Michezo magazetini leo...

Michezo magazetini leo...

Status
Not open for further replies.
Schalke, Real Madrid zakandamiza Ulaya Send to a friend Wednesday, 06 April 2011 21:24

LONDON, England
SCHALKE 04 ya Ujerumani na Real Madrid ya Hispania zimefanya kile kisichotarajiwa baada ya kufunga idadi kubwa ya mabao katika mechi za robo fainali za Ligi ya Mabingwa Ulaya na kujihakikishia kucheza nusu fainali.

Schalke iliwatandika mabingwa watetezi, Inter Milan mabao 5-2 wakati Madrid iliilowesha Tottenham 4-0. Mechi za marudiano zimepangwa kupigwa Aprili 13.Timu hiyo inaoshiriki Ligi ya Bundesliga, ambayo haijaonyesha makali kwenye ligi hiyo, ilipata bao la kuongoza kupitia kwa Raul Gonzalez na kufanya idadi ya mabao yake kwa mashindano yote kufikia 70.

Madrid nayo kwa upande wake, ilitawala hasa baada ya kutolewa kwa mshambuliaji wa Tottenham, Peter Crouch katika dakika ya 15. Emmanuel Adebayor alifunga mawili wakati Angel Di Maria na Cristiano Ronaldo waliongeza kwa kila moja.

“Kwa timu yenye wachezaji 10 kwa muda mrefu, huwezi kuweka mikakati na malengo vikatimia,” alisema kocha wa Madrid, Jose Mourinho. “Lakini kwa England, huo si mwisho.”

Mechi nyingine zilikuwa jana usiku, Manchester United ilikuwa stanford Bridge kucheza na Chelsea na Shakhtar Donetsk dhidi ya Barcelona.Inter, ilikuwa inaonekana kutaka kuweka rekodi ya kutetea ubingwa mara mbili, ilianza kupata bao sekunde ya 29 kupitia kwa Dejan Stankovic, aliyeukwamisha mpira wavuni umbali wa mita 50 baada ya kipa wa Schalke, Manuel Neuer kutoka kwenye eneo lake.

Mabingwa hao watetezi walipata bao la pili kupitia kwa mshambuliaji wa Argentina, Diego Milito katika dakika ya 34, lakini Schalke walizinduka baadaye. Inter, waliokuwa bila beki wao Lucio, iliwamaliza kadi nyekundu ya Cristian Chivu aliyetolewa nje dakika ya 62 wakati huo matokeo yakisomeka 4-2.

“Tulianza vizuri, lakini mambo yalibadilika kipindi cha pili,” alisema nahodha wa Inter, Javier Zanetti. Joel Matip aliisawazishia Schalke dakika ya 17 kabla ya Edu kufunga lingine dakika ya 40.

Mchezaji wa zamani wa Real Madrid na Hispania, Raul alifunga bao la kuongoza katika dakika ya 53, kabla ya Andrea Ranocchia kujifunga na Edu kuongeza lingine na kujiwekea matumaini ya kucheza na Chelsea au United.

“Ilikuwa siku njema kwetu, kufunga mabao matano si mchezo, tena dhidi ya mabingwa watetezi,” Raul alisema. “Baada ya kuanza vibaya, timu yangu ilionyesha ukomavu.”

Mourinho anajipa matumaini ya kutwaa ubingwa mara tatu na klabu tatu tofauti, aliiongoza Madrid kufunga mabao matatu ya harakaharaka kipindi cha pili dhidi ya Spurs.

“Ni moja ya siku ambazo mambo yamekwenda kombo...mambo yaliharibika kabisa,” alisema kocha wa Tottenham, Harry Redknapp, ambaye alimpoteza Aaron Lennon dakika za mwisho mwisho.

“Ilikuwa ngumu kuja hapa na watu 11, na mbaya zaidi tukacheza 10.”Mshambuliaji wa zamani wa Arsenal, Adebayor alifunga bao lake la 10 katika mechi dhidi ya Spurs katika dakika ya nne na dakika ya 57, huku mabao yote akiyafunga kwa kichwa.

Kwa wakati huo, Crouch alikuwa amekwishapigwa kadi nyekundu kutokana na kucheza ovyo. Hata hivyo, Spurs ambao wanacheza kwa mara ya kwanza, walishambulia na kuonyesha uhai.

Di Maria alifunga kwa shuti la mbali katika dakika ya 72 na Ronaldo alifunga bao lake la 38 kwa kumtungua kipa wa Spurs, Heurelho Gomes ambaye alibabatizwa na shuti hulo na kujifunga.

Kitu ambacho hakikuwa cha kawaida kwa Madrid ilikuwa kadi ya Pepe kwa kumchezea vibaya Gareth Bale dakika ya 36 na kumfanya Bale ashindwe kuendelea na mchezo huo na pengine hata wa marudiano utakaofanyika White Hart Lane.

Real Madrid inaweza kukutana na Barcelona katika nusu fainali kwani timu hiyo ya Catalan inapewa nafasi kubwa ya kuifunga Shakhtar.
 
...Mourinho: Sijaingia nusu fainali Send to a friend Wednesday, 06 April 2011 21:23

MADRID, Hispania
KOCHA wa Real Madrid, José Mourinho amesema klabu yake ya Real Madrid CF haijaingia nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya licha ya ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Tottenham na kumwacha kocha wa timu hiyo, Harry Redknapp kuwa na kibarua kigumu.

Real Madrid imeshinda mchezo huo na kujipa nafasi kubwa ya kuingia nusu fainali ya michuano hiyo ya UEFA tangu mwaka 2002, José Mourinho aikuwa akimsikitikia kocha mwenzake, Harry Redknapp baada ya matokeo hayo ya 4-0.

Redknapp alisema Tottenham ilikuwa ikihitaji miujiza baada ya Peter Crouch kuondolewa mapema, na kabla ya mchezo kumpoteza, Aaron Lennon baada ya kuugua.

*José Mourinho
Hii ni ngumu, kwa soka ile, inakuwa vigumu kucheza muda mrefu na watu 10. Nimecheza na Barcelona na watu 10 na tulichokifanya ni kuokoa tu. Hawakuweza kufanya chochote.

Tulistahili kushinda, lakini nasikia vibaya na nafahamu hali inavyokuwa kwa timu kucheza watu 10; Ni ngumu. Lakini vilevile nasema hatujaingia nusu fainali.

Ni muhimu kurejea kwa wachezaji wetu. Waliokuwa majeruhi na waliosimamishwa tunawahitaji sana. Kama wachezaji wamesimamishwa huwezi kufanya vizuri. Kaká anarudi kwa kuwa ana uzoefu na Ligi ya Mabingwa. [Gonzalo] Higuaín mfungaji wetu tunamuhitaji mno. Ngoja tumwangalie na Cristiano Ronaldo na Marcelo, lakini tunaamini kwa sasa wako vizuri.

