mafurikoyamoto
Senior Member
- Sep 13, 2013
- 160
- 53
Kijiweni utasikia "wanawake bwana sijui kwanini wanapenda wanaume malaya"
yaani jamaa leo yupo na huyu kesho yupo na yule tena mademu warembooo........ Alafu mchizi mwenyewe wa kawaida tu!!!
Kwani si kweli lakini..... Hawa vicheche wanaomaindiwa sana na dada zetu si wapo tunaishi nao uraiani......
Kijiweni hapo hapo utapewa majibu simpo simpo kama hivi..........."wale machizi wanakuwaga wamechanjiwa dawa"
aah nani kasema.... Na ww si ukachanjwe basi, tuone km utaambulia kitu.
NI KWAMBA WENZETU WANAJUA KUPANGILIA MAMBO, HAKUNA UCHAWI HAPA.
Ishu ni kwamba masela tunashindwa kuunganisha vidoti kutengeneza mistari ya maana tukaeleweka.
Hivi inakuaje kidume km wewe ukiongea na demu mkali akili inakuruka ulimi unakakamaa mikono inatetema kama ya mnywa gongo??
Ivi inakuaje dume zima unapepesapepesa macho unashindwa kumface demu direct in her eyes??
Ivi inakuaje beberu zima lenye midefu kama ww unashindwa kuuliza vitu vya msingi.... Eti dada unakaa wapi?? Mara eti dada una miaka mingapi?? Unafanya kazi gani?? ....buuuuulshit....yaani kuonana nae tu dakika mbili unataka ujue ana age gani......ili iweje>??
Akikujibu hana kazi utampaa>??
Ukijibiwa kunya unaanza oh demu anajisheua.....wakati ww ndio sheeda!
Ndio maana wengi mnakuja kutongozea hapa jm......unashindwa kutongoza demu unaemwona live utaweza kutongoza hii migumegume ya jm>??
Sijui...ila mm nlitestigi zali hadi leo sijafanikiwa.....ila wa kitaani napiga ninapotaka!!
sasa wanangu ngoja niwape matekniki ya kufaulisha
uwe smart mwangalie usoni
anza kwa maneno mazuri ya kipekee..... Ikiwezekana mchekeshe, mfano
.... Vp dada kwema? Hongera umependeza hadi raha (ok asantee)..... Mh alafu hivi umewezaje kumechi
mavazi na rangi ya macho yako? Hapo lazima adate...anaweza akacheka au kusmile....moyoni
atakuwa anajisemea....ahaa kumbe nimemechi.... Alafu atajiuliza hivi kwani macho yangu yakoje au yana rangi gani??......huenda hakuna mwanaume alishawahi kumwambia hivo....so hapo ushajipatia u special kiasi fulani....
Atatamani muendelee na maongezi
ila kumbuka huu sio muda muafaka kuomba namba..subiri maongezi yanoge.....
Wakati mnaagana usisahau usisahau kuonesha umefurahi kuonana nae.........."nimefurahi sana kukutana na wewe it was so special to me".......then omba km mtaweza kuonana tena......."ningefurahi sana km tutaweza kuonana tena".....na huo ndio muda muafaka na kuomba likontakti.......
Ni hayo tu kwa leo
happy new year.....sina bifu na mtu
yaani jamaa leo yupo na huyu kesho yupo na yule tena mademu warembooo........ Alafu mchizi mwenyewe wa kawaida tu!!!
Kwani si kweli lakini..... Hawa vicheche wanaomaindiwa sana na dada zetu si wapo tunaishi nao uraiani......
Kijiweni hapo hapo utapewa majibu simpo simpo kama hivi..........."wale machizi wanakuwaga wamechanjiwa dawa"
aah nani kasema.... Na ww si ukachanjwe basi, tuone km utaambulia kitu.
NI KWAMBA WENZETU WANAJUA KUPANGILIA MAMBO, HAKUNA UCHAWI HAPA.
Ishu ni kwamba masela tunashindwa kuunganisha vidoti kutengeneza mistari ya maana tukaeleweka.
Hivi inakuaje kidume km wewe ukiongea na demu mkali akili inakuruka ulimi unakakamaa mikono inatetema kama ya mnywa gongo??
Ivi inakuaje dume zima unapepesapepesa macho unashindwa kumface demu direct in her eyes??
Ivi inakuaje beberu zima lenye midefu kama ww unashindwa kuuliza vitu vya msingi.... Eti dada unakaa wapi?? Mara eti dada una miaka mingapi?? Unafanya kazi gani?? ....buuuuulshit....yaani kuonana nae tu dakika mbili unataka ujue ana age gani......ili iweje>??
Akikujibu hana kazi utampaa>??
Ukijibiwa kunya unaanza oh demu anajisheua.....wakati ww ndio sheeda!
Ndio maana wengi mnakuja kutongozea hapa jm......unashindwa kutongoza demu unaemwona live utaweza kutongoza hii migumegume ya jm>??
Sijui...ila mm nlitestigi zali hadi leo sijafanikiwa.....ila wa kitaani napiga ninapotaka!!
sasa wanangu ngoja niwape matekniki ya kufaulisha
uwe smart mwangalie usoni
anza kwa maneno mazuri ya kipekee..... Ikiwezekana mchekeshe, mfano
.... Vp dada kwema? Hongera umependeza hadi raha (ok asantee)..... Mh alafu hivi umewezaje kumechi
mavazi na rangi ya macho yako? Hapo lazima adate...anaweza akacheka au kusmile....moyoni
atakuwa anajisemea....ahaa kumbe nimemechi.... Alafu atajiuliza hivi kwani macho yangu yakoje au yana rangi gani??......huenda hakuna mwanaume alishawahi kumwambia hivo....so hapo ushajipatia u special kiasi fulani....
Atatamani muendelee na maongezi
ila kumbuka huu sio muda muafaka kuomba namba..subiri maongezi yanoge.....
Wakati mnaagana usisahau usisahau kuonesha umefurahi kuonana nae.........."nimefurahi sana kukutana na wewe it was so special to me".......then omba km mtaweza kuonana tena......."ningefurahi sana km tutaweza kuonana tena".....na huo ndio muda muafaka na kuomba likontakti.......
Ni hayo tu kwa leo
happy new year.....sina bifu na mtu