walitola
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 4,832
- 5,632
Dah uyo mwanamke hana hata huruma kwakweli mpaka nimejisikia vibaya binafsi nilikuwa na mapito kama ya kwako lakini nashukuru mungu mke wangu ni mtu mwenye huruma sana kuna baadhi ya vitu alikuwa ananikampaniAnafuata msemo wa kwenye biblia kwamba mwanaume atakula kwa jasho so nahisi anasubiri nitusue mwaka wowote ule nitumie hela nliyoitafuta kwa jasho langu kufanya masuala ya mahari na maendeleo mengine ya kifamilia yeye kuniazima ya kwake labda anaona anaenda kinyume na maandiko
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app


% with your better half. Vinginevyo ndo itaingia lugha ya hiki cha mama, kile cha Baba, na sio hivi ni vya familia. Besides, kwenye ndoa mmoja hapaswi kuchukua mkopo bila kukubaliana na mwenzake juu ya matumizi na mipango ya huo mkopo. You are painting a good picture of her (which is a good thing), but there's definitely a weak link somewhere.
uonekane upo serious miaka 7 mingi