uporo wa wali ndondo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,455
- 2,237
US insect spy drone,usidhani ni mbu,ni drone inachukua picha,inakufyonza damu kama mbu na kuipeleka kunakohusika kama wanataka DNA yako.
Inaweza hata kukuwekea sumu.
hii kitu ina jiko kwa ajili ya kuchemshia msosi marubani,na pia toilet.
hiyo ni B2 USA
tunaposema ndege aina ya f.22 hazionekani ktk radar tunamaanisha ktk nchi gani maana hizo ndege zisizoonekana hata urusi anazo sasa atashindwaje kutengeneza radar za aina hiyo,je zile gari za s.400 mmeziona?
Pamoja na yote hayo lakini zimeshindwa kwenye maeneo mengi, mfano ni milima ya Tora Bora Afghanstan na zimeshindwa kulinda maslahi ya marekani na kuwalinda wamarekani popote ulimwenguni
tunaposema ndege aina ya f.22 hazionekani ktk radar tunamaanisha ktk nchi gani maana hizo ndege zisizoonekana hata urusi anazo sasa atashindwaje kutengeneza radar za aina hiyo,je zile gari za s.400 mmeziona?
aisee hili swali zuri kweli!
_ina maana mrusi anaweza peleka ndege kama hiyo marekani na mmarekani asiione ?
aisee hili swali zuri kweli!
_ina maana mrusi anaweza peleka ndege kama hiyo marekani na mmarekani asiione ?
kuna jamaa yangu wa karibu sana ni mwanajesh amenitonya kua bongo zipo drones si chini ya 4 mitambo ya kuendeshea ishafungwa tayar wataalamu washapelekwa kusomea hzo mambo huenda mwishon mwa mwaka huu wakarud,anadokeza kuna heavy weapon za kisasa zimenunuliwa zaid toka china na rusia.,pesa inayotumika hapo hai husian na bajet ya ndan bali ni pesa zinazopatikana toka UN kwa kufanya mision za kijesh kwenye mataifa yenye vurugu,pia vingne ni nkopo.
aaaaah! mnavujisha siri za jeshi sio?
wabongo bhana mbona Marekani wanavujisha.
Sisi kufika hapo sijui ni lini? Ukiuliza utaambiwa HATUNA UGOMVI NA JIRANI ZETU!
Labda lugha nzur ni kusema "its hard to detect" sio huwez kuiona kbsa... kwa kawaida Radar mfano dopler huakisi metal in form of detection na kurudisha taarifa kwa Source hapo ndio tunasema umeonwa na Radar (lazima kuwe na two way transmission) sasa kwa muundo wa ndege km F-22, B2 au stealthy yoyote ile ikishapigwa na zile waves umbo lake haliruhusu mwangwi kurudi kwenye source ili kukamilisha ile process... lile umbo na material vina absorve zile waves halaf inasababisha taarifa kutorudi so kama mnatumia Radar za Kisasa mtapata tu signal ila hamwez jua ndege iko wap, hamwez itarget, hamwez jua ziko ngap, hamwez jua iko umbali gan na pia hamwez jua ni fighter au bomber so how well can u prepare for counter measures na hili linachanganya zaid.
Kama uko na Anti aircraft mfano Tunguska unaweza kuipiga ukishaiona kwa macho na kama iko within the altitude sasa ndo uombe yeye awe hajakuona ww cz most likely pilot ndio ataanza kukuona ww kwanza through his infrared or gogles cam... Yet hardwares like these doesnt guarantee you anythng...
hahahhahahaa hizo ndio za ukweli kabisa kabisa, hizo ndio ngumi za kuonyeshana ubabe na msuli sio za kujificha halafu unapiga kwa kuvizia, huo ni uoga wa hali ya juu, jitokezeNyie mnacheza ,,..sie tuko vizuri bana kwenye haya mamboView attachment 161774
Dduh!!! Mossa wanikosha saana. Nii nyumayo Mkuu nafuatilia Nyuzizo. Aksante.