Michubuko njia ya haja kubwa

Michubuko njia ya haja kubwa

Pole sana Mkuu Ila nakuomba anzia hospitalini Ila kwa huduma ya kwanza zipo dawa za kutuliza hali .

Waweza kupiga picha vizuri ukashare hapa ili tu-recommend dawa za kutuliza hali .

Ikiwa utaogopa waweza nenda hosptalinj direct.
 
Pole sana Mkuu Ila nakuomba anzia hospitalini Ila kwa huduma ya kwanza zipo dawa za kutuliza hali .

Waweza kupiga picha vizuri ukashare hapa ili tu-recommend dawa za kutuliza hali .

Ikiwa utaogopa waweza nenda hosptalinj direct.
Kikubwa awe na moyo tu maana kile kidonge kujiingiza nyuma sio poa.
 
Nenda hoptari au pharmacy kuna vidonge unapewa urefu wake na unene ni mithili ya kidore cha mwisho cha mkono
hizo dawa unakuwa unaziingiza kwenye nia ya haja kubwa usiku wakati wa kulala inatakiwa izame yote hiyo dawa

nakumbuka nilitumia kwa muda wa siku 7 katika kipindi chote hicho cha wiki 2 niwe nakula vyepesi
baada kumaliza hizo dawa hilo tatizo liliondoka na halikuwahi kunirudia tena ni takrbani miaka 15 imepita sasa

nilivyopewa zile dawa maelekezo ya docta sikumuelewa jinsi ya kutumia ikabidi milivyorudi toka hosptari nikamfata shemeji yangu mpharmacia nikamuuliza hivi vidonge natumiaje ndio akanielekeza ipasavyo jinsi ya kuvipachika katika mkundu vinatakiwa viingie kabisa katika puru uvisokomeze na kidole

nakumbuka vilikuwa ni rangi ya pink na kazi hiyo nilipomuambia mke wangu namna nikakavyoviitumia akanicheka siku ya kwanza akaniweka yeye siku zingine nikawa naweka mwenyewe mana akiwa anakuweka hvyo vidonge ilkuwa ni vicheko
 
Pole sana kwa hii changamoto,
Kwa dalili ulizozieleza utakuwa na ugonjwa unaitwa Anal Fissure ( michubuko/mipasuko katika njia ya haja kubwa)
uwezekano wa kuwa una bawasili ( Haemorrhoids ) ni mdogo sana
Matibabu ya kuanza nayo sasa;
1. Hakikisha haupati choo kigumu kabisa, utafanikiwa kwa hili kwa kujitahidi kunywa maji mengi, kula vyakula vyenye fibres kwa wingi mfano nafaka zisizokobolewa, matunda na mboga mboga kwa wingi sana
Kutumia dawa ya kulainsha choo, hapa ningeshauri dawa inaitwa lactulose mls 10 kwa siku mara 3

2. Kila siku kalia maji ya uvuguvugu kwa siku mara mbili au tatu, yaani unachukua maji ya uvuguvugu unaweka kwenye beseni au bathtub kisha unakalia hayo maji ukiwa umevua nguo zote kwa muda wa dakika 10 mpaka 15

3. Kama utaweza kupata dawa ya kupunguza maumivu ya kupaka eneo la haja kubwa itasaidia sana pia.

Unatakiwa kufanya hayo yote hapo juu kwa muda usiopungua mwezi mmoja mpaka miwili. Endapo utakuwa umefanya hivyo kwa miezi miwili bila nafuu hapo option itakayofuata ni upasuaji kitaalam lateral sphincteretomy

Na imani kubwa sana ukifanya hivyo utapona kabisa


NB; Usisite kufika kituo cha kutolea huduma za afya kwa msaada zaidi.
 
Mkuu kukaa muda mrefu na kupata choo kigumu possibly ndo chanzo cha tatizo. Kula mboga za majani Kwa wingi, kunywa maji mengi na matunda, pata muda wa kutembea angalau dakika 15-30, fanya kegel exercise Kila siku, utapona mkuu.
 
TAFITI:
zinaonyesha kuwa,
ulishawahi KUFIRAWA hata km ni UTOTONI, hivyo nakusihi ukamuone mtaalam wa saikolojia haraka sana. usije kujuta, maisha yako yote.
 
Mkuu hilo ni tatizo b

Wewe ni dereva maana yake unakaa kwa muda mrefu'si ajabu kula yako sio sahihi sana kutokana na kazi yako,ukienda kunya unahisi maumivu,ukikaa unahisi maumivu,huenda ukiwa unatomba pia unahisi dalili za maumivu,ila unasema sio bawasili....HAYA ENDELEA TU NA UBISHI MKUU.
Aaaah 😂😂😂🙌🏾
 
Tiba hii hapa.............unaijua aloe vera jelly??.....yaani lile ua la aloe Vera kata kwangua ile jelly........ukimaliza kukata gogo jisafishe fresh kabisa tumia taulo kukausha maji maji pawe pakavu chukua ile jelly sugulia pale mwaloni ..........sugulia na mkono kama unatawaza tena ila ukitumia ile jelly.......utatumia kwa muda wa week 1 asubuhi na jioni ..........utareta ushuhuda hapa umepona......sio maumivu wala miwasho wala kutopata chooo.......nimemaliza na sidai chochote.......asante
kutopata choo kivipi mkuu,,ile shida si hua inaanzia ndani kabisa na io aloe inapakwa nje
 
Pole sana Mkuu Ila nakuomba anzia hospitalini Ila kwa huduma ya kwanza zipo dawa za kutuliza hali .

Waweza kupiga picha vizuri ukashare hapa ili tu-recommend dawa za kutuliza hali .

Ikiwa utaogopa waweza nenda hosptalinj direct.
Eeeh we baba picha humu kweli 😂😂😂😂
 
Jitahidi kunywa maji na matunda kama ndizi na parachichi ili usipate choo kigumu sana kijana.

Ila nahisi kuna namna kazi yako inasababisha.

Nenda hospitali pia mkuu.
 

"Nina changamoto kwenye Koo langu nikiwa Nina meza mate Kuna Kama utando kwenye Koo"​

Mkuu nenda hospitali maana una changamoto nyingi
 
Back
Top Bottom