Nimempa pole Redknapp. Mimi nina uzoefu wa kucheza wachezaji 10. Kama unaweza, zuia na kama haiwezekani, basi ni tatizo. Naamini watafanya kila linalowezeka watakapokuwa White Hart Lane.

Harry Redknapp
Ulikuwa usiku mbaya kwetu. Tumempoteza Aaron Lennon mmoja wa wachezaji wetu muhimu, hatukuwa vizuri uwanjani, na baadaye tukalimwa kadi na kuwa 10. Unatakiwa muujiza kucheza na watu 10 uwanjani.

Ni sawa na kupanda mlima, na ni kazi kwelikweli kufunga. Gareth Bale alikuwa mchezaji muhimu, [Vedran] Ćorluka, naye kaumia, kweli ilikuwa kazi.

Mwanzoni tuliweza kuhimili kishindo, lakini baadaye ikawa ngumu, nguvu yao ni kubwa. Lennon alipoumia, basi mambo yakaharibika kabisa.
 
LOG IN TO ADD A COMMENT Page 1 of 18 PREV PREV NEXT NEXT


Post Comment

  • Report Abuse PhiladelphiaHotSpur
    • 4/6/2011 6:56:28 PM
    Gotta love when Single Asian Female starts flexing his googling muscles.............
  • Report Abuse karlosthejackal
    • 4/6/2011 4:08:30 PM
    Pssssssst...Philly-Smalls

    Cesc is having his worst season with The Arsenal since he rocked the mullet as a 18 years old back in 2005-2006.

    Bale had a decent 2 month stretch...and that qualifies as his career season.

    LOL...take the stupid money that certain clubs are willing to offer for Bale...STUPID!!!
  • Report Abuse PhiladelphiaHotSpur
    • 4/6/2011 3:52:53 PM
    8 - I think we can call it a wash w/ the first United visit to the Bridge........
  • Report Abuse PhiladelphiaHotSpur
    • 4/6/2011 3:47:30 PM
    Single Asian Female.......

    Your boy Cesc has 3 measly EPL goals all year including the miracle goal against Sunderland...........Using your logic, he must be awful too................

    Spin Spin and more Spin............Bale is quality, you twirp.
  • Report Abuse SpidermanItalia
    • 4/6/2011 3:44:54 PM
    Player Personnel Management most likley I think that will help me accomplish my goal of spreading the game so to speak.
  • Report Abuse Arsenal_8
    • 4/6/2011 3:37:31 PM
    Evra's foul on Ramires was a penalty!

    Torres...dives of the week.
  • Report Abuse karlosthejackal
    • 4/6/2011 3:37:22 PM
    Spidey...

    In what capacity??

    Player Personnel Management?
    Coaching?
    Administration?

    It's interesting a former student and good friend of mine in South Korea is on the same career path as yourself!!

    His dream is to do his MBA in "Football Industries" at University of Liverpool.

    Apparently the school is well regarded in this field of study.
  • Report Abuse SpidermanItalia
    • 4/6/2011 3:36:22 PM
    @rioferdy5 "its a pitch not a pool"
  • Report Abuse Arsenal_8
    • 4/6/2011 3:33:07 PM
    Shahktar vs Real.

    Man U. are going home with an important away goal.
  • Report Abuse SpidermanItalia
    • 4/6/2011 3:22:55 PM
    pro baseball at MLB level
LOG IN TO ADD A COMMENT Page 1 of 18 PREV PREV
 
Julio: Watanzania ishangilieni U-23 J'mosi Send to a friend Wednesday, 06 April 2011 21:26

Kalunde Jamal
KOCHA wa timu ya soka ya Vijana chini ya miaka 23, Jamhuri Kiwhelu 'Julio' amewataka mashabiki wa mpira wa miguu nchini kujitokeza kwa wingi kwenye Uwanja wa Taifa siku ya Jumamosi ili kuisapoti timu hiyo itakapokuwa inamenyana na timu ya soka ya Cameroon.

Timu hizo zitakutana katika mchezo wa marudiano April 9 baada ya kukutana katika mchezo wa awali huko Cameroon na Cameroon kuibuka na ushindi wa magoli 2-1.

Akizungumza na Mwananchi, Julio alisema maandalizi kwa ajili ya pambano hilo yanaendelea vizuri na mpaka sasa kila kitu kinakwenda kama kilivyopangwa.Aidha kocha huyo aliwasisitiza mashabiki kufika kwa wingi kuja kuishangilia timu hiyo ili iweze kuibuka na ushindi.

"Ingawa mpira na kelele ni vitu viwili tofauti, lakini
kelele za kushangilia zinaongeza hamasa kwa wachezaji na kuwapa morali ya kucheza vizuri, nawaomba watanzania wafike kwa wingi ili kuja kuwashangilia vijana wetu waweze kusonga mbele,"alisema Julio.

"Unajua shabiki ni mchezaji namba kumi na mbili, hivyo kufika kwao na kuishangilia timu ni kuisaidia kupata ushindi ambao ni muhimu sana ili isonge mbele,"alisema kocha huyo.

Timu hiyo ya vijana ili iweze kusonga mbele katika hatua ya makundi kutafuta kufuzu kushiriki mashindano ya Olimpiki inahitaji ushindi wa goli moja bila katika mchezo huo wa Jumamosi.
 
TFF:Ngassa bado ni mtoto Send to a friend Thursday, 07 April 2011 21:10

Mwandishi Wetu
SIKU moja kabla ya mchezo wa timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 23 dhidi ya Cameroon, Shirikisho la Soka Tanzania limesema kuwa wachezaji saba waliongezwa akiwemo Mrisho Ngassa umri wao unawaruhusu kucheza mashindano hayo.

Kauli hiyo ilitolewa jana na Ofisa habari wa TFF, Bonifance Wambura alisema vigezo vya umri vimezingatiwa na kwamba Ngasa aliyezaliwa Aprili 12, 1989 hivyo ana miaka 22 tofauti na wadau wa soka wanavyodhani kuwa mchezaji huyo amezidi umri na kuleta hatari ya Tanzania kufungiwa na Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF).

Wachezaji wengine walioongezwa na tarehe zao za kuzaliwa ni Kiggi Makasi (Februari 2, 1990), David Luhende (Januari 21, 1989), Jabir Aziz (Januari 1, 1989), Calvin Charles (Juni 19, 1992), Ally Lundenga(Septemba 12, 1990) na Juma Abdul (Novemba 10, 1992).

Hofu ya kuzidi umri kwa Ngassa imekuwaja kutokana nahistoria ya winga huyo ambaye ni baba wa watoto wawili alianza kuvuma kwenye medali ya soka mwaka 2005 akiwa na Kagera Sugar kabla ya kujiunga na Yanga mwaka 2006.

