Miaka 7 Badae, Samsung S2 Bado Ni Simu Bora.

Miaka 7 Badae, Samsung S2 Bado Ni Simu Bora.

Mkuu, raia wanataka Cim zao ziwe PC. Wanataka wa install hadi Auto CAD waanze kufanya architecture.


waanze kufanya, kwa hiyo kumbe hawajaanza bado...

hata iphone 10 bado haijaweza kutumika kuchora ramani ya nyumba...

kisimu cha mkononi hakiwezi ku replace DSRL camera,
kisimu hakiwezi ku replace personal computer,
kisimu cha mkononi hakiwezi ku replace TV,
kisimu cha mkononi hakiwezi ku replace hata fm redio ya mabetri...

Cellphone ijaribu kufanya kazi ya fm redio kwanza ndio iseme inataka ku replace computer
 
Uli update kwa ku2mia sd card or pc?
Then ukiweka samsung j1 au j2 uniwekee na samsung s2 nachukua s2
 
Wamezuia kuupdate some important Apps na wala hutaenjoy. Mimi ninayo S2 mpaka leo... was one of the best phones. Sasa watoto wanaitumia kuchezea games
Yes, ila ukii-root, unakula latest Android updates

Msolo
 
Uli update kwa ku2mia sd card or pc?
Then ukiweka samsung j1 au j2 uniwekee na samsung s2 nachukua s2
S2 ndio niliyojifunzia kuroot na ku-update simu, so nilianza kwa pc, sasa hivi ni kwa sd tu, nasubiri Oreo ni-update.

Msolo
 
Hilo soko la india linaitwaje mkuu
mtu akisema soko la india ni kama anasema soko la Tanzania ndani yake kuna jumia, kupatana, zoomTanzania etc.

huko india nao wana site zao kama flipkart, ebay.in, amazon.in etc ila wanauza ndani ya nchi hivyo utahitaji forwader ili vikufikie huku.
 
ukipewa task kubwa itashindwa, ukipewa task gani kwa mfano, kuchora ramani ya nyumba?

na hiyo task kubwa utapewa na nani, mwalimu?

hahahahahaaaa....
zipo nyingi tu kama
-emulation
-games
-multitasking ya apps nyingi
-kubrowse site zenye script nzito
-kuplay video za kisasa etc.
 
Brand nyingi zinazotumia mfumo endeshi wa Android hazina tofauti sana, zaidi ya mabadiliko (updates) kwenye hardware, mimi natumia Samsung Galaxy S2 ni toleo la 2011 miaka 7 nyuma, lakini nimeweza kui-root n natumia Lineages OS 7.1.2 Nougat.

Ina 1Gb RAM, storage ni 16gb na Processor ni 1.2Ghz dual processor, na update ya Oreo(8) ikiwa tayari nita-update pia.

Ukweli specification zake haziko tofauti sana na simu nyingi zinazotoka wakati huu, kwangu bado ni simu bora inayotumia mfumo wa Android.

Kwa hiyo huwa sioni cha ajabu sana, labda kwenye simu zenye Os tofauti kama iphone.
ed7cfc62aa0398c221cea1ab6247d9f3.jpg
Hongera..kama simu ni wasap Na ista
 
Nimerudi Samsung na Galaxy Note 9

Midnight black and cloud silver Samsung Galaxy Note 9s are on the way

KEY SPECS
CPU:
Qualcomm Snapdragon 845
Memory: 6/8GB
Storage: 128/512GB
MicroSD storage: Up to 512GB
Screen size: 6.4 inches
Resolution: 2960 x 1440
Connectivity: Bluetooth 5, NFC
Battery: 4,000mAh
Size: 161.9 x 76.4 x 8.8 mm
Weight: 201 g (7.09 oz)
Operating system: Android 8.1 Oreo
 
Kupokea updates ni muhimu sana kipindi hiki, kumekua na mianya mingi kwenye platform mbalimbali za vifaa vya electronics, mianya hii imekua ikitumika na wahalifu/wadukuziau mashirika kuingia kwenye simu za watu na kujichotea details binafsi kibao, zikiwemo credit card numbers, passwords na ata location yako.

Hivyo basi kwa kampuni zinazochukulia kwa uzito usalama wa mtumiaji hutoa security updates kila mara pale wanapogundua mwanya kwenye platform yao.

Kwa upande mwingine updates za simu kutoka kwa mtengenezaji huwa zinakuja ili kutatua matatizo mengine ya kama kuisha chaji kwa haraka(battery drainage), tatizo la ubora wa picha au kasi ndogo ya simu. Bila kusahau muonekano mzima wa software ya simu yako.

UPDATES NI MUHIMU KUZINGATIWA
Umenikumbusha update moja ya windows 10 juzi apa ambayo ilikuwa inafuta mafaili aisee, dah
 
Back
Top Bottom