Arsenal
Senior Member
- Aug 12, 2008
- 190
- 71
inanisikitisha sana kuona kwamba michuzi blog haina post za madai ya katiba mpya, mdogo wake kwenye michuzi jr blog amefunika mbaya hii mambo ya katiba mi nahisi michuzi sasa keshajikomba kwa JK na hawezi kuandika habari zinazo chalenge serikali ya JK izi njaa ambazo zitamgusa ata mwanae siku za usoni nashindwa elewa upeo wake kufikiri..:sad: