Michango ya wadada wa JF iko biased!!

Michango ya wadada wa JF iko biased!!

Usidanganyike na majina na Avatar wengine ni madume sio:whoo::whoo::whoo:

Hasa wewe MR nadhani dume tofauti na avatar yako(mienendo yako na mtiririko wa sentensi ni rahisi kujua jinsia), mimi naona ni rahisi kujua, kwanza humu ndani watu wapo tayari kuficha majina yao halisi lakini kuhusu jinsia wapo wazi, lakini hata unapojunga hili jukwaa tunaulizwa jinsia mbona!?
 
Hasa wewe MR nadhani dume tofauti na avatar yako(mienendo yako na mtiririko wa sentensi ni rahisi kujua jinsia), mimi naona ni rahisi kujua, kwanza humu ndani watu wapo tayari kuficha majina yao halisi lakini kuhusu jinsia wapo wazi, lakini hata unapojunga hili jukwaa tunaulizwa jinsia mbona!?


Hahah hahhaha
 
.......umenifurahisha sana, ila hata mimi sijui kwa nini napenda jukwaa la mahusiano kuliko jukwaa la siasa.Ujue siasa longo longo nyingi, halafu kuna bore sana maana hata ukiongea sana kuhusu siasa hakuna mabadiliko yoyote hali ya umasikini wa nchi unabaki pale pale.

Najua unajua lakini hujui kama unajua.
 
1. Ukisoma mtiririko wa maandishi utamjua huyu ni mdume au mjike.
2. Mwanamke ukizungumzia habari anayopenda kusikia atakusikiliza lkn utajuaje atajibu habari yake?
3. Mwanamke ukimshushia stori zinazoendana na jinsia yake utakuwa pamoja naye, mfano ukizungumzia aina mbalimbali za urembo wa hereni.
4. Lkn ukimletea mwanamke habari ambayo haijamgusa kabisa atakuletea zake anazojua...!!!
 
Hahahahahahahah ingekuwepo software kama hiyo ingepata soko kubwa duniani. Si unajua tena siku hizi kutafuta GF/BF/Mchumba online ni kitu cha kawaida. Sasa kama mdada/njemba inasema uongo kuhusu jinsia yake basi unaituma tu software ikufanyie kazi na kukupa jibu.

Hiyo software itakuwa inamtomasa mtumiaji wa computer au?
 
tunachangia bwana. Sa zingine huwa tunasoma halafu hatucomment ila jukwaa la siasa tunaliptia sana.
Tatizo habari za huku zinaumiza sana.
Kabla hujamaliza kuisoma michozi hiyo unashindwa hata kuchangia.

haaaaaaaa! kumbe!
 
Nawalaumu wanawake,

Tutabishana hadi kesho. Wadada humu wanachukulia post hii kama tuhuma kwao. Wanachofanya ni kujaribu kuuzima ukweli wa post hii kwa utetezi wa "Si wote jamani, mbona fulani huwa anachangia." Ukweli ni kuwa post hii ni kubwa na nzito kwa sababu inazungumzia utu na nafasi ya kisaikolojia na kisoshollojia ya mwanamke (Hasa wa Afrika na bara asia). Siasa ndiyo inayoongoza nchi. Wanawake aidha kwa kusababishwa na jamii au "fikra zao" wamekubali kuongozwa (kiukweli ni kufanywa watumwa) na wanaume. Nitaeleza:


  1. Wananwake wa ki-Tanzania wakifika darasa la tatu wanaanza kujifunza miandiko inayotajwa kama "miandiko ya kike." Masikini hawajui kuwa wanajichimbia kaburi kwa kuwa wanaume huendelea kuandika kwa namna ya asili ya ubongo wao wakati wao wakihangaika kutafuta nafasi ya chini kupitia miandiko yao.
  2. Wanawake wamekuwa viumbe wa kuendekeza hisia (naweza kuargue kisayansi kama nitalazimika). Mambo kama maamuzi magumu, michezo, siasa wanachukulia kama "ya wanaume" hivyo usishangae humu JF kwenye siasa wanagusa juu juu halafu wanakimbilia kwenye mapenzi. Kwao JF kama sehemu ya kujadili mambo ya kupendana na kufanya masihara ya mahaba.
  3. Wanawake wachache husoma magazeti kama Mwanahalisi (wengi wa wanaosoma utakuta gazeti kanunua mwanaume), wao wanasoma risasi na kutazama sinema za mapenzi za Bongo. Wengi wao hawapendi hip hop wanapenda nyimbo laini kama Ritha, Vaileth n.k.
  4. Wanawake wengi si wafuatiliaji habari. Hata kwenye kudai katiba mpya "Wanaume wataongea." Hata uvumbuzi mwingi wa Sayansi hawahusiki.
  5. Hukaa uchi majukwaani FM Academia wakati akina Nyoshi wamepiga suti safi. Ni wepesi kuwekwa mbele kushangilia wanasiasa uchwara kwa sauti za "Sema baba, waambie, wapashe"
  6. Humu JF wanawake wanaochangia very likely ni wasomi kuanzia form six hadi chuo kikuu lakini ni wachache sana utawaona wakijadili masuala ya kisiasa kwa level ya elimu ya juu, wengi hujibu kirahisi wakidhani misimamo mikali nii violence.
  7. Wanawake wameridhika na uvumi wa ujeuri wa wanume kupitia hormone ya testosterone na wao kuwa dhaifu kwa hormone oestrogen, progesterone etc (Namaanisha kuna propaganda za "kisayansi" ambazo zimewaingia na wao wamekubali.
Nimeandika haya kwa uchungu sana. Najua kuna hoja za kibaiolojia lakini wanawake wa dunia hii na kizazi hiki wako nyuma sana na hakuna dalili ya mambo kubadilika. Wasomi wanawake wanajadili mapenzi tu.

Huenda najichosha tu kusikitika. Yawezekana wao wanaona maisha yao yako poa tu na mimi najichosha bure. Ah, sijui. Mungu m'bariki mama yangu.
 
It is very sad kuona great thinkers are not thinking properly.

Kwanini mmesahau suala la uhuru? Je kuna kipengele ambacho kinasema kuwa kila JF member ni lazima achangie kwenye siasa? Na je kulikuwa na sababu gani ya kutenganisha majukwaa kama jukwaa la siasa ni lazima? Naamini majukwaa yalitenganishwa ili kila mtu aende kwenye jukwaa alipendalo. Mtoa hoja naomba uchukue muda na utafakari kwa ukweli, je hakuna mwanaume kati ya wanaokuzunguka ambaye hapendi siasa? Je umewahi kumsema/kuwasema kwanini hapendi/hawapendi siasa? Kwanini uliamua kuwasema wanawake? Kama vile mwanaume alivyo na haki ya kuchagua wanawake wanayo pia. Kitendo ulichofanya ni ukandamizaji wa jinsia and it seems (i stand to be corrected) kisaikolojia wewe wale wanaoamini kuwa mwanamke sehemu yake ni jikoni.

Kwanini haujaanza thread inayosema kuwa wanawake wanachangia sana kwenye jukwaa la biashara kwani wapo wengi kule? Na kwanini hukuanza thread nyingine inayowahoji wanaume wanaochangia kwenye jukwaa la mahusiano? Wapo wengi tena kuna members wa kiume ambao ni lazima watembelee, wachangie na watoe hoja kwenye hilo jukwaa.

It is sad kwa yule dada aliyekiri udhaifu kwasababu yaonyesha hajui thamani yake, na siku nyingine ni bora ajielezee nafsi yake badala ya kutoa maelezo kwa niaba ya watu wengine.

KUMBUKENI KUNA UHURU WA KUCHAGUA NA MUACHE KUISHI MAISHA YA KUDHANI. KWANI HAKUNA UTHIBITISHO WOWOTE WA JINSIA ZAIDI YA MANENO TU TUNAYOANDIKA.

ANGALIZO FIRST EXPRESSION IS NOT THE FINAL ANSWER
 
It is very sad kuona great thinkers are not thinking properly.

Kwanini mmesahau suala la uhuru? ........
ANGALIZO FIRST EXPRESSION IS NOT THE FINAL ANSWER

Mkuu naona bado uko usingizini. Huyu mnyama mnayemwita uhuru anawapeleka kubaya. Hivi hujiulizi kwanini "uhuru" huo wanawake wanautumia kukimbia siasa? Ni uhuru huo huo ndo uwafanye waache makalio yao nje wakicheza FM academia?

Using'ang'anie "busara" ya "kila mtu ana uhuru" angalia matumizi ya uhuru huo. Haya sasa unamlaumu mwanamke Pauline aliyesema wao wanawake ni viumbe dhaifu, si ndiyo uhuru huo wa maoni unaoutaka? Angalia post yangu juu hapo.

Jamani, kwanini mnashindwa kutambua vitu rahisi namna hii?
 
Mkuu naona bado uko usingizini. Huyu mnyama mnayemwita uhuru anawapeleka kubaya. Hivi hujiulizi kwanini "uhuru" huo wanawake wanautumia kukimbia siasa? Ni uhuru huo huo ndo uwafanye waache makalio yao nje wakicheza FM academia?

Using'ang'anie "busara" ya "kila mtu ana uhuru" angalia matumizi ya uhuru huo. Haya sasa unamlaumu mwanamke Pauline aliyesema wao wanawake ni viumbe dhaifu, si ndiyo uhuru huo wa maoni unaoutaka? Angalia post yangu juu hapo.

Jamani, kwanini mnashindwa kutambua vitu rahisi namna hii?

Na ukiwauliza baadhi ya mambo hata madogo madogo asilimia kubwa watakujibu SIJUI!
 
kwani kwa ufahamu wako uhuru maana yake ni nini?


Mkuu naona bado uko usingizini. Huyu mnyama mnayemwita uhuru anawapeleka kubaya. Hivi hujiulizi kwanini "uhuru" huo wanawake wanautumia kukimbia siasa? Ni uhuru huo huo ndo uwafanye waache makalio yao nje wakicheza FM academia?

Using'ang'anie "busara" ya "kila mtu ana uhuru" angalia matumizi ya uhuru huo. Haya sasa unamlaumu mwanamke Pauline aliyesema wao wanawake ni viumbe dhaifu, si ndiyo uhuru huo wa maoni unaoutaka? Angalia post yangu juu hapo.

Jamani, kwanini mnashindwa kutambua vitu rahisi namna hii?
 
3D...am only seeing this now! Well I truly hope ur not being overtly generalizing issues,
So since I don't cut corners, let me speak for the few I'd seen in here
They contribute healthyly to all threads!
 
Back
Top Bottom