Chrysanthemum
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 1,807
- 6,561
Shida watu hawajui kuchepuka 😂Mtu ukichepuka acha mawivu ya kijinga pia na wewe ujue huenda mwenzako anakigawa kama bagia huko nje ila kwa sababu hujamkata Cool, atakayemdaka mwenzake wa kwanza ndo mwenye makosa
Na uhakikishe ndoa inaheshimiwa na mchepuko !! Mchepuko hapaswi hata siku moja kukupanda kichwani.
Hakikisha hata siku moja mama hajui kuhusu mahusiano ya nje abaki na mashaka tu yale ya kibinadamu ila evidence hana ! 😂😂
Sasa mtu anakua na mchepuko nje analeta na dharau ndani huo ni umama ndo maana mnakamatwa !!
Na uhakikishe ndoa inaheshimiwa na mchepuko !! Mchepuko hapaswi hata siku moja kukupanda kichwani.
Hakikisha hata siku moja mama hajui kuhusu mahusiano ya nje abaki na mashaka tu yale ya kibinadamu ila evidence hana ! 😂😂
Sasa mtu anakua na mchepuko nje analeta na dharau ndani huo ni umama ndo maana mnakamatwa !!