Michezo ya kubahatisha Huku England

Michezo ya kubahatisha Huku England

Kijana NI namba yangu inaanza na PW**** Kama kweli wewe uko hapo kihalali na unajua maana ya National insurance number na PW ni za miaka ipi, hapo Utajua UK is my second home. Sasa hivi kila baada ya miaka miwili naingia hapo ili niende lee kuwa kwenye system. If you know what I mean. Mkuu mmoja kakuambia tu nakuja tibiwa tezi dume.
System soon inabadilishwa kama haupo in chini kwa muda fulani unafutwa uraia wako
 
System soon inabadilishwa kama haupo in chini kwa muda fulani unafutwa uraia wako
Hiyo niliyokwambia ndo system uliyopo Sasa hivi. Home Office tunaijiua zaidi ya miaka 20 iliyopita. Nenda Croydon pale mafaili yetu yalianzia pale. Na uraia hunyang'anywi kiholela namna hiyo, labda uwe umefanya kosa kubwa saaana kama yule msichana wa Kiingereza mwenye asili ya Bangladesh aliye enda kujiunga na ISIS huko Syria wakamvua uraia. Other wise ukikaa sana nje ya nchi unatolewa kwenye system. Kama vile unafutwa kwenye GP wako register nk.
 
Wakuu, mimi ni Mtanzania nilie bahatika kuishi England hapa Ulaya kuna kitu au michezo ya bahati nasibu inaitwa national lottery.

Hii michezo kiukweli iko na pesa mingi ukibahatika unapiga mkwanja wa maisha sasa basi mbongo mie nahitaji sana kupiga ma milioni ya pound kupitia michezo hii ili nije kuwekeza tz nchini kwangu.

Sasa kama kuna mtu mwenye kuona mbali naomba anitazamie ni namba zipi naweza kutumia kupata huu ukwasi wa Mwingereza.

Kibaya zaidi wakijua wewe ni mgeni mtoka nje hawakuruhusu kufungua accaunt mie naitumia jina ya wife make ye mzaliwa huku naombeni wataalamu wa mambo mfanye jambo ili tupige pesa tuje kuwekeza makwetu, asanteni.
Ndugu bora ufanye kazi ya kuchamba wazee mavi utagain
 
Naishi kihalali isipokua ubaguzi washenzi hawa wakijua tu mtoka nje mweusi wanakuwekea vizingiti unatuma documatation zote lakini wanagoma wa nakwambia subilia kwa muda fulani hawatimizi ukiulizia unambiwa subilia ubaguzi sana
Sijaelewa ubaguzi wao ukoje ilihali umeoa mwanamke wa huko. Au woooote wabaguzi kasoro mke wako???.
 
Basi ni sheria iko hivyo na siyo ubaguzi. Unaposema ''wakijua tu mtoka nje mweusi wanakuwekea vizingiti'' ina maana kuwa ukiwa mweupe na umetoka eg USA watakubali kama vigezo vya ukaaji viko sawa na vya mtu mweusi? Sidhani! Uingereza hawawezi kuwa na sheria ya kibaguzi namna hii. Ni inferiority complex zako tu ndiyo zinakufanya useme hivyo na siyo kweli kuwa ni ubaguzi kwa watu weusi.
Mtu yuko huko ndiko anakoishi..lakini wewe unambishia.. unafikiri wazungu wanakuthamini kama unavyowathamini wewe?
 
Mtu yuko huko ndiko anakoishi..lakini wewe unambishia.. unafikiri wazungu wanakuthamini kama unavyowathamini wewe?
Huku ndiko kudandia treni kwa mbeli! Umeshagongwa tayari. Ni Ulaya gani siijui mimi? Uingereza unajua nimeishi miaka mingapi?
 
Hiyo niliyokwambia ndo system uliyopo Sasa hivi. Home Office tunaijiua zaidi ya miaka 20 iliyopita. Nenda Croydon pale mafaili yetu yalianzia pale. Na uraia hunyang'anywi kiholela namna hiyo, labda uwe umefanya kosa kubwa saaana kama yule msichana wa Kiingereza mwenye asili ya Bangladesh aliye enda kujiunga na ISIS huko Syria wakamvua uraia. Other wise ukikaa sana nje ya nchi unatolewa kwenye system. Kama vile unafutwa kwenye GP wako register nk.
We Mwingereza Si ndio
 
Huku ndiko kudandia treni kwa mbeli! Umeshagongwa tayari. Ni Ulaya gani siijui mimi? Uingereza unajua nimeishi miaka mingapi?
Huishi sasa mie naishi sasa itakua ni miongoni waliofukuzwa kama uko timilifu ulaya Huwezi ondoka kama document zako magumashi lazima wakuchomoe
 
Home ni mkoa gani kwa hapa Tanzania bwana mkubwa, nisje nikakupa siri za kushinda lottery ukaenda kuwekeza huko tandaimba

Mm niko hap L.A

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huku pia tuna CHOTA MIHELA...
tatizo kwetu hata wanavyovhezesha hatujui..
hatujui pia kama ni kweli washindi hawana uhusiano wowote na wachezeshaji

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Wabongo kwa uongo tunawashambulia walio nje ya Nchi eti waje bongo watatoboa wakati hapa hapa Bongo masikini ni wengi na hatuna msaada wowote watu wazima wanapiga debe kwenye vituo tunaona poa ila mtu akiwa Nje ya Nchi tunaona kapotea..
 
Back
Top Bottom