Ngasa akiwa Yanga amecheza mashindano mbalimbali ya kimataifa kwa vijana mwaka 2006 alichezea timu ya vijana chini ya umri wa miaka 20.Awali Tanzania ilifungiwa mwaka 2005 kwa miaka miwili kushiriki michuano yoyote ya vijana inayohusisha umri baada ya kubainika ilimtumia mchezaji Nurdin Bakari katika michezo ya kufuzu kwa fainali za vijana chini ya umri wa miaka 17 zilizochezwa nchini Gambia.

Katika michuano hiyo Tanzania ilifuzu, lakini CAF iliipokonya Tanzania tiketi hiyo nafasi walipewa Zimbabwe baada ya kugundua ilimtumia mchezaji aliyezidi umri unaotakiwa kwa mwaka mmoja, Tanzania ilifuzu baada ya kuzitoa Rwanda, Zambia na Zimbabwe.

Tayari makocha wa timu zote mbili wamejigamba kutoka na ushindi huku kocha wa Tanzania, Jamhuri Kiwhelo 'Julio' akisema kuwa anahitaji bao moja tu kusonga mbele kwenye mashindano hayo.

Julio aliyasema hayo jana wakati wa mkutano maalum wa makocha wa timu hizo uliofanyika kwenye ukumbi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF)."Mpira hautabiri, chochote kinaweza kutokea, lakini ni lazima tuutumie vema uwanja wetu wa nyumbani kwa kuhakikisha tunatoka na ushindi, tutashambulia zaidi na kukaba ili kupata ushindi,"alisema Julio

"Kikosi kipo kamili, Cameroon tulikaba zaidi, lakini hapa tutashambulia zaidi kwani lengo letu ni ushindi angalau hata wa bao 1-0 ili tuweze kusonga mbele,"alisema

"Mashabiki wajitokeze kwa wingi washangilie kama Yanga walivyowashangilia TP Mazembe kwa nguvu katika dakika zote 90 ndivyo hivyo hivyo muishangilie na timu yetu ili kuwapa morali wachezaji wetu: "Tofauti za Usimba na Uyanga ziwekwe pembeni, watu wawe wazalendo waishangilie timu yetu."alisisitiza Julio.

Naye nahodha wa timu hiyo ya vijana Shaban Kado alisema "Tumejiandaa vizuri, tutafuata maagizo yote ya mwalimu, naamini tutafanya vizuri na kutoka na ushindi, kiu yetu na watanzania kwa ujumla ni ushindi na kusonga mbele katika mashindano.

Wakati Julio na nahodha wake wakisema hayo, kocha wa timu ya taifa ya Cameroon, Dieudonne Nke alisema "Mechi itakuwa ngumu ukizingatia matokeo ya nyuma sisi tulifunga mabao 2-1 Tanzania inahitaji bao moja tu, wao wapo nyumbani, tulifanya makosa kuruhusu Tanzania kuona nyavu zetu tulipocheza nao, lakini hata hivyo hatuogopi matokeo hayo kwani huu ni mpira.

"Naamini na tumekuja kamili kuhakikisha tunatoka na ushindi, hatuogopi kwanza kikosi changu naamini ni bora kuliko cha Tanzania nina wachezaji watano wanacheza nje na hali ya hewa ya Cameroon haina tofauti sana na ya hapa hivyo sidhani kama itawaadhiri wachezaji wangu.Alisema wachezaji wake wapo wanaocheza Uswisi, Italia na Ukraine.
 
Kihwelo: Nitawashambulia zaidi Cameroon Send to a friend Thursday, 07 April 2011 21:08

Calvin Kiwia
KOCHA wa timu ya taifa ya Vijana chini ya miaka 23, Manyara Stars, Jamhuri Kihwelo 'Julio' amesema atatumia mfumo wa ushambuliaji zaidi kwenye mchezo wa marudiano wa mchujo wa mashindano ya Olimpiki dhidi ya Cameroon kwa lengo la kupata ushindi wa mapema.

Mchezo huo utakaofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kesho, Manyara inatakiwa kupata ushindi wa bao 1-0 ili kuweza kufuzu kushiriki mashindano hayo ya Olimpiki kwa vijana yatakayofanyika kwenye jiji la London, England mwakani.

Kutokana na mchezo wa kwanza uliofanyika jijini Yaounde majuma mawili yaliyopita Manyara Stars ilikubali kipigo cha mabao 2-1 hivyo kulazimika kushinda mchezo huu wa marudiano.

Julio aliliambia Mwananchi jana jijini Dar es Salaam baada ya timu hiyo kumaliza mazoezi yake kwenye Viwanja vya Karume kuwa atatumia zaidi mfumo wa ushambuliaji zaidi kwenye mchezo huo kwa lengo la kupata ushindi wa mapema na mabao mengi.

"Nimelifanyia kazi hilo kwa kipindi hichi kifupi cha kambi ya mazoezi ya kujiandaa na mchezo huu na hakika nimefanikiwa kwa asilimia kubwa, kwani wachezaji wangu wamekuwa wepesi sana kushika mfumo huo" alisema Julio.

Alisema kwenye mchezo wa awali iliofanyika jijini Yaounde alilazimika kutumia mfumo wa kulinda zaidi kwa nia ya kutokubali kufungwa mabao mengi kwa kufahamu kuwa alikuwa akicheza ugenini na kusaidia timu hiyo kufungwa mabao 2-1.

Hata hivyo Julio alisema timu hiyo itatumia mfumo wa 4- 3- 3 pindi ikiwa na mpira lakini wakati ikipoteza italazimika kutumia 4- 4- 2 kwa ajili ya kulinda kutofungwa bao lolote kwenye mchezo huo.

Julio alisema anamatarajio makubwa kwa vijana wake kushinda mchezo huo kutokana na kukiongezea nguvu kikosi hicho wachezaji saba ambao ni Mrisho Ngassa, Jabir Aziz (Azam FC) David Luhende (Kagera Sugar), Ally Lundenga (Ruvu Shooting), Juma Abdul (Mtibwa Sugar), Kelvin Charles (Simba) na Kiggi Makassy
 
Bondia Njiku amvaa Mfilipino Send to a friend Thursday, 07 April 2011 21:06

Imani Makongoro
BONDIA wa ngumi za kulipwa hapa nchini, Deo Njiku kesho atashuka dimbani kuwania mkanda wa Ubingwa wa Organizesheni ya ngumi za kulipwa wa Dunia (WBO) kwa vijana dhidi ya Jason Pagara wa Ufilipino.

Pambano hilo la raundi 12 limepangwa kufanyika katika Ukumbi wa LA Salle Coliseum jijini Bacoled Negros Occidental nchini Ufilipino na litasimamiwa na Chama cha ngumi za kulipwa cha Ufilipino.

Njiku aliondoka jijini Jumanne kuelekea nchini humo tayari kwa pambano hilo lililoandaliwa na kampuni ya Ala Promotions ya nchini humo chini ya Mkurugenzi wake Michael Aldeguer.
Akizungumza na Mwananchi kabla ya kuondoka Njiku alisema kuwa "nimejiandaa kwa ajili ya kutwaa ubingwa huo, najua mpinza wangu ni mzuri na anarekodi nzuri pia, sitaangalia rekodi yake bali nitacheza kadri ya uwezo wangu ili niweze kutwaa ubingwa huo.

"Naamini mazoezi niliyofanya ni kipimo tosha kwangu cha kutwaa ubingwa huo, hivyo naomba Watanzania wenzangu kuwa bega kwa bega na mimi katika kuniombea ili nifanye vizuri na kuipeperusha vema bendera ya nchi yangu nchini Ufilipino," alisema Njiku.

Njiku anarekodi ya kucheza mapambano 15 ameshinda 11, tisa kwa Knock Out (KO) amepoteza 4, matatu kwa KO, mpinzani wake ana rekodi ya kucheza mapambno 26, ameshinda 25, 14 kwa KO, amepoteza moja.
 
Kocha Moro United aihadharisha TFF Send to a friend Thursday, 07 April 2011 21:07

Calvin Kiwia
KOCHA wa timu ya soka, Moro United ya jijini Dar es Salaam, Hassan Banyai amelitaka shirikisho la soka Tanzania, TFF kufuatilia kwa umakini matokeo na matukio yote ya mechi za Ligi Kuu zilizosalia ili kuhakikisha michezo michafu ya kupanga matokeo inaepukika kwa lengo la kupata bingwa anayestahili na sio wa kubebwa.

Banyai aliliambia Mwananchi jana jijini Dar es Salaam baada ya mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom kati ya mabingwa watetezi wa ligi hiyo, Simba dhidi ya JKT Ruvu mchezo huo uliofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.

"TFF wanatakiwa kuwa makini na michezo hii michache iliyosalia, nafikiri hapa ndio sehemu ambayo wanatakiwa kufuatilia matokeo na matukio yote yanayotokea uwanjani kwa ukaribu ili kuepuka upangani wa matokeo na kupata bingwa asiyestahili," alisema Banyai.
"Kipindi hiki, kinapofikia ukingoni huwa kuna mchezo mchafu inayofanywa na timu hasa zinazoshindania nafasi ya kutwaa ubingwa hivyo ni jukumu la TFF kuhakikisha uchafu unafutwa," aliongeza.

Alisema michezo ambayo inatakiwa kufuatilia kwa ukaribu zaidi na shirikisho hilo kwa kuepuka michezo hiyo michafu ni michezo kati ya Simba dhidi ya Majimaji Songea na Yanga na Toto African ya Mwanza.

Hata hivyo, kocha huyo alisema timu hizo zimekuwa zikibebwa na waamuzi wa Ligi Kuu na kushika nafasi ya kwanza na ya pili kwenye ligi ya nchi yetu na kupata nafasi za kuiwakilisha nchi katika mashindano ya kimataifa bila ya mafanikio yoyote yale.
 
Man United, Barcelona mwendo mdundo Send to a friend Thursday, 07 April 2011 21:04

LONDON, England
MSHAMBULIAJI Wayne Rooney alifunga bao pekee dakika 24, kuiapa Manchester United ushindi wa1-0 dhidi ya Chelsea kwenye mchezo wa kwanza wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa, huku Barcelona ikisambaratisha Shakhtar Donetsk 5-1 na kufungua njia ya kuivaa Real Madrid kwenye nusu fainali.

Baada ya mwishoni mwa wiki kufunga mabao matatu dhidi ya West Ham, Rooney alimalizia vizuri krosi ya chini ya Ryan Giggs akiwa kwenye eneo la penalti na kumwacha kipa Petr Cech asijue la kufanya, huku United ikipata ushindi wa kwanza kwenye Uwanja wa Stamford Bridge baada ya miaka tisa. Fernando Torres ameendeleza ukame wa mabao tangu alipojiunga na Chelsea akitokea Liverpool mwezi Januari.

Nchini Hispania, mzazi mpya Andres Iniesta alifunga bao moja akimalizia pasi ya Lionel Messi dakika ya pili, Dani Alves, Gerard Pique, Seydou Keita na Xavi Hernandez kila moja kuhitimisha karamu ya mabao ya Barcelona, ambayo msimu huu katika mechi 49,imefunga mabao 132, na kufungwa 30 hadi sasa.

Katika michezo ya Jumanne, Schalke ilishinda 5-2 dhidi ya mabingwa watetezi Inter Milan na Real Madrid ilichakaza Tottenham 4-0. Hivyo kuzifanya mechi za marudiano kuwa na utamu wa aina yake.

Jijini Barcelona, Iniesta aliifungia Barcelona bao la kuonoza akipokea pasi ndefu kutoka kwa Daniel Alves kufunga bao lake la pili dakika ya 34. Mchumba wa Iniesta, Anna Ortiz amejifungua mtoto wa wakike aitwaye Valeria.

Pique scored for the second straight game to make it 3-0 in the 53rd. After Yaroslav Rakitskiy got Shakhtar's goal in the 60th, Keita scored a minute later off a squaring pass from Messi, and Xavi added the final goal in the 86th- giving Barcelona its 10th five-goal game this season.

Barcelona itacheza na Real Madrid hapo Aprili 16, na watakutana siku nne baadaye kwenye fainali ya Kombe la Mfalme. Kama timu hizo zitafuzu kwenye Ligi ya Mabingwa zitakutana tena Aprili 27 na Mei 3.
 
Rooney: Ban doesn't seem right


RivalsDM



PRINT RSS

3

Updated Apr 7, 2011 10:32 AM ET
Wayne Rooney is "gutted" to miss the FA Cup semi-final after the FA upheld a ban that the Manchester United striker says "doesn't seem right".
The Football Association confirmed on Thursday morning that the forward must serve a two-match suspension, meaning Rooney will sit out Saturday's Premier League encounter with Fulham at Old Trafford, plus the eagerly-anticipated FA Cup semi-final with Manchester City at Wembley on April 16.
And the 25-year-old, who scored the only goal in United's Champions League quarter-final triumph over Chelsea at Stamford Bridge on Wednesday night, is clearly not happen.


In a statement issued through his spokesman Ian Monk, Rooney said: "I am gutted to miss two matches, one of which is an FA Cup semi-final at Wembley.
"I am not the first player to have sworn on TV and I won't be the last.
"Unlike others who have been caught swearing on camera, I apologised immediately. And yet I am the only person banned for swearing. That doesn't seem right.
"Whatever, I have to accept that what's happened has happened and move on from here. That is what I intend to do."
Rooney has been joined in his disappointment by United, whose manager Sir Alex Ferguson only needed to look back to the last Manchester derby in February, which the striker settled with a sensational overhead kick, for the impact he will be missing at Wembley.
"Manchester United is clearly very disappointed with the decision," said a statement issued by the Old Trafford outfit.
"The club put forward a very strong case to have the punishment reduced, which was unsuccessful.
"Wayne apologised immediately after the match and the club now wishes to move to on to what hopefully will be a very exciting conclusion to the season."
 
Simba yauweka Ubingwa rehani Send to a friend Wednesday, 06 April 2011 21:39 0diggsdigg

mgosi%20samatha.jpg
Washambuliaji wa Simba Mussa Hassan Mgosi na Mbwana Samata akiwania mpira huku beki wa JKT Ruvu akiwachini na wengine akijiandaa kuupokea wakati wa mechi la Ligi Kuu iliyochezwa jana kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam/picha na Jackson Odoyo.

Sweetbert Lukonge
SIMBA ya Dar es Salaam jana ilijikuta ikilazimisha sare ya 1-1 na JKT Ruvu katika mechi ya Ligi Kuu iliyochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam na hivyo kutibuliwa harakati zake za kuutetea ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu.

Mpaka hivi sasa Simba imefikisha pointi 46 ikiwa imebakiza mchezo mmoja ikifuatiwa na Yanga ambayo inacheza leo dhidi ya African Lyon huku ikiwa na pointi 43 na mchezo mmoja mkononi.

Kwa matokeo hayo, kama Yanga itashinda leo itafikisha pointi 46 sawa na Simba, lakini Simba itakuwa ikiongoza ligi hiyo kwa kuwa na idadi ya magoli mengi ya kufunga.Hivi sasa mechi za mwisho za ligi hiyo ndizo zitakazoamua nani bingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2010/11.

Simba ambayo ilitolewa na TP Mazembe katika Ligi ya Mabingwa Jumapili iliyopita baada ya kuchapwa mabao 3-2 ilianza mechi hiyo ya Ligi Kuu dhidi ya JKT bila kasi, ila katika dakika ya sita mshambuliaji wa Simba, Mussa Hassan'Mgosi' alikosa bao alipopiga shuti ambalo lilitoka nje baada ya kipa wa JKT Ruvu, Shaaban Dihile kupangua shuti la Mbwana Samata.

Hussein Bunu aliipatia JKT Ruvu bao katika dakika ya 26 baada ya kuunganisha krosi safi iliyopigwa na Pius Kasambale.Mpaka mapumziko JKT Ruvu walikuwa wakiongoza kwa bao 1-0, huku katika kipindi cha kwanza washambuliaji wa Simba wakiongoza kwa kukosa mabao kwa sababu walikosa nafasi tisa za wazi.

Simba walianza kipindi cha pili kwa kasi huku wakionekana kutaka kusawazisha bao, lakini ukuta wa JKT Ruvu ambayo ina pointi 26 ulikuwa imara kukataa kuruhusu bao lolote.

Iliwachukua Simba mpaka dakika ya 79 kusawazisha bao hilo ambalo lilifungwa na Emmanuel Okwi kwa mkwaju wa penati baada ya beki wa JKT Ruvu kuunawa mpira katika eneo la hatari.

Katika mechi hiyo kipa wa JKT Ruvu, Shaaban Dihile alipewa kadi nyekundu baada ya kutoa lugha chafu kwa mwamuzi, ambapo nafasi yake ilichukuliwa na beki wa timu hiyo Kessi Mapande ambaye alikuwa akicheza beki wa kulia kwa sababu JKT ilikuwa imemaliza kuingiza wachezaji wa akiba.

Pia katika dakika ya 82 mwamuzi Klina Kabala alimtoa mchezaji wa JKT Ruvu, George Minja kwa kadi nyekundu baada ya mchezaji huyo kumpiga ngumi mshambuliaji wa Simba, Ally Mohamed Shiboli.

Akizungumzia pambano hilo kocha wa JKT Ruvu, Charles Kilinda amewaponda waamuzi kwa maamuzi yao mabaya yaliyoonyesha wazi kuibeba Simba.Kocha wa Simba, Patrick Phiri alisema timu yake ilipata nafasi nyingi za wazi na kushindwa kuzitumia, ila anajipanga kwa ajili ya mechi ijayo.
Add this page to your favorite Social Bookmarking websites

Comments




0 #6 addie 2011-04-07 12:29 naamini timu ya jeshi ni timu ya kuonyesha nidhamu miongoni mwa timu zote ktk mashindano yoyote yale.. jkt jana wameonyesha nidhamu ndogo sana n wanapaswa kufungiwa. tuache unazi lets face the facts.
Quote









0 #5 mark 2011-04-07 12:15 mimi nilikuwepo mpirani na sikuona makosa ya refa ni yapi kwani kjt walitaka mwamuzi awasikilize wanavyotaka hata km wanamakosa msilaumu kwa ushabiki tu wa usimba na uyanga wachezaji wajkt walikuwa hawananidhamu
Quote









-1 #4 kivatiro 2011-04-07 10:59 KWA KWELI SOKA LA TANZANIA HALITAWEZA ENDELEA KAMWE BILA YA SHIRIKISHO LETU KUAMKA NA KWENDA NA WAKATI.WAAMUZI WETU NDIO WANAOCHANGIA KWA ASILIMIA 100 KUAU SOKA LETU.REFA WA JANA ANASTAHILI KUADHIBIWA KWA KUCHAPWA VIBOKO KABISA.HATA KAMA UNAMAPENZI NA TIMU FULANI NA UNATAKA KUIBEBA BASI BEBA KWA KUSOMA NYAKATI SI KUBEBA KWA HALI HIYO NI AIBU KUBWA SANA.TIMU INABEBWA IKIINGIA KWENYE MICHUANO YA KIMATAIFA NA KUVURUNDA VISINGIZIO VINGI KWELI ILIHALI IMEBEBWA.HIVYO TFF IANGALIE SWALA ZIMA LA WAMUUZI WETU ILI TUWEZE PIGA HATUA KATIKA SOKA LETU.
Quote









0 #3 aggrey akaro 2011-04-07 10:10 soka la bongo kichefu chefu tu,kama nilivyoona soka hili ni tofauti sana na jinsi linavyo zungumziwa kwenye vyombo vya habari.Soka halina fomesheni halina ladha utafikiri ni sarakasi.kwa maana hiyo soka la bongo halitafika mahali popote ni uchafu mtupu.ukitaka kuhakikisha hilo kama mliangalia jana man na chelsea au baca na shaka,utagungud ua hapa bongo ni maneno tu????
Quote









