Miaka 7 bila ndoa

Miaka 7 bila ndoa

Sina kazi maalum yani mpiga dili tu Leo napiga dili hili kesho lile so haifiki hiyo 600k kwa mwezi

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana bro hakika una mitihani nauona ugumu wa maisha unaoupitia,watoto wawili kipato kwa mwezi 600K hakifiki aisee si balaa hilo!

Mungu akusaidie kaka.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Nimejaribu kuvaa viatu vyako hapa mkuu, pole sana. Moja kati ya matatizo mengi tuliyonayo vijana wa leo kama hilo lako mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika ni mtihani,kijana ana elimu yake kichwani kwa mwezi ku-save hata 100K inamuwia vigumu.

Hii issue inaumiza sana,yani sana sana!!!

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Nyinyi ni dini gani? Kama ni wa Wakatoliki nendeni kwa padri muandikishe ndoa. Mnafunga ya kati kati ya wiki baada ya misa ya kwanza. Nyinyi na mashahidi wenu tu lakini mtaishi kwa haki mbele ya macho ya Mungu.
Amen!

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Tatizo hapo ni dini zenu tofauti sio pesa km mngekuwa wote waislam kazi ingekuwa rahisi tu unaenda kwa mzazi wa mwanamke na shehe wako mnafunga ndoa hata nusu saa nyingi

Hayo mambo ya barua sijui uchumba mira tu hizo ktk dini hamna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tangu Jana jioni hapokei simu hajibu meseji - JamiiForums

Kwa hiki ulichokiandika katika Uzi huu endelea tu kutopata pesa huna maana

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo la mitandao ni hili na huwa nasisitiza kila siku kwamba mtu kuwa kwako nyuma ya keyboard kusikufanye uandike vitu visivyokuwa na maadili hata kama unatunga.

Kama hivi sasa ana tatizo kubwa {japo sina hakika kama nalo hajatunga} then anaomba ushauri kutoka kwa watu waliostaaribika.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Tatizo la mitandao ni hili na huwa nasisitiza kila siku kwamba mtu kuwa kwako nyuma ya keyboard kusikufanye uandike vitu visivyokuwa na maadili hata kama unatunga.

Kama hivi sasa ana tatizo kubwa {japo sina hakika kama nalo hajatunga} then anaomba ushauri kutoka kwa watu waliostaaribika.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Anatuchosha tu .....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo la mitandao ni hili na huwa nasisitiza kila siku kwamba mtu kuwa kwako nyuma ya keyboard kusikufanye uandike vitu visivyokuwa na maadili hata kama unatunga.

Kama hivi sasa ana tatizo kubwa {japo sina hakika kama nalo hajatunga} then anaomba ushauri kutoka kwa watu waliostaaribika.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Mkuu hii inshu serious let's keep jokes aside,miaka 7 sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah Dingi Hii Post ya Mwanamke wako ushaleta Zaidi ya Mara Mia moja humu, Hujapataga Suluhisho tu? Huna maamuzi Binafsi kama Mwanaume?
 
Anafuata msemo wa kwenye biblia kwamba mwanaume atakula kwa jasho so nahisi anasubiri nitusue mwaka wowote ule nitumie hela nliyoitafuta kwa jasho langu kufanya masuala ya mahari na maendeleo mengine ya kifamilia yeye kuniazima ya kwake labda anaona anaenda kinyume na maandiko

Sent using Jamii Forums mobile app
Pambana utafute hela ya mahali, ukitumia pesa yake ktk kulipia hili haipendezi hata kidogo.
 
Pole kijana mwenzangu kwa misukosuko na mm nilipitia ayo aisee, sema mim nina wasiwasi na mpenzi wako kama amechukua mkopo alishindwa kukuazima pesa ya kupeleka posa mana navyojua mimi wewe na mkeo kitu kimoja sasa nashindwa kuelewa kama ulimpa nauli ya kwenda kufanya interview na kazi akapata sasa iweje kakopa pesa alafu hashindwe kukukopesha hili ukalipe mahali

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu mwanamke hatakiwi toa posa wala mahali heshima iko wapi hapo kwa mwanaume?akishushuliwa huko mbele atamlaumu nani?mwanaume kufanya hyo incarnate ownership n authority..binafsi kama mwanamke ntamsaidia mwanaume mengine lakini posa n.a. mahali sithubutu bora ijulikane tu nimechukuliwa kwa mkopo basi..sharp

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu salaam

R.I.P Godzilla

Daaaah sometimes mwenzenu nakaa nawaza sana ,yaani umaskini ni mbaya sana kwa kweli

Mi ni baba wa watoto wawili,mmoja wa kike mkubwa na mwingine wa kiume miezi kadhaa

Kitu kinachonifanya sometimes nikae na mawazo na kujiona sitendi haki kwa mwenzangu ni hii hali ya kukaa nae miaka mingi takribani 7 bila ndoa,barua ya posa wala kutambulishana rasmi

Huyu mama watoto nlikutana nae enzi nipo Chuo ,ila yeye alishamaliza certificate so akihangaika kutafuta kazi ,basi tukaanza kudate hadi alipopata kibarua mkoani DSM Maisha yakaendelea na mwisho nikampa mimba,tulipanga iwe hivyo.

Ikabidi niwape taarifa kwao kwamba nimempa mimba binti yao,hapo wazazi wake hawanijui,mamake kanimind kinyama nikamwambia kama vipi mkae basi na binti yenu na mimba yake,ila baadae babake akaingilia kati mambo yakaa sawa

Nikaenda kwa mamake mdogo kukamilisha baadhi ya taratibu za kwao nikaanza kukaa nae rasmi ghetto kazi ikamshinda kutokana na mimba kuendelea kukua,nikamfungulia biashara kwa hela yangu ya boom Maisha yakaendelea vizuri

Nimekaa nae ghetto akaitwa interview flani na mimba yake ya miezi 8 nikamsafirisha hadi DSM akapiga interview akarudi ,ilipofika miezi 9 akajifungua mtoto wa kike,tulifurahi sana nikaendelea kukaa nae ghetto mamake Mdogo akawa anakuja anamkanda na kumpa huduma zingine Maisha yakaendelea

Baada ya miezi 3 tangu mwanangu azaliwe mama mtoto akapata ajira rasmi kupitia ile interview aliyoifanya tena kazi yenye mshahara mnono

Nikampa hela akaenda kuripoti kazini mkoa wa mbali na nilipo,wakati huo nimeshamaliza Chuo na ramani zimeanza kugoma

Baada ya muda nikamtembelea mama mtoto na likizo moja nikaenda kwao nikaonana na wazazi na ndugu zake wengine wakanitambua kama ndio mimi nimmemzalisha mwanao,basi nikaendelea kupewa heshima zote

Maisha yakaendelea hadi tumepata mtoto wa pili,huyu binti nyumbani kwa ndugu zangu hawajawahi kumwona physically zaidi ya kwenye picha na kuzungumza nao kwenye simu na anapewa heshima zote na ndugu zangu

Kitu ambacho kinaniwazisha ni hali yangu ya kiuchumi hadi nimeshindwa kumpeleka home manake ni distance inatakiwa nijipange kweli kweli na nikichek mbele sioni dalili ya kuwa stable kichumi kwa wakati huu,naishi kwa kuunga unga tu natuma matumizi kidogo kidogo ya watoto

Sasa nawaza miaka 7 yote kwao sijapeleka mahari,wala barua ya posa, home kwa ndugu zangu sijampeleka manake wazazi wangu walishadead kitambo sana

Nakosaga raha sana kitendo cha kukosa hela ya mahari ya kimlipia huyu binti ingawa kwao sijapewa kiwango cha kulipa kwa maana hata barua ya posa sijapeleka kwa miaka yote 7

Nishaurini wakuu nifanyaje nipate hela ya kutosha nikajitambulishe kwao na kutoa japo kishika uchumba,manake naona heshima itapotea kabisa kwa wakwe zangu na ndugu zake kisa sijalipa mahari wala kishika uchumba na hii ni kwa sababu hali yangu ya kipato ni ndogo mno naweza kulipa kodi,kula na kidogo kutuma kwa watoto .

Ushauri please

Sent using Jamii Forums mobile app
MKUU,

BAADA YA KUMTUMIA HUU UZI BABA MKWE WAKO AMESEMAJE LABDA ?

TUANZIE HAPO.

"ILA MAISHA LAZIMA YAENDELEE."
 
Nyinyi ni dini gani? Kama ni wa Wakatoliki nendeni kwa padri muandikishe ndoa. Mnafunga ya kati kati ya wiki baada ya misa ya kwanza. Nyinyi na mashahidi wenu tu lakini mtaishi kwa haki mbele ya macho ya Mungu.

Hii ikoje Sky Eclat, maana nina changamoto hii inaweza kuwa suluhisho.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom