Michepuko imeimarisha sana ndoa yangu

Michepuko imeimarisha sana ndoa yangu

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
37,107
Reaction score
55,524
Kweli michepuko imenisaidia sana, sifa zote ziende kwao:-
  • Hasira za hovyo hovyo kwa bi mkubwa sina​
  • Wivu wa hovyo hovyo sina​
  • Simsumbui sumbui bi mkubwa kwa tendo akiwa amechoka.​
  • Muda wote tunacheka tu kwa furaha na utani uliopitiliza.​
  • Watoto wako bize na masomo yao​
  • Na mimi muda wote nina furaha​
Kweli wanaume hatujaumbiwa kuwa na mwanamke mmoja, kama utalazimisha kuwa na mmoja, jiandae kwa kero zilizopo, moja wapo likiwa ni kupatwa na magonjwa ya akili.

Kwa asili, dume ameumbwa kuwa na majike mengi kutokana na sababu za kimaumbile.

Tuliojua hiyo siri, ngoja tuendelee kufurahia maisha.​
 
Nipe namba ya mkeo niimarishe zaidi!
Utamuweza..
rw.jpg
 
umeongea pwenti(point) kubwa sana, hata mimi hii imenisaidia sana kuimarisha ndoa yangu😀
 
Back
Top Bottom