Miezi sita ya Godbless Lema Bungeni

Miezi sita ya Godbless Lema Bungeni

Acha ulimbukeni wewe katika miezi sita GODBLESS LEMA,amechangisha pesa kwa wahisani na baadhi ya wananchi na kusomesha watoto 400 shule ya sekondari na aliwapeleka wenzetu ambao ni wagonjwa zaidi ya watu 70 loliondo kutibiwa ambao kutokana na ubovu wa hospital za seikali ya mafisadi wamekosa matibabu.Anguko la CCM LIMETIMIA.
 
not enough! hata kumlipia ada mwanafunzi mmoja ni impact kubwa kwa jamii. Kumsomesha mwanao tu ina impact kwa jamii nzima sembuse hao wanafunzia 400?
 
mimi hapo ndo nashangaa kweli kweli mpaka najisikia kuchanganyikiwa, bado tuna misemo ya kizamani ya mbunge atatufanyia nini, mimi najua vizuri majukumu ya mbunge nini , na utaratibu wa serikali wa utoaji wa ruzuku kwa wilaya kwa ajili ya maendeleo ambako ndiko atokako mbunge, sijajua mliyempongeza huyo kwa kuchanganyikiwa kwake mmetumia vigezo gani ?
 
mimi hapo ndo nashangaa kweli kweli mpaka najisikia kuchanganyikiwa, bado tuna misemo ya kizamani ya mbunge atatufanyia nini, mimi najua vizuri majukumu ya mbunge nini , na utaratibu wa serikali wa utoaji wa ruzuku kwa wilaya kwa ajili ya maendeleo ambako ndiko atokako mbunge, sijajua mliyempongeza huyo kwa kuchanganyikiwa kwake mmetumia vigezo gani ?
Tunampongeza Mh Godbless Lema kwa vitu alivyovifanya,kabla hata ya bajeti ya manispaa ya ARUSHA kutoka,mana hakuna bajeti anayoisimamia katika jimbo lake mpaka mwezi wa saba itapopitishwa,sas namshangaa yule aliyeleta mada
 
mimi hapo ndo nashangaa kweli kweli mpaka najisikia kuchanganyikiwa, bado tuna misemo ya kizamani ya mbunge atatufanyia nini, mimi najua vizuri majukumu ya mbunge nini , na utaratibu wa serikali wa utoaji wa ruzuku kwa wilaya kwa ajili ya maendeleo ambako ndiko atokako mbunge, sijajua mliyempongeza huyo kwa kuchanganyikiwa kwake mmetumia vigezo gani ?
 
mimi hapo ndo nashangaa kweli kweli mpaka najisikia kuchanganyikiwa, bado tuna misemo ya kizamani ya mbunge atatufanyia nini, mimi najua vizuri majukumu ya mbunge nini , na utaratibu wa serikali wa utoaji wa ruzuku kwa wilaya kwa ajili ya maendeleo ambako ndiko atokako mbunge, sijajua mliyempongeza huyo kwa kuchanganyikiwa kwake mmetumia vigezo gani ?
 
huo ni ushabiki au ukweli mbona mnakwepa hoja, mbunge atawaletea wananchi kwa kutoa hela yake mfukoni ? pesa si zipo zinazotengwa na serikali na mkurugenzi mtendaji ndiye msimamizi mkuu , mbunge yeye ni mwakilishi wa wananchi kufuatilia utekelezaji full stop
 
Amekua kiongozi wa migomo Udom! Shame on you Lema
Haya binti wa NAPE naona unawaza kwa kutumia makamasi akili umeifungia kabatini haya nenda ofisi za CCM ukachukue posho kwa kazi ulioifanya
 
Amekua kiongozi wa migomo Udom! Shame on you Lema
Kijana wa NAPE unatumia makamasi kufikiri you are the only foolishing dog bark at the flying bird,haya nenda kachukue posho kwenye ofisi za CCM kwa kazi ulioifanya.
 
NOT ENOUGH nadhani kuna lingine zaidi kati yako na Lema nifikiri kama miezi 6 ni hoja ya msingi sana
 
acha ulimbukeni wewe katika miezi sita godbless lema,amechangisha pesa kwa wahisani na baadhi ya wananchi na kusomesha watoto 400 shule ya sekondari na aliwapeleka wenzetu ambao ni wagonjwa zaidi ya watu 70 loliondo kutibiwa ambao kutokana na ubovu wa hospital za seikali ya mafisadi wamekosa matibabu.anguko la ccm limetimia.

loliondo!!!
 
Shikamoo Mh Mbunge, napenda kukumbusha kwamba sasa hivi imeshatimia miezi sita tangu uingie bungeni rasmi nafasi ambayo uliipigania sana na Mungu akakusaidia ukaipata. Nadhani umeshahudhuria vikao kama vinne hivi vya bunge ikiwemo hiki cha bajeti. Nimeona leo tuae chini mimi na wewe tupitie ile check list yetu yaani mimi mwananchi na wewe Mh Mbunge. Check list inajumuisha yote yale uliyoongea mwaka jana katika kipindi cha miaka mitatu ukiwa unapambana na Mama yetu Batilda. Mimi check list yote ninayo ila mwenzangu sijui kama ullitunza ili ikusaidie kwenye safari yako ya 2015. Kama hutojali naomba uniwekee check list yako hapa ili niangalie ni lipi umekwishalifanya ndani ya kipindi hiki cha miezi sita.
sasa kama checklist unayo unataka aweke yake ya nini? Si utumie uliyonayo kucheck kama anatimiza au la? Pia kabla hujaanza na ya Lema hebu anza na ya JK.
 
Not Enough we vipi check list yako kaanayo sisi hatuna haja nayo kipaumbele chetu ni maandamano mpaka kieleweke chali wangu.Tumeshatimiza ahadi kibao unakumbuka maandamano ya Arusha walikufa watu watatu hayo si maendeleo ?.Nyamongo hamkumsikia Lema ?,UDOM alikuwepo kaamashisha maandamano ya katiba mpya ?,Unakumbuka maakamani kesi ya Mbowe alishiriki kumbeba unataka nini wewe acha roho mbaya chaliii wangu.Mjengoni alimtoa jasho Pinda mpaka spika akamsaidia,Umesahau mbunge wetu alisema mlango ufungwe watangwane makonde ?.Umesahau katoa CD kali au wewe hupendi muziki hakuna mbunge aliewahi kutoa burdani kwa wapiga kura wake na Tanzania kwa ujumla.Acha roho mbaya Lema ni mbunge wa maisha Arusha.
Acha kejeli wewe!
 
Hawa magamba wanahaha sana yani ni malimbukeni wa fikra,baba zao wanaiba kodi za watanzania sasa wanahofu mapinduzi yamefika mali zao na wao kuwekwa ndani na huko masaki kunyang'anywa kila kitu,wadogo zao waliopo Marekani wanaotumia kodi za watanzania kurudishwa nchini,ANGUKO LA CCM LIMETIMIA.
 
CCM yapata watu wasiokuwa na fikra endelezi,mwisho wao umefika.
 
Habari ndiyo hiii...

Shule za sekondari kuliko awamu zote changanya na mkoloni.


Idadi kubwa ya wanafunzi waliofeli na waliopata ZERO kuliko awamu zoooote changanya na Mkoloni.


Intake ya vyuo vikuu, kuliko awamu zote changanya na Mkoloni.


Idadi kubwa ya MIGOMO haswa U-DOM aliyoibuni kutokana kutotimizwa Matakwa yao changanya na Mkoloni.


Barabara za lami kuliko awamu zote changanya na mkoloni.


Idadi kubwa ya AJALI za Barabarani zaidi kutokana na ufinyu wa barabara hizo changanya na Mkoloni.


Kushuka utegemezi wa nchi za nje, kuliko awamu zote changanya na mkoloni.


DENI la taifa limezidi kukua kiasi cha Bajeti yetu ya Mwaka 2011-2012 kulipa madeni hayo changanya na Mkoloni.


Zanahanati, kuliko awamu zooote changanya na mkoloni.


MADAWA kukosekana katika Zahanati hizo kupelekea wakina mama kujifungulia Majumbani changanya na Mkoloni.

Ubora wa vifaa vya mahospitali, kuliko awamu zooote, changanya na mkoloni.

Ongezeko kubwa la Wananchi pamoja na viongozi karibu wooote wa Gambaz kwenda kwa BABU WA LOLIONDO kunywa kikombe baada ya kugundua Hospitali nyingi ni majengo na gharama kuuubwa ukilinganisha na kwa Babu Shs.500 tu changanya na MkoloniMagonjwa sugu yanayo pimika na kutibiwa nchini, kuliko awamu zooote changanya na mkoloni.


Ongezeko kubwa la Wananchi pamoja na viongozi karibu wooote wa Gambaz kwenda kwa BABU WA LOLIONDO kunywa kikombe baada ya kugundua Hospitali nyingi ni majengo na gharama kuuubwa ukilinganisha na kwa Babu Shs.500 tu changanya na Mkoloni

Kufunguwa midomo upinzani (demokrasia), kuliko awamu zoooote changanya na mkoloni.


Idadi kuuubwa ya Maandamano ya kudai haki mbalimbali sio kwa vyama vya siasa tu,bali hata Wanavyuo,Wanafunzi wa Sekondari,Wanafunzi wa Shule za msingi kudai Matuta,Mikopo nk.kuliko awamu zoooote changanya na mkoloni.

Unalo?

Ongezea nitakujibu... Hayo ni ya taifa bado yake ya Binafsi...
 
Shikamoo Mh Mbunge, napenda kukumbusha kwamba sasa hivi imeshatimia miezi sita tangu uingie bungeni rasmi nafasi ambayo uliipigania sana na Mungu akakusaidia ukaipata. Nadhani umeshahudhuria vikao kama vinne hivi vya bunge ikiwemo hiki cha bajeti. Nimeona leo tuae chini mimi na wewe tupitie ile check list yetu yaani mimi mwananchi na wewe Mh Mbunge. Check list inajumuisha yote yale uliyoongea mwaka jana katika kipindi cha miaka mitatu ukiwa unapambana na Mama yetu Batilda. Mimi check list yote ninayo ila mwenzangu sijui kama ullitunza ili ikusaidie kwenye safari yako ya 2015. Kama hutojali naomba uniwekee check list yako hapa ili niangalie ni lipi umekwishalifanya ndani ya kipindi hiki cha miezi sita.
Kichekesho, wewe unasema unayo checklist ya aliyoyaahidi na hapohapo unamwomba akuwekee list yake ili uangalie lipi alilokwishalifanya! Acha ubabaishaji, kama kweli unayo iweke hapa jamvini ndiyo umchallenge maana wewe ndiye mwenye uchungu sana na hiyo checklist. Mkampe Batilda Buriani, Nape aliyewatuma, Mukama bila kumsahau Mzee wa kuchakachua a.k.a. JK kwamba Arusha tumechoka kuwakilishwa na vimada wa wakubwa. Ahamie Bagamoyo au kokote kwa vilaza lakini si hii Arusha.
 
Back
Top Bottom