tandabui2021
JF-Expert Member
- Nov 5, 2021
- 3,105
- 5,310
Malaika wangu hawapendi ninywe Tungi, hili jambo limenishangaza kwa muda mrefu sana, sikuwa ni mtu wa dini sana ila nikinywa pombe nilikuwa nakumbana ni mikosi sana.
Baadaye nikienda kwa mama mmoja mganga akaniambia wewe una kama malaika fulani kichwani kwako hawapendi unywe pombe.
Sasa najiuliza ni aina gani ya malaika walikuwa kichwani kwangu?
Baadaye nikienda kwa mama mmoja mganga akaniambia wewe una kama malaika fulani kichwani kwako hawapendi unywe pombe.
Sasa najiuliza ni aina gani ya malaika walikuwa kichwani kwangu?