KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,758
- 39,493
Usikariri si kila demu utadanganya aisee
Unataka kusema mtani hudanganyiki....??..
Usikariri si kila demu utadanganya aisee
hah haha hah hahMwanaume ukiwa na hela mistari na ujasiri vinakuja automatic...lakini ukiwa hata mia huna mfukoni...unakuwa mdogo kama piriton.......
Mimi mwenyewe nikiwa na elfu kumi tu na nimekula nimeshiba nakuwa na ujasiri wa ajabu na mistari inashuka yenyewe kiasi najihisi naweza kumuimbisha mpaka first lady......
BOSS NI HELA.....
ni kweli muda mrefuLong time sana.......nini lakini.....?.......Kwani kuna sheeeder.........?
Unataka kusema mtani hudanganyiki....??..
ni kweli muda mrefu
niko poa
nlikuwa najiskia aibu kuja hapa jukwaan nlisemwa sana na wana jf
Ukitumia hela mtani.nadanganyika ila maneno ya masifa sitaki
eti mamaafacebook mimi ni domo zege ??
jamani mwanaume longolongo simwezi
kwani ww miss chagga ni demu, msichana, mmama au mbibi???
cuz nataka nimwage mistari plus escrow:A S-rap:
Please dontmadamex naomba nikuPM
Please dont
Mmama aiseee
eti mamaafacebook mimi ni domo zege ??
nina allergy na wanaume wa JFkwann tena mtoto mzuri mwenye macho ka ndulele!
Uniambie nimematch nguo na macho........wakati najua nimevaa Xmas tree na nina macho mekundu ka mchawi.........mbona utanifehemu.............
nina allergy na wanaume wa JF