nMkuu hilo ni tatizo b
Wewe ni dereva maana yake unakaa kwa muda mrefu'si ajabu kula yako sio sahihi sana kutokana na kazi yako,ukienda kunya unahisi maumivu,ukikaa unahisi maumivu,huenda ukiwa unatomba pia unahisi dalili za maumivu,ila unasema sio bawasili....HAYA ENDELEA TU NA UBISHI MKUU.
Uvivu na ubahili wa kutokwenda hospitalWakuu Nina changamoto inanisumbua,
Maumivu wakati wa kujisaidia & baada ya kujisaidia haja kubwa.
Kuna Kama michubuko kwenye njia husika inayopelekea maumivu makali.
Miwasho haipo ila ni maumivu makali, hata kukaa kwenye kiti ni maumivu tuu,, Mimi ni Dereva saizi ni wiki moja kazini sijaenda..
Anayejua Dawa msaada please
Note: sijawai fanya au kufanyiwa michezo michafu
Mimi nina Muogopa Mungu
Yaweza kuwa hemorrhoids( bawasiri)Wakuu Nina changamoto inanisumbua,
Maumivu wakati wa kujisaidia & baada ya kujisaidia haja kubwa.
Kuna Kama michubuko kwenye njia husika inayopelekea maumivu makali.
Miwasho haipo ila ni maumivu makali, hata kukaa kwenye kiti ni maumivu tuu,, Mimi ni Dereva saizi ni wiki moja kazini sijaenda..
Anayejua Dawa msaada please
Note: sijawai fanya au kufanyiwa michezo michafu
Mimi nina Muogopa Mungu
Hiyo ni dalili ya bawarisi mzee... nenda hospitali wakucheki.. utapata dawa ya kupunguza maumivu bada ya hapo tafuta dawa asili haraka kabla tatizo halijawa kubwa hadi kuota kinyamaWakuu Nina changamoto inanisumbua,
Maumivu wakati wa kujisaidia & baada ya kujisaidia haja kubwa.
Kuna Kama michubuko kwenye njia husika inayopelekea maumivu makali.
Miwasho haipo ila ni maumivu makali, hata kukaa kwenye kiti ni maumivu tuu,, Mimi ni Dereva saizi ni wiki moja kazini sijaenda..
Anayejua Dawa msaada please
Note: sijawai fanya au kufanyiwa michezo michafu
Mimi nina Muogopa Mungu
Umwambie pia akiweka hiyo dawa atawashwa sana kundule mkuu usije kumponza akapiga kelele mpaka mtaa wa saba wakasikiaTiba hii hapa.............unaijua aloe vera jelly??.....yaani lile ua la aloe Vera kata kwangua ile jelly........ukimaliza kukata gogo jisafishe fresh kabisa tumia taulo kukausha maji maji pawe pakavu chukua ile jelly sugulia pale mwaloni ..........sugulia na mkono kama unatawaza tena ila ukitumia ile jelly.......utatumia kwa muda wa week 1 asubuhi na jioni ..........utareta ushuhuda hapa umepona......sio maumivu wala miwasho wala kutopata chooo.......nimemaliza na sidai chochote.......asante
Bawasiri mkuu Huwa inapona njoo inboxWakuu Nina changamoto inanisumbua,
Maumivu wakati wa kujisaidia & baada ya kujisaidia haja kubwa.
Kuna Kama michubuko kwenye njia husika inayopelekea maumivu makali.
Miwasho haipo ila ni maumivu makali, hata kukaa kwenye kiti ni maumivu tuu,, Mimi ni Dereva saizi ni wiki moja kazini sijaenda..
Anayejua Dawa msaada please
Note: sijawai fanya au kufanyiwa michezo michafu
Mimi nina Muogopa Mungu
Hizo ni fangasi infection fika duka la dawa lenye DAKTAR atakusaidiaWakuu Nina changamoto inanisumbua,
Maumivu wakati wa kujisaidia & baada ya kujisaidia haja kubwa.
Kuna Kama michubuko kwenye njia husika inayopelekea maumivu makali.
Miwasho haipo ila ni maumivu makali, hata kukaa kwenye kiti ni maumivu tuu,, Mimi ni Dereva saizi ni wiki moja kazini sijaenda..
Anayejua Dawa msaada please
Note: sijawai fanya au kufanyiwa michezo michafu
Mimi nina Muogopa Mungu
Fissures are tears, while hemorrhoids are swollen veins.Anal Fissure hiyo
Uongo .........jelly haiwashi kabisa ................Umwambie pia akiweka hiyo dawa atawashwa sana kundule mkuu usije kumponza akapiga kelele mpaka mtaa wa saba wakasikia
Unatakiwa usafishe tumbo mkuu, tafuta papai, mihogo, ndizi na maziwa freshWakuu Nina changamoto inanisumbua,
Maumivu wakati wa kujisaidia & baada ya kujisaidia haja kubwa.
Kuna Kama michubuko kwenye njia husika inayopelekea maumivu makali.
Miwasho haipo ila ni maumivu makali, hata kukaa kwenye kiti ni maumivu tuu,, Mimi ni Dereva saizi ni wiki moja kazini sijaenda..
Anayejua Dawa msaada please
Note: sijawai fanya au kufanyiwa michezo michafu
Mimi nina Muogopa Mungu
Wakuu Nina changamoto inanisumbua,
Maumivu wakati wa kujisaidia & baada ya kujisaidia haja kubwa.
Kuna Kama michubuko kwenye njia husika inayopelekea maumivu makali.
Miwasho haipo ila ni maumivu makali, hata kukaa kwenye kiti ni maumivu tuu,, Mimi ni Dereva saizi ni wiki moja kazini sijaenda..
Anayejua Dawa msaada please
Note: sijawai fanya au kufanyiwa michezo michafu
Mimi nina Muogopa Mungu
Na ndizi mbivu, parachichi kwa wingi, apunguze na kula vyakula kama chapati na vingine vya ngano na vya wanga. Mlo uwe na matunda zaidi hasa hayo tuliyoyataja bila kusahau kunywa maji mengi.Kula mapapai ulegeze choo