Ni kweli mkuu..labda tunaweza shortcut shortcut hizi..lkn ikija ile tutulize akili kufanya kitu flani kwa maarifa na bidii ni bila bilaTunaweza, ufisadi, kupanua magoli, umbumbumbu etc
Ni kweli mkuu..labda tunaweza shortcut shortcut hizi..lkn ikija ile tutulize akili kufanya kitu flani kwa maarifa na bidii ni bila bilaTunaweza, ufisadi, kupanua magoli, umbumbumbu etc
Duh, na huyo Pius bahati yake amepambanishwa na mnyasa mwenye lishe ya ugali wa muhogo na dagaa. Vinginevyo ingekuwa majanga tu!Kutoka Glasgow check clip hii Glasgow 2014: Boxing - preliminaries - BBC Sport. Angalau baada ya kushuhudia mabondia wote 4 wa Tz wakitolewa mzunguko wa 1 bondia Pius amekuwa bondia pekee kutoka Tz kushinda baada ya kumtoa bondia kutoka Malawi.
so ulitaka hata watanzania wavae sketi za bila mistari?
wameamua kujielezea jnc tulivyo huku nyumbani, uzalendo aliondoka nao nyerere
Suala sio kuongoza katika raundi ya kwanza tunahitaji medali.Hujasikia Amaar ameongoza kwenye kuogelea raundi ya kwanza mkuu?
Mekuwekea table hapo juu, nchi nyingi bado hazina medali. Ila tatizo ni kwa wenzetu wanashiriki michuano mingi hivyo uwezekano a kukwala medali ni mkubwa, mathalani Kenya hawana medali lakini marathon zikianza tutawatafuta kwa tochi...
Umenikumbusha zamani tukisoma msingi tukicheza mpira, tunaweka magoli ya mawe, wapinzani wakizubaa tunasogeza jiwe goli liwe pana tufunge kiurahisi, hivi hizi timu zetu zinafungwa kiurahisi hivi, kwa nini hawapanui magoli?Tunaweza, ufisadi, kupanua magoli, umbumbumbu etc
Umenikumbusha zamani tukisoma msingi tukicheza mpira, tunaweka magoli ya mawe, wapinzani wakizubaa tunasogeza jiwe goli liwe pana tufunge kiurahisi, hivi hizi timu zetu zinafungwa kiurahisi hivi, kwa nini hawapanui magoli?