He will have to goMtoa Mada kutokumuweka Jimmy Reeves ni kama kutokujua Mambo... tunaita Ukurupukaji ila kwa kuwa ni Mtanzania namsamehe...
Sure mkuu Distance Drum si Mchezo ukisikiliza kwenye mtambo wa ukweli unaweza tokwa na chozi la furaha.. yaani kama nyimbo mpya vile...He will have to go
I love you because
Hivi vibao hutulia sana nikivisikia
Duh... mkuu utakuwa unaukame kinoma nenda Kinondoni ukajiponee... Naona End of the World imewadia..charlie Pride na kitu kiss an angel goodmorning yaani hili songi nikilisikia huwa lazima nidindishe... sijui kwa nini