Licking Wounds
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 3,800
- 4,851
Isije kuwa yeye ndo wewe,au wewe ndio yeye mkuu? Kwamba ni nyie nyie?!😳😳Ww jamaa kama mm tuuu au weweni mm nn
Isije kuwa yeye ndo wewe,au wewe ndio yeye mkuu? Kwamba ni nyie nyie?!😳😳Ww jamaa kama mm tuuu au weweni mm nn
Isije kuwa yeye ndo wewe,au wewe ndio yeye mkuu? Kwamba ni nyie nyie?!😳Ww jamaa kama mm tuuu au weweni mm nn
kunywa tu hamna namna! Hao wajini wapishe mbaliNahisi hao malaika namie nnao nikinywa naumwa ila ndio siachi....wataniua!!!
My boss miss you so muchHahhahahh
KabisaIsije kuwa yeye ndo wewe,au wewe ndio yeye mkuu? Kwamba ni nyie nyie?!
HahaNahisi hao malaika namie nnao nikinywa naumwa ila ndio siachi....wataniua!!!
Dawa ni kuwatesa siyoUnakua na majini wasiotaka unywe pombe ila hata hao majini hawaruhusiwi kukaa mwilini mwa Mtu ukiwafatisha ni dhambi kubwa tu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kweli hao Majini sio malaika Wala Nini we fanya YakoKweli?
Ndio achana nao Usiwafatishw majini hawana msaada Kwa mwanadamuDawa ni kuwatesa siyo
Mashetani hayo sio malaikaMalaika wangu hawapendi ninywe Tungi, hili jambo limenishangaza kwa muda mrefu sana, sikuwa ni mtu wa dini sana ila nikinywa pombe nilikuwa nakumbana ni mikosi Sana
Baadaye nikienda kwa mama mmoja mganga akaniambia wewe una kama malaika fulani kichwani kwako hawapendi unywe pombe
Sasa najiuliza ni aina gani ya malaika walikuwa kichwani kwangu?
Ushatia kambiMashetani hayo sio malaika
Hahahaha badili vinywaji mpaka upate ladha wanayopenda utafaidi sana! Mimi wangu wanapenda mno Konyagi na Bitter lemon nikibadili tu ugomvi huwa mkubwa sanaNahisi hao malaika namie nnao nikinywa naumwa ila ndio siachi....wataniua!!!
Anazungukazunguka tu, mganga na malaika wap na wap? Anyooshe maelezo
Oooh nawalazimisha kunywa Safari naona hawaipendi ila pombe kali hawana shidaHahahaha badili vinywaji mpaka upate ladha wanayopenda utafaidi sana! Mimi wangu wanapenda mno Konyagi na Bitter lemon nikibadili tu ugomvi huwa mkubwa sana
Uje tupige lamli...Nahisi hao malaika namie nnao nikinywa naumwa ila ndio siachi....wataniua!!!
Maruhani/mapepo/majiniThe same to Me mpaka now juzi kaniambia hivyo ila aliniambia ni Ruhani
Hahahahahaha dabo Kiki...Oooh nawalazimisha kunywa Safari naona hawaipendi ila pombe kali hawana shida
Hatari sanaHahahaha badili vinywaji mpaka upate ladha wanayopenda utafaidi sana! Mimi wangu wanapenda mno Konyagi na Bitter lemon nikibadili tu ugomvi huwa mkubwa sana