Michepuko imeimarisha sana ndoa yangu

Michepuko imeimarisha sana ndoa yangu

Watu wengi hawapendi kubanwabanwa,nadhani hata kufunga ndoa kungesitishwa,ibaki unaishi na mwanamke,mnazaa maisha yanaendelea.Mfano wewe mleta mada wewe unaenda nje unagonga michepuko,mkeo nae anaenda nje anagongwa,nyumbani panabaki ni sehemu ya makazi tu.Safi sana.Siku mojamoja unakua unamsihi mkeo kiutaniutani kua uwe unagongwa kisirisiri ili watu wasinidharau kua nagongewa sana,nayeye anakusihi hivyohivyo.Hapo mbona maisha yatazidi kua murua...?
Safi sana kiongozi.
ushauri mzuri sana huu,inabidi uufanyie vitendo
 
Kweli michepuko imenisaidia sana, sifa zote ziende kwao:-
  • Hasira za hovyo hovyo kwa bi mkubwa sina​
  • Wivu wa hovyo hovyo sina​
  • Simsumbui sumbui bi mkubwa kwa tendo akiwa amechoka.​
  • Muda wote tunacheka tu kwa furaha na utani uliopitiliza.​
  • Watoto wako bize na masomo yao​
  • Na mimi muda wote nina furaha​
Kweli wanaume hatujaumbiwa kuwa na mwanamke mmoja, kama utalazimisha kuwa na mmoja, jiandae kwa kero zilizopo, moja wapo likiwa ni kupatwa na magonjwa ya akili.

Kwa asili, dume ameumbwa kuwa na majike mengi kutokana na sababu za kimaumbile.

Tuliojua hiyo siri, ngoja tuendelee kufurahia maisha.​
Kwenye maisha binadamu huwa tunakosea ikiwepo hili la kuanzisha mahusiano yasiyofaa hususani haya ya nje ya ndoa. Ila, ukifika hatua ya kuyazoea makosa yako kiasi cha kujivunia makosa yako na kujisikia fahari hata kuyatangaza kwenye social platforms, ni dalili kuwa dhamiri yako imeshakufa ganzi. Tunapoendelea kufurahia maisha yetu hapa duniani ni vyema tukakumbuka kuwa tunapita, hivyo hatuna budi kujiandaa kukutana tena na Muumba wetu.
 
Kwenye maisha binadamu huwa tunakosea ikiwepo hili la kuanzisha mahusiano yasiyofaa hususani haya ya nje ya ndoa. Ila, ukifika hatua ya kuyazoea makosa yako kiasi cha kujivunia makosa yako na kujisikia fahari hata kuyatangaza kwenye social platforms, ni dalili kuwa dhahiri yako imeshakufa ganzi. Tunapoendelea kufurahia maisha yetu hapa duniani ni vyema tukakumbuka kuwa tunapita, hivyo hatuna budi kujiandaa kukutana tena na Muumba wetu.
Mambo ya muumba ni mambo ya kusadikika, ingekuwa ni hivyo watu wasingekuwa wakipokea sadaka au michango ya waumini waliochoka.
 
Acha kuhalalisha Ujinga
Uaminifu una vunjika
Yani inakuwa anayetoka na mchepuko
Na mchepuko anatoka na mchepuko anatoka na mchepuko na anatoka na mchepuko…….
Inakuwa circle sasa (Uzinzi unaongezeka)

Mke wako anakuwa mchepuko wa mwingn ndio manini sasa
Alf humo humo ndio mnakuja kuathirika na UKIMWI

Eh na Watoto wanaona ujinga ambao mzazi anaufanya

Be faithful to one partner
Jicontrol , Kuweni waaminifu
Rizika na mmoja bas
Shida ni nn ? Utakufa ?
 
Acha kuhalalisha Ujinga
Uaminifu una vunjika
Yani inakuwa anayetoka na mchepuko
Na mchepuko anatoka na mchepuko anatoka na mchepuko na anatoka na mchepuko…….
Inakuwa circle sasa (Uzinzi unaongezeka)

Mke wako anakuwa mchepuko wa mwingn ndio manini sasa
Alf humo humo ndio mnakuja kuathirika na UKIMWI

Eh na Watoto wanaona ujinga ambao mzazi anaufanya

Be faithful to one partner
Jicontrol , Kuweni waaminifu
Rizika na mmoja bas
Shida ni nn ? Utakufa ?
Miaka 50 ijayo utakuwa wapi?
 
Kabisa
Yani haka kasayar kashaharibika
Vyote vilivyomo kwenywe hii dunia ni muhimu kuvitumia, kwa kuwa hakutakuwa na maisha mengine zaidi ya hapo.
Ukiweza kuwa na chuma kama hichi ni wewe tu
leo3.jpg
 
Hata mimi nisingekuwa na mchepuko ningekuwa kichaa saa hizi.Haya mambo ya wanawake wanaita menopause shida sana.Wengine wakisimama kwenda hedhi wanaugua sana hata hilo tendo hawalitaki.
Asikwambie kitu wenzetu wakristo wanashabikia ndoa ya mke mmoja lakini ndio wanaoongoza kwa michepuko na wanatamani sana sheria ya kislam kuoa mke zaidi ya mmoja.
Inshort kuwa na mke mmoja ni ufala na ujinga kiwango cha lami
 
Back
Top Bottom