0 #2 Paschal Rweyemamu 2011-04-07 08:17 kwakweli mechi ilikuwa nzuri na ilikuwa ngumu, binadamu yoyote ameumbwa na saikolojia zinazofanana, ila uvumilivu ndo tunaozidiana. ndipo mana hata ziddane alishindwa uvumilivu. refa wa jana aliikwaza timu ya jkt na yote ni ktk kufanikisha kile alichoadhimia, kumbuka wale wanaofanyiwa ni binaadamu na wakijua fika lengo ni nn.
Nachoweza kusema Physcology ya muamuzi wa jana ni ndogo sana, na ndo mana waliichezea saikoljia yake mpaka akamaliza mpira kabla ya muda kwakuwa alishindwa kuhandle Pressure toka upande mmoja.
Ni lazma refa aangalie kwanza mechi anayochezesha ni ya hatua ipi ktk ligi, mfano tutakumbka ilikuwa ni Brazil na Ivory coast. na Brazil ilikuwa itolewe, mchezaji wa Brazil aliunawa live, na hakufanya chochote kwakuwa madhara yake yangeweza kumharubia status yake milele.
Nahitimisha kusema refaree wa jana aliharibu mchezo kwakuwa hana uwezo wa kuchezesha mechi ngumu kulingana na uwezo wake mdogo wa kufikiri.
Nitaomba ifanyike shule ya Physcology kwa mwaka mzima kwa marefaree wote, na anayefeli asitishwe kazi hiyo.
Quote









0 #1 Mohamed Hassan 2011-04-07 07:18 Shaaban Dihile ni kipa hodari sana kwani aliisaidia timu yake kuikosesha simba ushindi,aliokoa hatari nyingi golini mwake,naweza kusema alikuwa "man of the match" lakini aliaribu pale alipotolewa nje ya uwanja kwa kadi nye[NENO BAYA] kwa kutoa lugha ya [NENO BAYA] kwa mwamuzi.Shaaban punguza jazba na nidhamu inaitajika kwenye soka.you are good in goalkeeping.
 
LOG IN TO ADD A COMMENT Page 1 of 1 PREV PREV NEXT NEXT


Post Comment

  • Report Abuse marcbarca
    • 4/7/2011 5:10:52 PM
    So, he thinks he's Charles Barkley? I AM NOT A ROLE MODEL. Yeah right.
  • Report Abuse larryjacobs
    • 4/7/2011 1:15:47 PM
    Don't fret, Rooney, you'll get to play in the final at Wembley. Learn your lesson and move on.
  • Report Abuse firstone
    • 4/7/2011 1:01:33 PM
    Maybe he can use his spokesman next time to swear for him...hahaha what an ****!
LOG IN TO ADD A COMMENT Page 1 of 1 PREV PREV NEXT NEXT
 
United without Rooney but ready for Fulham


storypage_APlogo_01.png




PRINT RSS



Updated Apr 7, 2011 10:37 AM ET
Even without suspended striker Wayne Rooney, it will be a major surprise if Manchester United's march to the Premier League title is blown off course when Fulham visits Old Trafford on Saturday.
United looks to have regained the swagger of champions just at the perfect time, with Wednesday's 1-0 win over Chelsea in the quarterfinals of the Champions League arguably its most assured and accomplished performance this season.


The in-form Rooney will miss out this weekend after losing an appeal against the severity of his two-match ban for swearing into a television camera, but United has the replacements to cope with the England international's absence.
United is seven points clear of second-place Arsenal, which visits Blackpool on Sunday seeking a first away win in any competition since the middle of January and a reversal in form after a poor last month of results.
Any faint hopes of reigning champion Chelsea and Manchester City challenging for the title look to have gone, leaving them to fight for the final two Champions League places with Tottenham.
Third-place City visits Liverpool on Monday, while Chelsea, which is a point behind in fourth but has a game in hand, is at home to bottom side Wigan on Saturday.
Spurs, a further five points back, look to recover from a 4-0 thrashing at the hands of Real Madrid in the Champions League on Tuesday when they host Stoke on Saturday.
Rooney produced a superb all-round display against Chelsea and looks close to the form he showed last season, having scored 10 goals in the past two months in all competitions.
United felt hard done by that Rooney's suspension was upheld by England's Football Association on Thursday.

Sat., Apr. 9
Wolves vs. Everton
Blackburn vs. Birmingham
Bolton vs. West Ham
Chelsea vs. Wigan
Man Utd vs. Fulham
Sunderland vs. West Brom
Tottenham vs. Stoke City
Sun., Apr. 10
Blackpool vs. Arsenal
Aston Villa vs. Newcastle
Mon., Apr. 11
Liverpool vs. Man City
BPL Scores | Table | Fixtures


"Wayne Rooney swearing on TV - as much as I don't condone it, is not front-page news," fit-again United defender Rio Ferdinand said. "There are bigger things going on in the world. There are things happening in Libya and Ivory Coast and we are talking about Wayne Rooney on the front page of newspapers because he swore at a camera.
"We should follow him as a footballer rather than keep lynching him for a lot of the stuff that goes on."
United will undoubtedly miss the work rate and scoring edge provided by Rooney, but Ferguson has many other players who have stepped up in recent games. The return of right winger Antonio Valencia has also lifted the northwest side, which is looking to claim a record 19th English title - surpassing the haul of fierce rival Liverpool.
Midtable Fulham, managed by former United striker Mark Hughes, hasn't won away in 2011 but has pulled clear of relegation trouble thanks to its strong home form. The team also has Bobby Zamora back fit, with the England striker scoring twice against Blackpool last weekend in his first start in seven months.
"We're not thinking about going down, we're thinking about going up and concentrating on that," Fulham midfielder Dickson Etuhu said.
Arsenal's title tilt is fading, with Arsene Wenger's team drawing its last three matches - including two at home against struggling sides Sunderland and Blackburn.
Despite that run, the Gunners should be confident of downing Blackpool, which has been in freefall since the turn of the year and is only a point and a place above the bottom three.
Second-bottom Wolverhampton Wanderers hosts Everton and West Ham, which is the other team in the relegation zone, visits Bolton on Saturday.
The day's other matches see Blackburn host fellow relegation rival Birmingham and Sunderland at home to West Bromwich Albion. Newcastle visits Aston Villa on Sunday.
 
Dalglish pays tribute to Reds


RivalsDM



PRINT RSS

0

Updated Apr 7, 2011 12:42 PM ET
Liverpool manager Kenny Dalglish believes his squad's achievement in keeping European qualification alive should not be under-estimated.
The Scot took over from Roy Hodgson in early January with the club lingering in mid-table - having slumped as low as 19th.

