Microsoft wazindua nokia x2 affordable 1gb ram smartphone

Microsoft wazindua nokia x2 affordable 1gb ram smartphone

yani siku hizi ni fashion kuandika negative news za nokia/msft si kweli kama inakataa whatsap ila ni kwamba whatsapp haipo store ya nokia.

kueka whatsap unainstall 1mobile market unadownload whatsapp. Ikikataa unaeka whatsapp plus ambayo asilimia mia inafanya kazi

Ntake radhi Chief Mkwawa mimi nimesema inasumbua kuweka whats app sijasema inakataa ( na inasumbua kamamwenyewe ulivyotaja huo mlolongo wa hatua za kuipata) kwa mtu asiye mjuzi wa mambo ya simu zitamsumbua
 
Whathssap ipo kwenye store ya Nokia ndio nnayotumia ila App nyingi azipo labda udonloding kwa cm nyingine ufanye kutuma mwenyewe naiuza
 
5d4beba3cb4d56e56275bb069fb3b4c1.jpg
 
Jaman whathssap ipo kwenye play stoy app zingine ndio zinazingua ila ukifanya kutuma zinafanya kazi vzr na inasaport app nyingi sana
 
Dah. Nokia wanakosea sana kuikuambatia android.
Hakuna ubunifu zaidi ya android?

Android ni uchafu kwa smart users wengi wa smartphone.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom