HV haiwezekani mods mkaweka story yote kwenye page ya 1 na kila inapoongezwa mkafanya iwe inaendelea hapo hapo? Maana naona km ni kero unakuta Uzi umejaa story za majibizano ya watu wa3 tu na wanachojibizana wanaweza kuambiana kwenye simu zao binafsi sasa kwa sisi tunaotafuta story tu inatupa kero kuitafuta.
HV haiwezekani mods mkaweka story yote kwenye page ya 1 na kila inapoongezwa mkafanya iwe inaendelea hapo hapo? Maana naona km ni kero unakuta Uzi umejaa story za majibizano ya watu wa3 tu na wanachojibizana wanaweza kuambiana kwenye simu zao binafsi sasa kwa sisi tunaotafuta story tu inatupa kero kuitafuta.
HV haiwezekani mods mkaweka story yote kwenye page ya 1 na kila inapoongezwa mkafanya iwe inaendelea hapo hapo? Maana naona km ni kero unakuta Uzi umejaa story za majibizano ya watu wa3 tu na wanachojibizana wanaweza kuambiana kwenye simu zao binafsi sasa kwa sisi tunaotafuta story tu inatupa kero kuitafuta.