Sat., Apr. 9
Wolves vs. Everton
Blackburn vs. Birmingham
Bolton vs. West Ham
Chelsea vs. Wigan
Man Utd vs. Fulham
Sunderland vs. West Brom
Tottenham vs. Stoke City
Sun., Apr. 10
Blackpool vs. Arsenal
Aston Villa vs. Newcastle
Mon., Apr. 11
Liverpool vs. Man City
BPL Scores | Table | Fixtures


He has not only arrested the slide but put together a run which has lifted them up to sixth, five points behind Tottenham.
Owner John Henry admitted this week he was surprised by the lack of depth in the squad when his Fenway Sports Group bought Liverpool in October.
"I still don't think sixth place is the position we actually want to be in," said the 60-year-old,
"But credit to the players because there have only been two transfers out and two in, and the lads that have got us to where we are deserve great credit for it.
"I don't think they could have done much more. I think they've done more than they possibly could.
"We've won some games maybe people thought we couldn't win and we've lost other games we thought we should win, but at the end of the day, as we keep saying, we will add up the points at the end of the season and see where we are.
"If we were to finish sixth it would be an achievement for the players that they have got that far in such a short space of time but we just need to keep going and see what happens.
"The Tottenham game is our second to last match of the season but we are only looking as far ahead as Man City (on Monday), because as we've always said the next game is the most important one and that's all we can concentrate on.
"Whatever happens between now and when we play Aston Villa, which is our last game, will dictate whether we are closer to Tottenham or further away.
"We will just put all our energy towards getting a result against Manchester City first."
Dalglish has been fortunate in that both his new signings have settled well, even taking into account the fact Carroll is still not fully fit.
Suarez already has two goals to his credit but his fellow new arrival is still awaiting his maiden strike, having broken his England duck in only his second game in last week's friendly against Ghana.
The 22-year-old is desperate to start paying back the fans who have given him such a warm welcome and feels it is only a matter of time before he is on the scoresheet for his new club.
"I feel I am getting towards full fitness," said Liverpool's £35million record signing.
"I am working hard on it and I am in the gym most days doing extra work.
"It was just a great feeling to score a goal again (for England) after a long injury.
"A goal for Liverpool is what I am waiting for. It's going to be great because the fans have given me a brilliant reception without scoring a goal, and now I can't wait to get a goal and make everyone happy.
"It's great to be here. The lads are fantastic, I get on well with all of them, and the fans are great as well.
"I'm just getting myself back to fitness now, so it's all good."
 
Liverpool set for Far East tour


RivalsDM



PRINT RSS

0

Updated Apr 7, 2011 12:31 PM ET
Liverpool will tour the Far East as part of their pre-season preparations with matches in China, Malaysia and South Korea.
The club have a huge fan base in the region and it links in commercially with sponsors Standard Chartered, who have major business interests in that part of the world.

Sat., Apr. 9
Wolves vs. Everton
Blackburn vs. Birmingham
Bolton vs. West Ham
Chelsea vs. Wigan
Man Utd vs. Fulham
Sunderland vs. West Brom
Tottenham vs. Stoke City
Sun., Apr. 10
Blackpool vs. Arsenal
Aston Villa vs. Newcastle
Mon., Apr. 11
Liverpool vs. Man City
BPL Scores | Table | Fixtures


Liverpool, who staged a 10-day pre-season tour of Thailand and Singapore in 2009, will take on opposition in Guangzhou, Kuala Lumpur and then Seoul in July.
"Whenever we go to Asia, the fans are always amazing," said captain Steven Gerrard.
"The supporters over there are fanatical about Liverpool and it's great that we can give so many of them a chance to come and watch the team play."
Managing director Ian Ayre, who was instrumental in securing the Standard Chartered deal in his previous role as commercial director, is confident the three-game tour will be a success.
"The last one in 2009 was a real success and we're delighted that we are returning this summer after a break last year due to the World Cup," he said.
"Nothing beats watching the team live and by visiting China, Malaysia and Korea, we are allowing fans from all three countries to experience just that.
"We will work closely with our main sponsor Standard Chartered and our other partners in the region to ensure we can deliver our best ever pre-season tour."
Gavin Laws, group head of corporate affairs at Standard Chartered, added: "It is fantastic news for Liverpool FC's fans in Asia and yet another sign of the commitment of the club and Standard Chartered to the region."
 
Villa back under-fire Houllier


RivalsDM



PRINT RSS



Updated Apr 7, 2011 10:49 AM ET
Aston Villa chief executive Paul Faulkner has backed under-fire manager Gerard Houllier to keep the club in the Premier League.
The experienced French coach has been targeted by the Villa fans after failing to impress since taking over at the club early in the season following the departure of Martin O'Neill.

Sat., Apr. 9
Wolves vs. Everton
Blackburn vs. Birmingham
Bolton vs. West Ham
Chelsea vs. Wigan
Man Utd vs. Fulham
Sunderland vs. West Brom
Tottenham vs. Stoke City
Sun., Apr. 10
Blackpool vs. Arsenal
Aston Villa vs. Newcastle
Mon., Apr. 11
Liverpool vs. Man City
BPL Scores | Table | Fixtures


They go into this weekend's fixtures just two points above the relegation zone, but Faulkner insists Houllier is still the man for the job.
"Yes, total support," he told AVTV about his position with the former Liverpool boss.
"We are focused on these last seven games, getting the points we need right now to get out of the situation we are in."
Houllier, meanwhile, has set his players a 10-point survival target and insists "excuses are not an option".
He believes Villa will need 44 points to guarantee top flight football for another campaign ahead of Sunday's home clash with Newcastle.
They will also take on Stoke, Wigan and Liverpool at Villa Park, plus away meetings with West Ham, West Brom and Arsenal.
Houllier said: "The number of points needed to stay up will be higher than normal.
"I think ideally 10 points will put you in a safe position and that is what we want.
"It could be eight or nine but you do not know.
"We have four home games and three away and what we require is results.
"Excuses are not an option. We want results and points."
 
FA upholds 2-match ban for Rooney for swearing


storypage_APlogo_01.png




PRINT RSS



Updated Apr 7, 2011 4:31 PM ET
LONDON (AP)

Manchester United striker Wayne Rooney lost his appeal Thursday against a two-match ban for swearing into a television camera, ruling him out of the FA Cup semifinals against Manchester City.
Rooney said the punishment handed to him was ''clearly excessive,'' but the Football Association's regulatory commission upheld the decision.


The England striker said he is ''gutted'' to miss Saturday's home game against Fulham in the Premier League and the semifinal match against City a week later.
''I am not the first player to have sworn on TV and I won't be the last,'' Rooney said. ''Unlike others who have been caught swearing on camera, I apologized immediately. And yet I am the only person banned for swearing. That doesn't seem right.
''Whatever, I have to accept that what's happened has happened and move on from here. That is what I intend to do.''
United said the club is ''clearly very disappointed'' with the decision.
Rooney shouted an expletive directly into the camera Saturday after scoring a penalty kick, which completed his hat trick as United rallied from 2-0 down to beat West Ham 4-2.
The 25-year-old striker apologized after the game, saying his conduct was ''inappropriate.'' The host broadcaster, Sky Sports, also made an on-air apology to its viewers.
Rooney's ban came just as he was starting to rediscover his form. His goal in United's 1-0 victory over Chelsea in the first leg of the Champions League quarterfinals Wednesday was his 10th in all competitions since the start of February.
The first half of the season saw Rooney beset with injuries and poor performance, while he also had personal problems off the field, stemming from media allegations that he cheated on his then-pregnant wife with a prostitute.
United leads Arsenal by seven points at the top of the Premier League, but the Gunners have a game in hand.
 


Barton: I'm the best in England


RivalsDM



PRINT RSS



Updated Apr 7, 2011 4:32 PM ET
Joey Barton says he should be in the England squad as he is "the best" midfielder in the country, and has compared Gareth Barry to a tortoise.
The Newcastle midfielder has issued a damning verdict on the current England side singling out Manchester City midfielder Barry for his most fierce criticism.

Sat., Apr. 9
Wolves vs. Everton
Blackburn vs. Birmingham
Bolton vs. West Ham
Chelsea vs. Wigan
Man Utd vs. Fulham
Sunderland vs. West Brom
Tottenham vs. Stoke City
Sun., Apr. 10
Blackpool vs. Arsenal
Aston Villa vs. Newcastle
Mon., Apr. 11
Liverpool vs. Man City
BPL Scores | Table | Fixtures


Barton, who has one England cap to his name, has been continually overlooked by England boss Fabio Capello despite his impressive form for Newcastle this season.
The former Manchester City man admits he would love to add to his one cap picked up against Spain in 2007, but believes his past misdeameanours are counting against him.
"Honestly, I think I'm the best [English midfielder]," Barton told the French magazine So Foot. "Luka Modric and Samir Nasri are very good, but in terms of English players... well, Jack Wilshere isn't bad, but Frank Lampard's on the way down and Steven Gerrard's been injured a lot.
"I'm English and I love playing for my country.
"Maybe the people at the top have a problem with me. I don't know. But the trouble I had was four years ago. They should be able to forgive, shouldn't they?"
Barton saved his most withering remarks for Barry, who captained England in last week's friendly with Ghana. "Did you see the game against Germany at the World Cup?" asked Barton. "If you watch the fourth goal, when [Mesut] Ozil was up against Barry, it was like the hare and the tortoise.
"Barry's got a very good agent," Barton indicated as the reason for the player's success. "He's also discreet and always agrees with the manager. He's like the guy who sits in the front row and listens to the teacher. I certainly don't lose any sleep when I play against him."
The 28-year-old believes England are stuck in the past and that if they do not change their approach they will never win the World Cup again.
"We English will play the next 50 World Cups and we'll never win one," added Barton. "The people in charge at the FA played football maybe 50 or 60 years ago and still think that we can win a World Cup in the same way we did in 1966.
"We're too focused on tradition in England, like always having to play 4-4-2. Sometimes you need to experiment, drop a bit deeper so you have more space to move into.
"France, Italy and Germany have done it. We've been doing the same thing for 20 years."
 
LeBron takes stake in Liverpool


RivalsDM



PRINT RSS

14

Updated Apr 7, 2011 7:31 AM ET
Liverpool have confirmed that NBA star LeBron James has become a minority stakeholder in the club after signing a deal with club owners FSG.

Sat., Apr. 9
Wolves vs. Everton
Blackburn vs. Birmingham
Bolton vs. West Ham
Chelsea vs. Wigan
Man Utd vs. Fulham
Sunderland vs. West Brom
Tottenham vs. Stoke City
Sun., Apr. 10
Blackpool vs. Arsenal
Aston Villa vs. Newcastle
Mon., Apr. 11
Liverpool vs. Man City
BPL Scores | Table | Fixtures


Fenway Sports Group have, through their Fenway Sports Management division, struck a deal to partner the Miami Heat player's sports-marketing firm, LRMR Branding & Marketing, to become his exclusive worldwide representative.
The extent of James' interest in the club has not been disclosed. The CEO of LRMR, Maverick Carter, has also become a minority stakeholder.
James, an Olympic gold medal winner with the United States, wants to use the deal to build his portfolio internationally and grow his commercial opportunities.
FSG and Liverpool chairman Tom Werner said in a statement: "We believe this will be a powerful collaboration between FSM and LRMR and LeBron. There are very few athletes who can match his global reach, appeal and iconic status.
"We are very excited that LeBron will be part of the Liverpool FC family. LeBron and Liverpool each has a powerful presence internationally, with particular strength in Asia, but we feel the business opportunities for both working and being identified together in emerging international markets will result in unforeseen opportunities that neither would have been able to realise alone."
James, 26, said: "I am thrilled to be working with John Henry and Tom Werner.
"These guys, like me, have a passion for sports. You can see the drive and commitment they have for their teams. For me, this is about being in business with an organisation that loves sports as much as I do."
 
Wachezaji Simba wadaiwa kuhujumu

Imeandikwa na Na Mwandishi Wetu; Tarehe: 7th April 2011 @ 23:59 Imesomwa na watu: 95; Jumla ya maoni: 0


04_11_pt5kp0.jpg

Mwenyekiti wa klabu ya Simba Ismail Aden Rage.





HALI si shwari ndani ya kambi ya Simba baada ya kudaiwa kuwa baadhi ya wachezaji nyota wa timu hiyo wamekuwa wakicheza chini ya kiwango makusudi ili uongozi uonekane mbaya.

Habari zilizopatikana Jumatano kutoka ndani ya kambi hiyo zinadai kuwa baadhi ya wachezaji wamekuwa wakishutumiana wenyewe kwamba wanacheza chini ya kiwango kwa mashinikizo ya watu.

"Kuna wachezaji wanafanya makusudi, haya mambo ya wachezaji kusajiliwa na mtu fulani yana matatizo sana, sisi tulikuwa si wa kushindwa kuifunga JKT Ruvu," alisema mchezaji mmoja mwandamizi wa timu hiyo.

Naye mchezaji mwingine alisema viongozi wa Simba wanafahamu kuhusu jambo hilo, lakini wameshindwa kulidhibiti na kuwa uwezekano wa kutetea taji lao ni mdogo.

Akizungumza pia Alhamisi na 'Habarileo', mmoja kati ya wanachama wa Simba ambaye hakutaka jina lake litajwe alisema baadhi ya wachezaji wameamua kuhujumu timu kwa sababu ya kigogo mdau mmoja wa Simba ambaye haukubali uongozi wa sasa.

'Habarileo' liliwasiliana na Mwenyekiti wa klabu hiyo, Ismail Rage kuhusiana na taarifa za wachezaji kucheza chini ya kiwango kwa mashinikizo, lakini alisema haamini kuhusiana
na jambo hilo.

"Hapana sidhani kama hilo lina ukweli, najua ni masuala ya mpira na ndivyo ulivyo, pia
hata uongozi wa Hassan Dalali mwaka ulipoingia hawakuchukua ubingwa.

"Lakini haya maneno yanazungumzwa, wapo wanachama wamenipigia simu, wakilalamika, ingawa binafsi sitaki kuamini, lakini nitafanyia kazi kwa namna nijuavyo, lakini tusiendekeze
sana maneno haya," alisema Rage.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom