Nina miaka 42 mwanamke ana 41. Miaka14 amekaa na mwanamke na mtoto sasa ana miaka 13. Alipofika darasa la 3 alimwandikisha kwa jina la bwana wa zamani.
Nimevumilia miaka10 sasa nimechoka.
Yeye anadai mtoto ni wangu na anataka tuendelee kuishi.
Nifanyeje?
Nimevumilia miaka10 sasa nimechoka.
Yeye anadai mtoto ni wangu na anataka tuendelee kuishi.
Nifanyeje?