gasto genaro
JF-Expert Member
- Oct 15, 2014
- 780
- 554
Wakuu,
Kuna habari picha ambayo inasambaa mitandaoni (hususani Whatsapp) yenye maneno kuwa..
"Serikali imewaomba wakazi wa Kagera walioathirika na tetemeko kujijengea wenyewe kwani michango iliyochangwa na wadau imeelekezwa kwenye taasisi za serikali."
Picha hiyo ni ya kutoka ukurasa wa Facebook wa Simu Tv ambayo inamuonesha mtangazaji wa channel ten kama ndiye aliyeitangaza habari hiyo.!
Kwa wale mnaoangalia habari channel ten mnaweza kututueleza katika hili.
Je, kuna ukweli katika hili?
--------
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewaomba wakazi wa Kagera walioathirika na tetemeko kufanya jitihada za kujijengea nyumba zao wenyewe kwani michango iliyochangwa na wadau imeelekezwa kwenye taasisi za serikali.
Mkuu wa Mkoa amedai kuwa jumla ya fedha zilizochangwa ni zaidi ya Bilioni 5.4 na kusema kuwa zimeelekezwa katika kukarabati miundombinu ya taasisi za Serikali na kuwataka wananchi wanaosubiri msaada wa serikali kusubiri mchango itakayotolewa na wadau walioahidi kuwasaidia waathirika moja kwa moja.
Chanzo: Chanel 10
Kuna habari picha ambayo inasambaa mitandaoni (hususani Whatsapp) yenye maneno kuwa..
"Serikali imewaomba wakazi wa Kagera walioathirika na tetemeko kujijengea wenyewe kwani michango iliyochangwa na wadau imeelekezwa kwenye taasisi za serikali."
Picha hiyo ni ya kutoka ukurasa wa Facebook wa Simu Tv ambayo inamuonesha mtangazaji wa channel ten kama ndiye aliyeitangaza habari hiyo.!
Kwa wale mnaoangalia habari channel ten mnaweza kututueleza katika hili.
Je, kuna ukweli katika hili?
--------
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewaomba wakazi wa Kagera walioathirika na tetemeko kufanya jitihada za kujijengea nyumba zao wenyewe kwani michango iliyochangwa na wadau imeelekezwa kwenye taasisi za serikali.
Mkuu wa Mkoa amedai kuwa jumla ya fedha zilizochangwa ni zaidi ya Bilioni 5.4 na kusema kuwa zimeelekezwa katika kukarabati miundombinu ya taasisi za Serikali na kuwataka wananchi wanaosubiri msaada wa serikali kusubiri mchango itakayotolewa na wadau walioahidi kuwasaidia waathirika moja kwa moja.
Chanzo: Chanel 10