Microsoft wazindua nokia x2 affordable 1gb ram smartphone

Microsoft wazindua nokia x2 affordable 1gb ram smartphone

Chief-Mkwawa

Platinum Member
Joined
May 25, 2011
Posts
32,229
Reaction score
44,239
Leo microsoft wamezindua simu mpya ya nokia x2 ambayo inarun forked android version ya aosp. Simu hiyo ambayo itauzwa around 220,000(bila vat) inatumia processor ya snapdragon 200 cortex a7 dualcore, ina ram 1gb na internal 4gb pamoja na uwezo wa memory card. itakuwa na camera ya 5mp na camera ya mbele vga. Simu hio yenye kioo cha wvga 4.3 inch itakuwa inawasuccess nokia x, x+ na xl.

x2-nokia.png


Nokia wameimprove vitu hivi kwenye hii simu.
1. RAM ya 1gb wakati nokia x ilikuwa na 512mb
2. Opera mobile ndio default browser
3. Ina button 2 za mbele sasa hivi back na home key
4. Swipe left au right kuingia multitasking na fastlane
5. Slightly decent processor compare to old x series
6. 1800mah battery compare with 1500mah battery of nokia x

For me hii ni simu nzuri na inaondoa haja ya kununua old nokia x series.

Guys nyie munaionaje bei na specs zinaendana?
 
chief wale wa tecno na huawei y300 watakuwa wamepata mkombozi maana tumechoka na msaada p3,p5,m3,huawei y300 nk.
 
leo microsoft wamezindua simu mpya ya nokia x2 ambayo inarun forked android version ya aosp. simu hiyo ambayo itauzwa around 220,000(bila vat) inatumia processor ya snapdragon 200 cortex a7 dualcore, ina ram 1gb na internal 4gb pamoja na uwezo wa memory card. itakuwa na camera ya 5mp na camera ya mbele vga. simu hio yenye kioo cha wvga 4.3 inch itakuwa inawasuccess nokia x, x+ na xl.
x2-nokia.png


nokia wameimprove vitu hivi kwenye hii simu.
1. ram ya 1gb wakati nokia x ilikuwa na 512mb
2. opera mobile ndio default browser
3. ina button 2 za mbele sasa hivi back na home key
4. swipe left au right kuingia multitasking na fastlane
5. slightly decent processor compare to old x series
6. 1800mah battery compare with 1500mah battery of nokia x

for me hii ni simu nzuri na inaondoa haja ya kununua old nokia x series.

guys nyie munaionaje bei na specs zianendana?

Naweza kuipata wapi hii simu?
 
hapo wameweza kunishawishi ila upatikanaji ndiyo shida wa hiyo simu, utaipata wapi?
 
leo microsoft wamezindua simu mpya ya nokia x2 ambayo inarun forked android version ya aosp. simu hiyo ambayo itauzwa around 220,000(bila vat) inatumia processor ya snapdragon 200 cortex a7 dualcore, ina ram 1gb na internal 4gb pamoja na uwezo wa memory card. itakuwa na camera ya 5mp na camera ya mbele vga. simu hio yenye kioo cha wvga 4.3 inch itakuwa inawasuccess nokia x, x+ na xl.
x2-nokia.png


nokia wameimprove vitu hivi kwenye hii simu.
1. ram ya 1gb wakati nokia x ilikuwa na 512mb
2. opera mobile ndio default browser
3. ina button 2 za mbele sasa hivi back na home key
4. swipe left au right kuingia multitasking na fastlane
5. slightly decent processor compare to old x series
6. 1800mah battery compare with 1500mah battery of nokia x

for me hii ni simu nzuri na inaondoa haja ya kununua old nokia x series.

guys nyie munaionaje bei na specs zianendana?

Hiyo simu ikifika Bongo bei juu yaani bila 350K hutoipata nimeona x , x+ na xl wanavyozirusha mbaya
 
Hiyo simu ikifika Bongo bei juu yaani bila 350K hutoipata nimeona x , x+ na xl wanavyozirusha mbaya

nokia x inauzwa laki 2 tu kaka na bei yake halisi ni around 180,000. Nokia xl ni laki 3 na bei halisi ni around 250,000 kwa kuangalia hizo simu hapo juu hii simu ni around 210,000 basi itauzwa 250,000.
 
leo microsoft wamezindua simu mpya ya nokia x2 ambayo inarun forked android version ya aosp. simu hiyo ambayo itauzwa around 220,000(bila vat) inatumia processor ya snapdragon 200 cortex a7 dualcore, ina ram 1gb na internal 4gb pamoja na uwezo wa memory card. itakuwa na camera ya 5mp na camera ya mbele vga. simu hio yenye kioo cha wvga 4.3 inch itakuwa inawasuccess nokia x, x+ na xl.

nokia wameimprove vitu hivi kwenye hii simu.
1. ram ya 1gb wakati nokia x ilikuwa na 512mb
2. opera mobile ndio default browser
3. ina button 2 za mbele sasa hivi back na home key
4. swipe left au right kuingia multitasking na fastlane
5. slightly decent processor compare to old x series
6. 1800mah battery compare with 1500mah battery of nokia x

for me hii ni simu nzuri na inaondoa haja ya kununua old nokia x series.

guys nyie munaionaje bei na specs zianendana?

sjui kwanini hata Nokia wazindue simu ya aina gani bado naona nokia sio competitive. Nokia niliwakubali sana miaka 8 iliyopita ila miaka hii ya 2014 Nokia hamna kitu. Sio windows mobile sio Android wanakokimbilia, bado watafeli mtihani tu..kuifikia IOS-Android devices bado sana,,
 
sjui kwanini hata Nokia wazindue simu ya aina gani bado naona nokia sio competitive. Nokia niliwakubali sana miaka 8 iliyopita ila miaka hii ya 2014 Nokia hamna kitu. Sio windows mobile sio Android wanakokimbilia, bado watafeli mtihani tu..kuifikia IOS-Android devices bado sana,,

inadepend unataka nini kwenye simu, lumia 520 ndio low end iliyouza sana mwaka jana na hadi mwaka huu inasumbua zaidi ya unit milioni 30 zimeuzwa. Nokia amekaa miez 12 bila kutoa simu ya watu wote (nime exclude 1520 na 1320 sababu ni niche device) lakini kamanage kuuza zaid ya unit milion 8 kila quarter haya ni mafanikio makubwa. Kuongezeka kwa hizi x series pamoja na lumia 630 na 930 q3 itakua nzur.

pia wakati nokia wanazindu hii x2 walitoa interesting facts kuwa pakistan nokia x ndio simu iliouza sana, ni ya tatu india, ni ya kwanza kwenye lowend kenya, russia na nchi nyingi.
 
habari jf,nimependa specifications za lumia 820 lakn nipo mbal na town,naomba wadau kujua recent price kwa hapa bongo.
 
Nokia x inasumbua sna kuweka whatsapp

yani siku hizi ni fashion kuandika negative news za nokia/msft si kweli kama inakataa whatsap ila ni kwamba whatsapp haipo store ya nokia.

kueka whatsap unainstall 1mobile market unadownload whatsapp. Ikikataa unaeka whatsapp plus ambayo asilimia mia inafanya kazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom