Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
ni vizuri siasa ni ugonjwa kama ukimwi so mi naona ni poa tu
sisi ni viumbe weak,hatuwezi kuhimili mikiki mikiki-hizi pressure na stress za siasa hatuziwezi kwanza zinaweza kutufanya tuwe na mikunjo usoni halafu tusivutie bureeeeeeeeeeee.......(hahaha nangoja wale wabeijing aka women rights activists waje kunipopoa mawe hapa.......ngoja nijifiche kny haya masofa...:behindsofa::behindsofa::behindsofa:
sisi ni viumbe weak,hatuwezi kuhimili mikiki mikiki-hizi pressure na stress za siasa hatuziwezi kwanza zinaweza kutufanya tuwe na mikunjo usoni halafu tusivutie bureeeeeeeeeeee.......(hahaha nangoja wale wabeijing aka women rights activists waje kunipopoa mawe hapa.......ngoja nijifiche kny haya masofa...:behindsofa::behindsofa::behindsofa:
sisi ni viumbe weak,hatuwezi kuhimili mikiki mikiki-hizi pressure na stress za siasa hatuziwezi kwanza zinaweza kutufanya tuwe na mikunjo usoni halafu tusivutie bureeeeeeeeeeee.......(hahaha nangoja wale wabeijing aka women rights activists waje kunipopoa mawe hapa.......ngoja nijifiche kny haya masofa...:behindsofa::behindsofa::behindsofa:
Umeniacha hoi kwa mshangao! Unawasemea wanawake wa JF nani kakutuma? Jisemee nafsi yako tu maana humu kuna wanawake vichwa sana na wanajulikana.
Hao wabeijing ndio kina nani? Ina maana wao tu ndio waliojaaliwa kujua zaidi mambo ya mapenzi?
Jamani kama tunawaonea vile nawafahamu wengi walioko kwenye jukwaa la siasa ila sio na wengine wako hapa na wengine bado hawajakusikia kama Pelosi, Joyce Paul nk.
Kwa upande wangu nimewahi kuongea na baadhi yao na wengi wanasema wanapenda siasa na wanasoma sana hizo thread lakini ila hawapendi kuchangia maana kwenye siasa mambo mengi yanataka ushahidi au utafiti lakini mbali na hapo wanawake wana mipaka yao kwenye baadhi ya mambo hiyo ni natural ambayo Mungu mwenyewe alishaweka na wakitaka kujitutumua sana wataishia kuwa wabeijing ambao kama ukiwafuatilia sana wabeijing wengi wao wameachika au wako njiani kuachika
WanaJF, nimegundua kuwa wadada waJF hawako interested kuchangia political au posts nyinginezo mbali ya zile zihusuzo mahusiano na urafiki!! Kwa nini?? Tujadili
sisi ni viumbe weak,hatuwezi kuhimili mikiki mikiki-hizi pressure na stress za siasa hatuziwezi kwanza zinaweza kutufanya tuwe na mikunjo usoni halafu tusivutie bureeeeeeeeeeee.......(hahaha nangoja wale wabeijing aka women rights activists waje kunipopoa mawe hapa.......ngoja nijifiche kny haya masofa...:behindsofa::behindsofa::behindsofa:
hapana dear, hapo nakukatalia kabisa tena kwa nguvu. mimi si kiube dhaifu kama wapo basi ni wengine. udahaifu wenyewe uko wapi? he, nipo fiti mwenzangu usinijumlishe huko. na wangejua sisi ndio tunaotawala dunia! siku nyingine itawafafanulia kauli yangu hii
Thank you mdada, yaani nimecheka mpaka machozi, Zako nyuma ya masofa ukichungulia. kama vile haupo, kumbe umejificha.sisi ni viumbe weak,hatuwezi kuhimili mikiki mikiki-hizi pressure na stress za siasa hatuziwezi kwanza zinaweza kutufanya tuwe na mikunjo usoni halafu tusivutie bureeeeeeeeeeee.......(hahaha nangoja wale wabeijing aka women rights activists waje kunipopoa mawe hapa.......ngoja nijifiche kny haya masofa...:behindsofa::behindsofa::behindsofa:
Mkuu tangu ulipoweka bandiko hili jana, naona idadi ya wanawake wanaochangia kwenye mijadala ya kisiasa imeongezeka. Nitafurahi sana kama hii trend niliyoiona katika kipindi hiki kifupi itaendelea.
Una uhakika kabisa kuwa ni wanawake?
Tupo sana mawenzi na majukwaa yote tunazunguka ,ila jukwaa la siasa ni gumu Ndugu,wanaliweza wenyewe wengine tunachungulia na kutoka pale panapotugusa tunatoa thanx kwenye kandanda tupo tunachangia ,
ooh lord, where is WOS when you need her mostsisi ni viumbe weak,hatuwezi kuhimili mikiki mikiki-hizi pressure na stress za siasa hatuziwezi kwanza zinaweza kutufanya tuwe na mikunjo usoni halafu tusivutie bureeeeeeeeeeee.......(hahaha nangoja wale wabeijing aka women rights activists waje kunipopoa mawe hapa.......ngoja nijifiche kny haya masofa...:behindsofa::behindsofa::behindsofa:
Una uhakika kabisa kuwa ni wanawake?