Michuano ya Jumuia ya Madola, Glasgow 2014

Michuano ya Jumuia ya Madola, Glasgow 2014

my point is, nchi haijalogwa kama mtoa mada alivyosema, labda huo uchawi umewapata wachache..good afternoon

ok, umeeleweka, labda nikuulize swali, umeshawahi ishi nje ya tz?kama ndio basi najua unajua masahibu yanayotukuta huku tunaulizwa nguo za asili basi wengine tunalazimisha hata mashuka ya kimasai, je ukiulizwa wewe kama mtanzania ni kitu chako kipi cha asili mtu ambae si mtz akikuona nacho anajua huyu ni mtz
nadhani nimeeleweka
 
ok, umeeleweka, labda nikuulize swali, umeshawahi ishi nje ya tz?kama ndio basi najua unajua masahibu yanayotukuta huku tunaulizwa nguo za asili basi wengine tunalazimisha hata mashuka ya kimasai, je ukiulizwa wewe kama mtanzania ni kitu chako kipi cha asili mtu ambae si mtz akikuona nacho anajua huyu ni mtz
nadhani nimeeleweka
nimeishi Mynamar lakini sikuulizwa maswali hayo, we wajibu kwamba ile kamati ya vazi la taifa ya kina jospeh kusaga bado inaumiza vichwa, vazi litakuja tu, kuwa mvumilivu
 
Mpira wa Meza:

Wachezaji wa Tanzania wa Timu ya Wanaume na Wanawake wamepoteza mechi zao za mchujo.

Timu ya wanawake ambayo iliwekwa kundi la 3 imepoteza kwa seti 3 kwa 0 dhidi ya Trinidad & Tobago

Timu ya wanaume ambayo iliwekwa kundi la 5 imepoteza kwa seti 3 kwa 0 dhidi ya Canada

Timu hizi zitarudi tena uwanjani majira ya 16:00 kwa masaa ya UK kwa wanaume kupambana na majirani zetu Uganda na wanawake kupambana na Ghana.
 
Uogeleaji mita 50:

Pamoja na Ammaar Ghadiyali muogeleaji wa Tanzania kuwa wa kwanza katika kundi lake lakini muda wake (sekunde 28.11) haujatosha kumfanya aendelee hatua inayofuata.

Wakati huo huo naye Hilal Hemed Hilal pia ameshindwa kuendelea hatua inayofuata, aliogelea kwa muda wa sekunde 27.28 katika kundi lake.

Glasgow 2014 - Qualification Men's 50m Butterfly
 
nimeishi Mynamar lakini sikuulizwa maswali hayo, we wajibu kwamba ile kamati ya vazi la taifa ya kina jospeh kusaga bado inaumiza vichwa, vazi litakuja tu, kuwa mvumilivu

nawewe ni msanii kama wasanii wengine au ndio zile story za kwenye biblia za kua yesu yupo njiani anarudi kuwachukua watu wake af karne zinakatika na wala harudi
 
attachment.php

Timu ya Kuogelea ya Tanzania iliyopo katika Michuano ya Jumuia ya MAdola

Naona swimming ni Watanzania minority tu, wenye asili za Kiasia na Ulaya tu.

Vipi majority, wanaogopa maji? au kazi kwenda kupiga picha za harusi tu ufukweni.

Kwi kwi kwi teh teh teh.

Hapo sasa!
 
Uogeleaji mita 50:

Pamoja na Ammaar Ghadiyali muogeleaji wa Tanzania kuwa wa kwanza katika kundi lake lakini muda wake (sekunde 28.11) haujatosha kumfanya aendelee hatua inayofuata.

Wakati huo huo naye Hilal Hemed Hilal pia ameshindwa kuendelea hatua inayofuata, aliogelea kwa muda wa sekunde 27.28 katika kundi lake.

Glasgow 2014 - Qualification Men's 50m Butterfly

Muda wa ku qualify ni ngapi na muda wao uliowapatia ticket za kwenda huko ulikuwa ngapi, siyo wanapelekwa tu watu mradi wamepewa ticket za bure na waandaaji wa mashindano, kwenda kupamba sherehe tu.
 
NOTABLE GAMES RECORDS IN NUMBERS
2,080 – number of medals won by Australia, the most successful nation
1,836 – England are second
1,391 – Canada third
19.97 – seconds Namibia's Frankie Fredericks took to win 200m gold in 1994
13.08 – Welshman Colin Jackson's winning 110m Hurdles time in 1994 and 1990
9.88 – seconds it took for Ato Boldon (T&T) to win the 100m in 1998
6 – most individual golds won at one Games – by Australian swimmers Susie O'Neill (1998) and Ian Thorpe (2002)
3:32.16 – minutes it took Tanzania's Filbert Bayi to win the 1,500m in 1974 (the only world record achieved at the Commonwealth Games still not bettered in athletics)
2.09:12 – time in hours and minutes it took Englishman Ian Thompson to win the Marathon in 1974 – the joint-longest standing Athletics record
 
Tanzania yapata ushindi wake wa kwanza jumuiya ya madola,baada ya mtanzania kushika nafasi ya kwanza mashindano ya jumuiya ya madola,kuogelea style ya butterfly,mwenye taarifa zaidi atujuze!
 
Tanzania yapata ushindi wake wa kwanza jumuiya ya madola,baada ya mtanzania kushika nafasi ya kwanza mashindano ya jumuiya ya madola,kuogelea style ya butterfly,mwenye taarifa zaidi atujuze!
Source:choice.com

binafsi nimeona kwenye taarifa ya habari lakini naona ni hatua za mwanzo sio kwamba kapewa medali nazani ameshinda kwenda hatua nyingine, pili mtz mwenyewe nahisi kachukua uraia
 
mnamkumbuka Filbet Bayi ? mkiambiaji maarufu wa TZ kwenye miaka ya 70s - huyu alipata medali nyingi - sijamsikia tena
 
ok, umeeleweka, labda nikuulize swali, umeshawahi ishi nje ya tz?kama ndio basi najua unajua masahibu yanayotukuta huku tunaulizwa nguo za asili basi wengine tunalazimisha hata mashuka ya kimasai, je ukiulizwa wewe kama mtanzania ni kitu chako kipi cha asili mtu ambae si mtz akikuona nacho anajua huyu ni mtz
nadhani nimeeleweka


Tanzania si kama nchi nyingine hapa Africa. Hapa TZ hatuna nguzo za asili za taifa letu, kila kabil lina asili yake na uvaaje wake tosha. Hakuna haja ya kulazimishana eti kuvaa mishuka ya wamasai for what reason, na unamuwakilisha nani na mishuka yako? Mmasai, mgogo, mmakonde, na wengine waachiliwe wavae kutokana na tamaduni zao hakuna mambo ya kulazimishana hapa. Mbona Kikwete ashambuliwi kuvaa suti akiwakilisha nchi nje?
 
kama hujamsikia utamsoma siku ukienda morogoro
 
Back
Top Bottom