@Lily TonyNimesoma uzi woote, nimeng'amua changamoto moja,
Kuna watu waliwahi kununua miche(sio kwako) na haijaleta matokeo(mavuno)
Je nyinyi sasa mnatusaidia vipi wateja wenu likitokea suala kama hilo?
Maana kununua miche ya miembe/mipapai ya heka 3-10 halafu zote zikafeli mie si nitakufa kwa kihoro.
oh samahani mkuu.Sikuona hili swali.@Lily Tony
Kwa Upande wangu nimerecord audio ambayo inamaelekezo yote muhimu@Lily Tony
Mwisho hakikisha mawasiliano kati ua mtaalamu na mkulima yanakuwa endelevu kuanzia siku unaponunua miche.Nisumbue kila wakati,uliza maswali bila kuchoka.Hii itatusaidia kutatua changamoto yako katika hatua za awali kabla miche yako haijateketea yote@Lily Tony
Kama ni huyo jamaa wa Kigamboni nilishawahi mwambia Lily, kwamba huyo jamaa wa miche ya apple ni mbabaishaji.Lily huyu mtu wa miche ya Apple uliyenipatia mbona ni kama hayuko serious.
Nimepokea haya malalamiko kwa zaidi ya wateja 4 mkuu.Niombe samahani kwa usumbufu.Kama ni huyo jamaa wa Kigamboni nilishawahi mwambia Lily, kwamba huyo jamaa wa miche ya apple ni mbabaishaji.