Michepuko imeimarisha sana ndoa yangu

Michepuko imeimarisha sana ndoa yangu

Shida watu hawajui kuchepuka 😂Mtu ukichepuka acha mawivu ya kijinga pia na wewe ujue huenda mwenzako anakigawa kama bagia huko nje ila kwa sababu hujamkata Cool, atakayemdaka mwenzake wa kwanza ndo mwenye makosa
Na uhakikishe ndoa inaheshimiwa na mchepuko !! Mchepuko hapaswi hata siku moja kukupanda kichwani.
Hakikisha hata siku moja mama hajui kuhusu mahusiano ya nje abaki na mashaka tu yale ya kibinadamu ila evidence hana ! 😂😂

Sasa mtu anakua na mchepuko nje analeta na dharau ndani huo ni umama ndo maana mnakamatwa !!
 
Kweli michepuko imenisaidia sana, sifa zote ziende kwao:-
  • Hasira za hovyo hovyo kwa bi mkubwa sina​
  • Wivu wa hovyo hovyo sina​
  • Simsumbui sumbui bi mkubwa kwa tendo akiwa amechoka.​
  • Muda wote tunacheka tu kwa furaha na utani uliopitiliza.​
  • Watoto wako bize na masomo yao​
  • Na mimi muda wote nina furaha​
Kweli wanaume hatujaumbiwa kuwa na mwanamke mmoja, kama utalazimisha kuwa na mmoja, jiandae kwa kero zilizopo, moja wapo likiwa ni kupatwa na magonjwa ya akili.

Kwa asili, dume ameumbwa kuwa na majike mengi kutokana na sababu za kimaumbile.

Tuliojua hiyo siri, ngoja tuendelee kufurahia maisha.​
enjoy ndugu ndio iliyobaki
 
Kwanini asimuweze? Akishika hapo kifuani kwa kubinyabinya kama nusu saa na huku akiendelea kukamatia huko chini kwa kutumia vidole/ulimi kwa taratibu kwa muda wa nusu saa, kisha miguu akiiweka mabegani na akaiweka mashine ndani ikiwa wima kama mlingoti na akaichochea kwa taratibu (gently) kwa muda wa dakika 30 na kwa speed kwa muda wa dakika 20 za kumalizia atakuwa hajamuweza!!?
 
Kweli michepuko imenisaidia sana, sifa zote ziende kwao:-
  • Hasira za hovyo hovyo kwa bi mkubwa sina​
  • Wivu wa hovyo hovyo sina​
  • Simsumbui sumbui bi mkubwa kwa tendo akiwa amechoka.​
  • Muda wote tunacheka tu kwa furaha na utani uliopitiliza.​
  • Watoto wako bize na masomo yao​
  • Na mimi muda wote nina furaha​
Kweli wanaume hatujaumbiwa kuwa na mwanamke mmoja, kama utalazimisha kuwa na mmoja, jiandae kwa kero zilizopo, moja wapo likiwa ni kupatwa na magonjwa ya akili.

Kwa asili, dume ameumbwa kuwa na majike mengi kutokana na sababu za kimaumbile.

Tuliojua hiyo siri, ngoja tuendelee kufurahia maisha.​

Ni kwamba mmeamua kuwa na free relationship, yeye wanamla, na wewe unakula, sasa Kwa wanaume kama sisi hayo hapana, tunaacha mwanamke ambaye hakai kwenye misingi ya ndoa na Heshima
 
Kweli michepuko imenisaidia sana, sifa zote ziende kwao:-
  • Hasira za hovyo hovyo kwa bi mkubwa sina​
  • Wivu wa hovyo hovyo sina​
  • Simsumbui sumbui bi mkubwa kwa tendo akiwa amechoka.​
  • Muda wote tunacheka tu kwa furaha na utani uliopitiliza.​
  • Watoto wako bize na masomo yao​
  • Na mimi muda wote nina furaha​
Kweli wanaume hatujaumbiwa kuwa na mwanamke mmoja, kama utalazimisha kuwa na mmoja, jiandae kwa kero zilizopo, moja wapo likiwa ni kupatwa na magonjwa ya akili.

Kwa asili, dume ameumbwa kuwa na majike mengi kutokana na sababu za kimaumbile.

Tuliojua hiyo siri, ngoja tuendelee kufurahia maisha.​
Basi ngoja nitie nia ya kugombea ubunge jimboni kwangu, nitawala machangu na wabunge wenzangu wa kuteuliwa tutakaoletewa na Mh. Rais.
 
Watu wengi hawapendi kubanwabanwa,nadhani hata kufunga ndoa kungesitishwa,ibaki unaishi na mwanamke,mnazaa maisha yanaendelea.Mfano wewe mleta mada wewe unaenda nje unagonga michepuko,mkeo nae anaenda nje anagongwa,nyumbani panabaki ni sehemu ya makazi tu.Safi sana.Siku mojamoja unakua unamsihi mkeo kiutaniutani kua uwe unagongwa kisirisiri ili watu wasinidharau kua nagongewa sana,nayeye anakusihi hivyohivyo.Hapo mbona maisha yatazidi kua murua...?
Safi sana kiongozi.
 
Kweli michepuko imenisaidia sana, sifa zote ziende kwao:-
  • Hasira za hovyo hovyo kwa bi mkubwa sina​
  • Wivu wa hovyo hovyo sina​
  • Simsumbui sumbui bi mkubwa kwa tendo akiwa amechoka.​
  • Muda wote tunacheka tu kwa furaha na utani uliopitiliza.​
  • Watoto wako bize na masomo yao​
  • Na mimi muda wote nina furaha​
Kweli wanaume hatujaumbiwa kuwa na mwanamke mmoja, kama utalazimisha kuwa na mmoja, jiandae kwa kero zilizopo, moja wapo likiwa ni kupatwa na magonjwa ya akili.

Kwa asili, dume ameumbwa kuwa na majike mengi kutokana na sababu za kimaumbile.

Tuliojua hiyo siri, ngoja tuendelee kufurahia maisha.​
IMG-20250627-WA0129.jpg
 
Kwanini asimuweze? Akishika hapo kifuani kwa kubinyabinya kama nusu saa na huku akiendelea kukamatia huko chini kwa kutumia vidole/ulimi kwa taratibu kwa muda wa nusu saa, kisha miguu akiiweka mabegani na akaiweka mashine ndani ikiwa wima kama mlingoti na akaichochea kwa taratibu (gently) kwa muda wa dakika 30 na kwa speed kwa muda wa dakika 20 za kumalizia atakuwa hajamuweza!!?
Ile nafasi ya kuwa naye karibu tu, itawezekana?
 
Ni kwamba mmeamua kuwa na free relationship, yeye wanamla, na wewe unakula, sasa Kwa wanaume kama sisi hayo hapana, tunaacha mwanamke ambaye hakai kwenye misingi ya ndoa na Heshima
Siku akikunyima, huwa unatumia mbadala upi?
 
Back
Top Bottom