Miaka 7 bila ndoa

Miaka 7 bila ndoa

Anafuata msemo wa kwenye biblia kwamba mwanaume atakula kwa jasho so nahisi anasubiri nitusue mwaka wowote ule nitumie hela nliyoitafuta kwa jasho langu kufanya masuala ya mahari na maendeleo mengine ya kifamilia yeye kuniazima ya kwake labda anaona anaenda kinyume na maandiko

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo maandiko yanayosema muishi kwa kuzini tu amekuonesha?
 
Duuh hukutaka hata kujua ameifanyia nini? Kweli mwanaume asipokuwa na hela anakuwa mnyonge sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa huyu usimuweke kwenye hali hiyo sio swala la unyonge, hela zenu huwa zina visiarani sana na masimango tele huwa wanaume tunaoenda kutafuta zetu, asili ya mwanaume ni kukaza hata kama maisha yapo taiti,
 
Yuko poa alichukua mkopo wa kwanza M 15 ila daaaah yote akaipiga kivyake mi sikutaka kumwingilia kwenye fedha zake ,now kaniambia atachukua mwingine ndo namsikilizia anikopeshe kiasi nipambane na biashara nna hasira kinyama na kutafuta hela ila mtaji ndo mtihani!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata usimkope tafuta yako man ili ujenge heshima yako, mwanaume pochi mzee baba
 
Pole na changamoto unazo pitia! umasikini ni mbaya sana ,,. naona kuna mazingira flani unaulea, mke wako anapesa ya kuendesha familia, wewe unafanya nini nyumbani ? hiyo ni frusa sepa katafute hela,,. mitume waliuombea mguu uliotoka nyumbani kwenda kutafuta,, usipige vibarua vya kijinga, nenda kalime chochote chenye tija, mbogamboga ndio njia kwako, kalime karibu na miji mikubwa kwa ajiri ya soko, 0Mungu Akutangulie
 
nichangamoto ila there is always a way keep pushing keep grinding usikate tamaa kuhusu harusi na stuff kama izo ni ndogo sana pambana na swala la kipato iam sure things will be okay

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwa nafasi yangu uwezekano wa wewe kumuoa huyo mwanamke ni mdogo pengine hakuna kabisa,kwa sasa jipe moyo una mwanamke, lakini jitume kufanya biashara utoboe kumbuka mwanamke akikuzidi mshahara mzidi elimu,akikuzidi elimu mzidi pesa vinginevyo utaendeshwa utake usitake kashapata kazi soon subiri uone outcome atakayokuja nayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom