Na inafilisi hasaaa...lakini hamkutumwa kuwafata ni tamaa zenu tu..
Mi naona wawafilisi tu mana wapo kazini
We kama uchumi wako hauruhusu kumiliki mabinti baki njia kuu.Mida yote ni kupigwa mizinga tu;nikitafakari matumizi ya mwezi mmoja najikuta hakuna la maana nililofanya zaidi ya kukaa kati na kugaramia tu.Nikitazama mbele naona mwisho ni mbaya,kutimiza malengo binafsi inakuwa changamoto.....tuishi na michepuko kwa akili,ikiwezekana acha kabisa.
Hakuna kipindi imewahi tokea mtu akawa na mpenzi wake peke yake!!Wanaume mnatakiwa mjue hata sisi wanawake tunahitaji kuwa na wapenzi wa peke yetu, unapokuja kwangu wewe kama mume wa mtu maana yake unanitreat kama ziada, mimi pia inaniuma kuona kuwa huyu mwanaume ninaye ila sio wangu...unadhani hilo gap naliziba vipi
100% correct mkuuKuna michepuko inajielewa balaa.
Yaani unakutana na mwanamke ana malengo makubwa makubwa na anayatimiza.
Anathamini hata kidogo unachompatia na hana time na ndoa yako.!
Umenena vyemaWanaume mnatakiwa mjue hata sisi wanawake tunahitaji kuwa na wapenzi wa peke yetu, unapokuja kwangu wewe kama mume wa mtu maana yake unanitreat kama ziada, mimi pia inaniuma kuona kuwa huyu mwanaume ninaye ila sio wangu...unadhani hilo gap naliziba vipi
hahaahaaa....Mida yote ni kupigwa mizinga tu;nikitafakari matumizi ya mwezi mmoja najikuta hakuna la maana nililofanya zaidi ya kukaa kati na kugaramia tu.Nikitazama mbele naona mwisho ni mbaya,kutimiza malengo binafsi inakuwa changamoto.....tuishi na michepuko kwa akili,ikiwezekana acha kabisa.
Hivi kwanini mnazifunga profiles zenu!!!?Wanaume mnatakiwa mjue hata sisi wanawake tunahitaji kuwa na wapenzi wa peke yetu, unapokuja kwangu wewe kama mume wa mtu maana yake unanitreat kama ziada, mimi pia inaniuma kuona kuwa huyu mwanaume ninaye ila sio wangu...unadhani hilo gap naliziba vipi
Kwa nini mkuuAcha roho mbaya bro
Mkuu unawaza kuacha hahaha, then tufanye starehe gani? Hizi pesa za michepuko hazizuii maendeleo...ha ha ha ha si mchezo mkuu
Ni kweli mkuuUmeanza kuzinduka, Mungu akuamshe uache kifisadi familia yako maana matumizi mabaya ya pesa ya famiki
Sasa utakuwa na akili nzuri kweli....kama unajiona huwezi kuhudumia vyote hivyo si unajilazimisha kuridhika na mkeo.kuna mmoja ni mwanachuo fulan,ana chura matata leo anataka umpe fedha ya matumizi ya mwezi mzima,hujakaa sawa anataka laptop,hujageuka unaambiwa wazazi wangu wanataka matumizi....maji yamenifika shingoni inabidi nikimbie tu.
Mke/ Mme mmoja anadumaza akili....Kwa nini mkuu
SawaHakuna kipindi imewahi tokea mtu akawa na mpenzi wake peke yake!!
Ndio maana ikaletwa amri ya *usizini*
Lengo halikuwa kwa ambao wapo singo.
uzinzi ulikuwepo kwa wanaume na wanawake.
Hivyo kudhani una mpenzi wako peke yako Ni kufichama kichwa na kiwiliwili chote umeacha nje!!
Mama pekee ndio anaweza kuwa mmoja.
Wengine tunashare tu. Na kuoa Ni kwa sababu ya taratibu tu za wanadamu walizozieweka.
Tafuta furaha yako Basi!!
ha ha ha ha ha ama kweli vizuri ni garamaSasa utakuwa na akili nzuri kweli....kama unajiona huwezi kuhudumia vyote hivyo si unajilazimisha kuridhika na mkeo.
Hawa wazuri unaishia kuwaangalia tu jioni unamalizia hamu kwa mkeo.
Ni kweli mkuu ila kwa sisi me tunapigwa mizinga sanaMke/ Mme mmoja anadumaza akili....
Nikujiangalia tu mwenyewe. Kama mwanaume wanao wanaishi vibaya na unamchepuko ubaotumbua nao hata hupati thawabu.ha ha ha ha ha ama kweli vizuri ni garama
Tatizo nakimbia huku nikimtazamaKimbia mbio nyingi kituo polisi post