Hahaaa, namkaribisha, ila awe na moyo mgumu na wa uvumilivu tu, tusisumbuane, maana sometime huwa natembea hadi kibaha kuangalia mechi kutoka Gongo la Mboto!
Shauri yenu mkichepuka kwenye football huko kwenye nyumba zenu nazo kuna mashabiki wa basketball,riadha na valleyball watawasaidia kushangilia na wake zenu.!!!!!
Duh weldi kapu inabidi iwe miezi mitatu mweeeeeee nimerudi asubuhi hii na amani ipo nyumbani ni vile nawasilisha matokeo tu,Brazil nipeni raha mie msimu huu wa kuchepuka.
Ile uwe makini kukumbuka matokeo na wafungaji waliofunga kwenye mechi hizo. Usije ukarudi home unaulizwa mfungaji wa goli la Colombia alikuwa nani, wewe ukajibu kwamba ni Falcao! Utapokea vitasa ambavyo hujawahi kuviona. Uwe makini sana kwenye eneo hilo la matokeo na wafungaji usije ukaumbuka. Hahahahaha!
Sasa la aziz! Leo kuna mechi tatu, halafu Kali zaidi ni ile inayoanza saa 5 usiku (kwa saa za Uingereza). Nitarudi punde tu baada ya kuisha hiyo mechi.
Sasa la aziz! Leo kuna mechi tatu, halafu Kali zaidi ni ile inayoanza saa 5 usiku (kwa saa za Uingereza). Nitarudi punde tu baada ya kuisha hiyo mechi.
Hahaaa, namkaribisha, ila awe na moyo mgumu na wa uvumilivu tu, tusisumbuane, maana sometime huwa natembea hadi kibaha kuangalia mechi kutoka Gongo la Mboto!
Hahaaa, namkaribisha, ila awe na moyo mgumu na wa uvumilivu tu, tusisumbuane, maana sometime huwa natembea hadi kibaha kuangalia mechi kutoka Gongo la Mboto!