Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,595
- 61,015
ha ha ha ha si mchezo mkuu[emoji15][emoji15][emoji15]Afadhali umetambua hilo, baki na mke tu!
ha ha ha unajikuta mambo yako ya kiuchumi hayaendi sawa kabisaHawawezi kukuelewa
Next joke please!
Kweli mkuu,inafikia pointi maji yanafika shingoni;ndani ya muda mfupi mtu anahitaji vitu vingiAcha wale hela zetu tunatafuta kwa ajiri yao na natoa hela roho nyeupe
Mchepuko ukimuonyesha kwamba unazitumbua pesa kuanzia siku ya kwanza lazima Akupunuse mkuuMida yote ni kupigwa mizinga tu;nikitafakari matumizi ya mwezi mmoja najikuta hakuna la maana nililofanya zaidi ya kukaa kati na kugaramia tu.Nikitazama mbele naona mwisho ni mbaya,kutimiza malengo binafsi inakuwa changamoto.....tuishi na michepuko kwa akili,ikiwezekana acha kabisa.
Ni hatari mkuu,bora mtu aende kwa step angalau nafasi ya kupumua iwepoMchepuko ukimuonyesha kwamba unazitumbua pesa kuanzia siku ya kwanza lazima Akupunuse mkuu
Na mnachunwa kweli ashukuriwe maghufuli kufunga mianya yote ya wizi ili waanze kuhonga kengele zaoMchepuko ukimuonyesha kwamba unazitumbua pesa kuanzia siku ya kwanza lazima Akupunuse mkuu
Unajua mkuu binadamu tunatofautiana malengo.Mida yote ni kupigwa mizinga tu;nikitafakari matumizi ya mwezi mmoja najikuta hakuna la maana nililofanya zaidi ya kukaa kati na kugaramia tu.Nikitazama mbele naona mwisho ni mbaya,kutimiza malengo binafsi inakuwa changamoto.....tuishi na michepuko kwa akili,ikiwezekana acha kabisa.
ha ha ha ha mkuu we acha tu;naweka mikakati ya kupiga chini bila kumuumizaNdiyo umelitambua leo, nyumbani ekfu5, mchepuko laki 2 tena zakutunzia mtoto asiye wako halafu mtu anajiita kidume,
mke michunusi mpaka mgongoni kisa pesa hakuna Mungu awaponye wanaume dizaini hii
Siyo Zero mkuu mi nikitoa changu basi ujue papuchi lazima iliwe wakati huo huo mi naamini katika kununua na sio kumilikiNa mnachunwa kweli ashukuriwe maghufuli kufunga mianya yote ya wizi ili waanze kuhonga kengele zao
Mtu unageuzwa unakuwa baba yake mzaziNa mnachunwa kweli ashukuriwe maghufuli kufunga mianya yote ya wizi ili waanze kuhonga kengele zao
Bora hata baba atakwambia mwanangu leo sina subili jumamosi, lakini si michepuko ni hapoMtu unageuzwa unakuwa baba yake mzazi
Nilijitathmini nikaona mambo hayaendi,akiba inapungua tu badala ya kuongezekaUnajua mkuu binadamu tunatofautiana malengo.
Kuna wengine kuwa na mchepuko ni moja ya malengo yake kwenye maisha au ni moja ya kukosa malengo kwenye maisha. Na kuna wale wameshatimiza malengo yao yote sasa wana kula raha na michepuko kukizi tamaa za kimwili.
Ni vizuri umegundua mapema kwamba ni lengo ambalo linakurudisha nyuma kimaendeleo.
Punguza gharama , piga mzigo, weka akiba na uitumie kuongeza kipato chako.