Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,489
kwa mpya mkuu utakuwa limited sana. kama upo comfortable na kuagizishia online redmi 5A ni simu nzuri kwa hio budget,isiyozidi 200,000/= cuz vyuma vimekaza mno mkuu..
kwa hapa bongo mpya sijui hata simu ya kukushauri nyingi sio nzuri.
kama unatake risk na kununua used unaweza pata simu kama p8 lite, galaxy j5 ni simu nzuri.