizoea tangu enzi za Nyerere, ndo maana watu watasema J. K ni mdini but alichofanya Kikwete ni kutafuta a certain balancing mechanism wala sio kupendelea dini moja dhidi ya nyengine.Statistics za uteuzi wake kamwe haziwezi kusema ni mdini.
So mie namtazama JK kama ni mtu alojitahidi kutaka kupunguza tofauti ya kimaendelo kati ya mikoa, tofauti za kiellimu kati ya mikoa, na tofauti ya kidini katika utawala kwa kuamini kuwa hii ni nchi yetu sote
 
Alitumia udini kuingia madarakani kwa kutoa ahadi za udini za Kadhi na OIC. Hilo wenye akili wanalijua. Amewaondoa watu wengi wa imani nyingine na kuweka watu wa dini yake. Ubaguzi wa elimu chuo kikuu cha Dodoma ni ushahidi tosha. Yako mengi mabaya ambayo amefanya ambayo yatajulikana. Atakumbukwa kwa ukandamizaji, kutesa na kuua raia wengi kuliko Rais yeyote. Ana sura ya kucheka cheka lakini moyo wake ni mbaya sana. Heri aondoke. Hana jipya. Sina muda wa kutaja ubadhirifu wa mali za umma alioufanya yeye pamoja na mashoga zake na hata familia yake. Mataifa yanajua, na sisi tunajua. CCM wasifanye kosa kama hilo tena la kuinua mtu kama yeye. We have gone 9 years backward so far... Inasikitisha
 
Professor JK atagundua kitu kimoja namba ikibadilika kutoka 2014 kuwa 2015; kuwa miaka yake 10 imekwisha-never to return again. Kwa utafiti wangu mdogo, kafanya mazuri mengi, ila pia watu wanashangilia kila kona ya nchi kwamba kawa mzigo, hususan miji mikubwa ikiwamo Dar, Arusha, na Mwanza. Utafiti ulihusisha maswali, na baadhi ya majibu yanastua: "Nchi imeporomoka sana kiuchumi na kiusalama"; "udini umeota mizizi"; "pengo kati ya wasio nacho na walionacho limekuwa kama mlango bahari", "usalama umezorota sana na kwa mara ya kwanza tumeona watu kwa makumi wakiuwawa kwa mabomu". Yote tisa, kilicho nifungua macho kama mtu niliyezaliwa mwanzoni mwa miaka ya tisini (May 1990) ni mawili: wamachinga na "unwritten code" ya makabila madogo. Nitafafanua:

1. Wamachinga: Pamoja na kwamba eneo hili linahitaji utafiti zaidi, utawala mbovu umewasababishia umasikini mkubwa vijana hawa na hasira na ghadhabu yao kwa serikali haimithiliki. Hofu yangu ni kwamba watakuwa wavumilivu hadi lini? Je Arab spring haikusababishwa na zuluma kama hizo?

2. Unwritten code ya makabila madogo: Kumbe siri ni nyingi kwanini Tanzania ina amani tofauti na nchi nyingine. Lakini ambalo limekuwa likifanywa kwa weledi sana na awamu zote tatu (bila kuwa na katiba ama sheria inayolazimisha) ni "inclusion", yaani ushirikishwaji wa jamii ndogo katika uongozi wa nchi. Nafasi za kuteuliwa zilitumika vizuri sana kwa hili. Professor yeye labda hakujua hili ama kaamua kuharibu nchi. Kwa saa kuna jamiii nyingi hazina kabisa uwakilishi serikalini, wana hasira kwa kubaguliwa. Visingizio vimekuwa hawajasoma ama eti nchi siyo ya ukabila (sawa kabisa na mbuni kuficha kichwa mchangani akiamini hataonekana). Hawa pia wanasubiri JK aondoke wapumue, wamebanwa mbavu.

3. Rais ajaye ana kazi kwelikweli.
Kikwete ni janga amalize mda wake arud msoga kula ela za Richmond..Dowans..Iptl(simba trust) na rushwa za gesi..tumechoka ata prof.tbaijuka tunajua ni shujaa amemsaidia mtanzania Mwenzetu na mlpa kodi Rugemalila astapeliwe na wauza unga na genge lao ambao hawajalipa kod ata kumi kna miraji na meneja wao fek seth..we tired uzalendo umetushnda ela ya Jk na family inatosha kufdia asilimia 40 ya mchango wa wahsan..lowasa ata agombee urais kwa kuptia familia tunampa..tunajua rchmond alimlinda bos wake bt escrow pinda aliambiwa na lowasa dn do a mstake lyk me...
 
Kwa lugha nyepesi hii inaitwa diversion, ama trying to fit a square peg into a round hall, you will have to work too hard and seem to be doing so. Nimesoma majibu yako na kujaribu kuona kama unaelewa mada ya inclusion katika uongozi wa kitaifa kwa kutumia nafasi za uteuzi, wewe unaleta mambo ya barabara na Universities ambazo zina majibu ya kutosha katika thread zingine. Ama kweli.....kazi tunayo. Ila asante kwa kuchangia, hahahahhah!


i. Kwasisi wa Mikoa ya Magharibi ilokuwa imesahauliwa tangu kipindi cha Nyerere hususani Tabora, Kigoma na Rukwa, Unapomzungumzia Kikwete vibaya tunaumia sana coz he is the only president aloikumbuka mikoa hii especially kwenye barabara, we are no longer cloesed. Mfano Tabora haikuwa na Bababara hata moja ya Lami kuunganisha na mkoa mwingine, but now kuna barabara 05 zikifungua mikoa ya singida , shinyanga, kigoma, na Mbeya
ii. Kwa wale wazazi walokuwa na hamu ya kuwasomesha watoto wao kwa kushindwa kuwalipia ada shule za Saint.... hawatokuelewa ukimsema J.K vibaya. Shule hizi zimesaidia na zitasaidia sana kupunguza tofauti ya Elimu (literacy imbalance between and across regions). Siku hizi Hassan naye anasoma secondary school kama John.
iii. Kwa wale walokuwa wanakosa acessibility kuingia University kama ilivyokuwa miaka ya 90 hadi mwanzoni wa 2000 wakati kulikuwa na very stiff competition ya kuingia university pia hawatakuelewa

Tatizo unalosema la udini kwa upande wangu nadhani ni watu kukosa tu mazoea kuwa hata akina Haji nao wanahaki ya kuwa mawaziri. Ni kitu wengi hawajakizoea tangu enzi za Nyerere, ndo maana watu watasema J. K ni mdini but alichofanya Kikwete ni kutafuta a certain balancing mechanism wala sio kupendelea dini moja dhidi ya nyengine.Statistics za uteuzi wake kamwe haziwezi kusema ni mdini.
So mie namtazama JK kama ni mtu alojitahidi kutaka kupunguza tofauti ya kimaendelo kati ya mikoa, tofauti za kiellimu kati ya mikoa, na tofauti ya kidini katika utawala kwa kuamini kuwa hii ni nchi yetu sote
 
Kikwete sio professor wala hana u professor wowote ule.komeni kumvika kilemba cha ukoka.
Mkuu hata ukimchukia haiwezi kusaidia hata chembe jk ataendelea kubaki kwenye unora wake wa kiwangoa cha juu kabisa poleni sana wenye chuki naye kathubutu kaweza na sasa anasonga mbele.
 
Kikwete ni janga amalize mda wake arud msoga kula ela za Richmond..Dowans..Iptl(simba trust) na rushwa za gesi..tumechoka ata prof.tbaijuka tunajua ni shujaa amemsaidia mtanzania Mwenzetu na mlpa kodi Rugemalila astapeliwe na wauza unga na genge lao ambao hawajalipa kod ata kumi kna miraji na meneja wao fek seth..we tired uzalendo umetushnda ela ya Jk na family inatosha kufdia asilimia 40 ya mchango wa wahsan..lowasa ata agombee urais kwa kuptia familia tunampa..tunajua rchmond alimlinda bos wake bt escrow pinda aliambiwa na lowasa dn do a mstake lyk me...
Watu kama wewe mmesoma kwa fadhira za jk eti leo naww umamkejeli jk familiayenu yote bila jk pengine ingesambaratika kabisa kawasaidia leo mnamuona hata maana,jk kafanya makubwa kwasaa unakwama wapi wakati lami kila sehemu?
 
Jk atakumbukwa kwa haya maendeleo pia.
image.jpg
 
Huo utafiti wako nadhani umeufanya kwenye vigodoro. Mathalan unasema kuwa uchumi umeporomoka. Hujatuambia umeporomoka kwa digits ngapi.
 
