Nini mbaya babe ake TumooJapo naangalia kushoto na kulia Kama kuna MTU ananiona.
Unacheka eehnimecheka sana
HahahaNini jamani dada usiniangushe shemeji ako na mahela mengi
Woyooooooo ngoja tujiandae shem wangu tukuje nilijua umejinyonga jamani
Kama uko na mahela mengi mke umepata mana mdogo wake mie ndio mpitishaji mashemeji zangu

HahahaWoyoooooooo

Niko poa my dearNilikuhamu mm![]()
HahahaNimemwona jamani
Mbona umetangaza kujtoaWe mwanamke utaniua aiseeee.
If love is crime ndo kwisha habar yang
