Miche ya mitiki inahitajika

uduzungwa

JF-Expert Member
Oct 12, 2016
552
541
Mwenye kujua wapi miche ya mitiki inapatikana.
Nahitaji kwaajili ya kwenda kupanda kwenye shamba langu lililopo Mwanza.

Na wale wataalamu wa hichi kilimo cha mitiki kinaweza kukubali katika ardhi ya Mwanza?

Na mwenye utaalamu zaidi na ushauri pia naomba.
 
Mimi Nina niche ya mitiki zaidi ya elfu moja niliyoiweka kwenye viliba, Niko Ruvuma ; kwakuwa unaenda kupanda mbali nitakuuzia shilingi mia mbili kwa kila mche kutoka mia tano kwa kila mche ili fedha nyingine uitumie kama nauli 0758137067
 
Mwenye kujua wapi miche ya mitiki inapatikana.
Nahitaji kwaajili ya kwenda kupanda kwenye shamba langu lililopo Mwanza.

Na wale wataalamu wa hichi kilimo cha mitiki kinaweza kukubali katika ardhi ya Mwanza?

Na mwenye utaalamu zaidi na ushauri pia naomba.
Arise farms ni wauzaji wa miche bora ya mbao na matunda kwa gharama nafuu.
Ukihitaji miche ya mitiki hata laki moja utaipata kwa wakati.
Bei za miche.
Mtiki ( Tectona grandis) sh. 400/;mche.
Mtiki mweupe ( white teak) sh. 500/mche.
Papai ( red papaya- Malkia F1). Sh.5000.

Vile vile aina mbali mbali za miche.
Tunasafirisha mikoa yote ya Tanzania bure.
Tunapatikana kilombero- morogoro na kibaha- pwani
WhatsApp/call/text.
0766006128
0655715184
 
Arise farms ni wauzaji wa miche bora ya mbao na matunda kwa gharama nafuu.
Ukihitaji miche ya mitiki hata laki moja utaipata kwa wakati.
Bei za miche.
Mtiki ( Tectona grandis) sh. 400/;mche.
Mtiki mweupe ( white teak) sh. 500/mche.
Papai ( red papaya- Malkia F1). Sh.5000.

Vile vile aina mbali mbali za miche.
Tunasafirisha mikoa yote ya Tanzania bure.
Tunapatikana kilombero- morogoro na kibaha- pwani
WhatsApp/call/text.
0766006128
0655715184
Mkuu vipi baishara bdo ipo?
 
Kwa huduma ya miche bora ya Mitiki karibu sana tukuhudumie.
Bei ya mche ni shilingi 1000
Na stump (kipandikizi) ni shilingi 400 tu katibu sana tukuhudumie.
Tunapatikana kibaha pwani.
0766006128
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom