radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,429
- 32,173
5.4 bilioni zilizochangwa kwajili ya waathirika wa tetemeko mkoani Kagera naomba kuuliza wanajukwaa hivi zile pesa ziliwafikia walengwa? Na kama hazikuwafikia walengwa zimekwenda wapi?
Naomba kujuzwa kwa anaejua mana tuna mtetezi wa wanyonge hasa unapopata janga kama hili ikiwa kuna mtetezi walau unafarijika.
Nawasilisha.
Naomba kujuzwa kwa anaejua mana tuna mtetezi wa wanyonge hasa unapopata janga kama hili ikiwa kuna mtetezi walau unafarijika.
Nawasilisha.