Huo utafiti wako nadhani umeufanya kwenye vigodoro. Mathalan unasema kuwa uchumi umeporomoka. Hujatuambia umeporomoka kwa digits ngapi.


Nilifikiri utakuja na. hoja mahsusi ikiwemo kutuwekea hizo digits kumbe umekuja na ubongo wako ule ule Wa kamasi.....

Too low!!!
 
Kijana usipende kutukana, wala hilo haliongezi nguvu katika hoja yako. Soma hapa

"Dar es Salaam.
Tanzania has dropped eight positions in the list of Africa's most prosperous countries. http://www.thecitizen.co.tz/News/DE...rity/-/1840392/2567876/-/u891ohz/-/index.html


According to new research released by the UK-based Legatum Institute, Tanzania has been ranked number 19 out of 38 surveyed African countries. In 2012, the country was ranked 11. It also ranked 117 out of 142 surveyed countries worldwide.

Among major criteria considered for the index include infrastructure, good governance and business climate. Others include adequate health-care, education, personal freedom, safety and security issues as well as entrepreneurship and opportunities". Upo?




Huo utafiti wako nadhani umeufanya kwenye vigodoro. Mathalan unasema kuwa uchumi umeporomoka. Hujatuambia umeporomoka kwa digits ngapi.
 
i. Kwasisi wa Mikoa ya Magharibi ilokuwa imesahauliwa tangu kipindi cha Nyerere hususani Tabora, Kigoma na Rukwa, Unapomzungumzia Kikwete vibaya tunaumia sana coz he is the only president aloikumbuka mikoa hii especially kwenye barabara, we are no longer cloesed. Mfano Tabora haikuwa na Bababara hata moja ya Lami kuunganisha na mkoa mwingine, but now kuna barabara 05 zikifungua mikoa ya singida , shinyanga, kigoma, na Mbeya
ii. Kwa wale wazazi walokuwa na hamu ya kuwasomesha watoto wao kwa kushindwa kuwalipia ada shule za Saint.... hawatokuelewa ukimsema J.K vibaya. Shule hizi zimesaidia na zitasaidia sana kupunguza tofauti ya Elimu (literacy imbalance between and across regions). Siku hizi Hassan naye anasoma secondary school kama John.
iii. Kwa wale walokuwa wanakosa acessibility kuingia University kama ilivyokuwa miaka ya 90 hadi mwanzoni wa 2000 wakati kulikuwa na very stiff competition ya kuingia university pia hawatakuelewa

Tatizo unalosema la udini kwa upande wangu nadhani ni watu kukosa tu mazoea kuwa hata akina Haji nao wanahaki ya kuwa mawaziri. Ni kitu wengi hawajakizoea tangu enzi za Nyerere, ndo maana watu watasema J. K ni mdini but alichofanya Kikwete ni kutafuta a certain balancing mechanism wala sio kupendelea dini moja dhidi ya nyengine.Statistics za uteuzi wake kamwe haziwezi kusema ni mdini.
So mie namtazama JK kama ni mtu alojitahidi kutaka kupunguza tofauti ya kimaendelo kati ya mikoa, tofauti za kiellimu kati ya mikoa, na tofauti ya kidini katika utawala kwa kuamini kuwa hii ni nchi yetu sote

Nyerere alikusahau kivipi wakati mtu wa kwanza akiwa waziri kutandikwa viboko idadi fulani wakati anaingia jela na idadi nyingine wakati anatoka akamuonyeshe mkewe alikuwa anatoka Tabora?
 
Siku za mwana muziki huyu zinahesabika kama ambavyo za Drt,kikwete zinavyo hesabika,simtabirii vibaya wala mimi si mtabiri bali nawahakikishia siku Drt.kikwete anaondoka madarakani na habariyake itakuwa imeishia hapo.

NA HAPO NDIPO ATAKAPOJUA NINI MAANA YA SIASA NA KUJIPENDEKEZA
 

Attachments

  • 10931534_595040553930897_4984375600942173010_n.jpg
    10931534_595040553930897_4984375600942173010_n.jpg
    9.8 KB · Views: 230
Hata Marlaw alivuma sana baadaye akatumika kisiasa matokeo yake amepolea mbali.
 
Back
Top Bottom