Aliyenipa pumzi za bure ndo alinipa hiki kiburi ,ukizani naogopa nongwa bado hujanijua vizuri
Majibu ya kijinga kwa maswali ya kipumbavu,mi Nina mambo mengi mwana siwezi jibu kila kitu
Muombe mungu anikwamishe,nabisha hata Mimi aliniumba yeye,juhudi ndo zinatufautisha_,MwanaFa