Miaka 7 bila ndoa

Miaka 7 bila ndoa

Anafuata msemo wa kwenye biblia kwamba mwanaume atakula kwa jasho so nahisi anasubiri nitusue mwaka wowote ule nitumie hela nliyoitafuta kwa jasho langu kufanya masuala ya mahari na maendeleo mengine ya kifamilia yeye kuniazima ya kwake labda anaona anaenda kinyume na maandiko

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah uyo mwanamke hana hata huruma kwakweli mpaka nimejisikia vibaya binafsi nilikuwa na mapito kama ya kwako lakini nashukuru mungu mke wangu ni mtu mwenye huruma sana kuna baadhi ya vitu alikuwa ananikampani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole kijana mwenzangu kwa misukosuko na mm nilipitia ayo aisee, sema mim nina wasiwasi na mpenzi wako kama amechukua mkopo alishindwa kukuazima pesa ya kupeleka posa mana navyojua mimi wewe na mkeo kitu kimoja sasa nashindwa kuelewa kama ulimpa nauli ya kwenda kufanya interview na kazi akapata sasa iweje kakopa pesa alafu hashindwe kukukopesha hili ukalipe mahali

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mume na mke ni kitu kimoja, lugha ya kuazimana pesa sijui inatokea wapi? You are supposed to share 💯% with your better half. Vinginevyo ndo itaingia lugha ya hiki cha mama, kile cha Baba, na sio hivi ni vya familia. Besides, kwenye ndoa mmoja hapaswi kuchukua mkopo bila kukubaliana na mwenzake juu ya matumizi na mipango ya huo mkopo. You are painting a good picture of her (which is a good thing), but there's definitely a weak link somewhere.
 
Ndoa ya kiislamu ni simple mkuu, unless kuna lingine ile fanya uoe mkuu zinaa ni haramu!!!
Ndio nafikiria hili

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wewe ni muislamu ndoa ya bomani sijui ya kiserikali sio ndoa Kwa mujibu wa uislamu.
Zinaa pia ni haramu kwenye uislamu ndio maana ndoa ikafanywa simple kisheria.
Mungu akufanyie wepesi ndugu yangu uweze kuoa haraka!!
Amiina!!
 
Communication, mnawataarifu wazazi kuwa mambo yamekaa vibaya ila mnaomba baraka za Mungu. unapeleka posa au unaweza kumtuma mshenga akirudi na barua ya mahitaji mnaiweka sandukuni kwanza pesa ikipatikana mna bariki ndoa na sherehe kubwa
Ooh kumbe inawezekana, sema kwa Uyu ndugu yetu shida nafikiri ni dhehebu tofauti ndio shida hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu tatizo hataki kubadili dini
Ndoa ya kiislamu ni simple mkuu, unless kuna lingine ile fanya uoe mkuu zinaa ni haramu!!!

Mkuu wewe ni muislamu ndoa ya bomani sijui ya kiserikali sio ndoa Kwa mujibu wa uislamu.
Zinaa pia ni haramu kwenye uislamu ndio maana ndoa ikafanywa simple kisheria.
Mungu akufanyie wepesi ndugu yangu uweze kuoa haraka!!
Amiina!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama mume na mke ni kitu kimoja, lugha ya kuazimana pesa sijui inatokea wapi? You are supposed to share % with your better half. Vinginevyo ndo itaingia lugha ya hiki cha mama, kile cha Baba, na sio hivi ni vya familia. Besides, kwenye ndoa mmoja hapaswi kuchukua mkopo bila kukubaliana na mwenzake juu ya matumizi na mipango ya huo mkopo. You are painting a good picture of her (which is a good thing), but there's definitely a weak link somewhere.
Nimekuelewa vizuri sana mkuu umechambua vzuri sana, mimi ninachokiona hapo kwa uyu ndugu yetu mama watoto kuna vitu hanakosa kama mama mwenye nyumba nafikiri haja pray part yake pamoja na kushirikiana na mwenzake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole kijana mwenzangu kwa misukosuko na mm nilipitia ayo aisee, sema mim nina wasiwasi na mpenzi wako kama amechukua mkopo alishindwa kukuazima pesa ya kupeleka posa mana navyojua mimi wewe na mkeo kitu kimoja sasa nashindwa kuelewa kama ulimpa nauli ya kwenda kufanya interview na kazi akapata sasa iweje kakopa pesa alafu hashindwe kukukopesha hili ukalipe mahali

Sent using Jamii Forums mobile app
Na tena hiyo M 15 ni kubwa, kama amefanyia jambo, litakuwa linaonekana kwa macho...Huyo msichana ameshindwa hata kumuwezesha kidogo jamaa!!!

Jamaa kaandika kama amekosea sana, lkn ndani yake na majibu yake anaonekana wangeshirikiana na msichana wangefanikisha kitu.

There is problem somewhere.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na tena hiyo M 15 ni kubwa, kama amefanyia jambo, litakuwa linaonekana kwa macho...Huyo msichana ameshindwa hata kumuwezesha kidogo jamaa!!!

Jamaa kaandika kama amekosea sana, lkn ndani yake na majibu yake anaonekana wangeshirikiana na msichana wangefanikisha kitu.

There is problem somewhere.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakweli mkuu yani imebidi nishangae sana yani 15M kazitumia mwanamke zote wakat mume wake hana mbele wala nyuma inamana uyo dada anajisikia raha kumwona jamaa ake anavyozalilika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyinyi ni dini gani? Kama ni wa Wakatoliki nendeni kwa padri muandikishe ndoa. Mnafunga ya kati kati ya wiki baada ya misa ya kwanza. Nyinyi na mashahidi wenu tu lakini mtaishi kwa haki mbele ya macho ya Mungu.
Kama kweli ni Mkatoliki ushauri huu unamfaa sana
 
Back
Top Bottom