Miaka 7 Badae, Samsung S2 Bado Ni Simu Bora.

Miaka 7 Badae, Samsung S2 Bado Ni Simu Bora.

isiyozidi 200,000/= cuz vyuma vimekaza mno mkuu..
kwa mpya mkuu utakuwa limited sana. kama upo comfortable na kuagizishia online redmi 5A ni simu nzuri kwa hio budget,

kwa hapa bongo mpya sijui hata simu ya kukushauri nyingi sio nzuri.

kama unatake risk na kununua used unaweza pata simu kama p8 lite, galaxy j5 ni simu nzuri.
 
Nasikitika kuona window phone hazitakuwa na updates hizi Android sometimes ni gimmicks tu,bado nokia yangu 830 inapata update kila mwaka
 
kwa mpya mkuu utakuwa limited sana. kama upo comfortable na kuagizishia online redmi 5A ni simu nzuri kwa hio budget,

kwa hapa bongo mpya sijui hata simu ya kukushauri nyingi sio nzuri.

kama unatake risk na kununua used unaweza pata simu kama p8 lite, galaxy j5 ni simu nzuri.

Chief-Mkwawa ,

Mkuu,
Hiyo bei ya 200,000/=

Specifications zake (Redmi 5A) ni zipi maana zipo simu hizo matoleo mengi.

Kama utaweka specification itakuwa rahisi kwa mteja au mhitaji kutoa order yake.
 
Chief-Mkwawa ,

Mkuu,
Hiyo bei ya 200,000/=

Specifications zake (Redmi 5A) ni zipi maana zipo simu hizo matoleo mengi.

Kama utaweka specification itakuwa rahisi kwa mteja au mhitaji kutoa order yake.
gsmarena unazipata specs
Xiaomi Redmi 5A - Full phone specifications

kwa ufupi
-camera 13mp
-battery 3000mah
-soc Qualcomm MSM8917 Snapdragon 425 yenye cpu ya Quad-core 1.4 GHz Cortex-A53 na gpu ya Adreno 308
-ram ya 2gb au 3gb
-internal 32gb au 16gb.
 
gsmarena unazipata specs
Xiaomi Redmi 5A - Full phone specifications

kwa ufupi
-camera 13mp
-battery 3000mah
-soc Qualcomm MSM8917 Snapdragon 425 yenye cpu ya Quad-core 1.4 GHz Cortex-A53 na gpu ya Adreno 308
-ram ya 2gb au 3gb
-internal 32gb au 16gb.

Chief-Mkwawa ,
Mkuu,
Safi sana. Hapo wateja watakuja.

Ongezea ufafanuzi hapa..
32gb au 16gb bei ni iyo hiyo 200,000/=?

Mteja ataipata baada ya siku ngapi!?

Delivery yako ikoje ni home au Anakuja kuchukua ulipo !?

Je , uko Tanzania mf. Dar, Arusha, Mwanza, Kigoma!?

Malipo una pokea hela baada ya mzigo kufika na kumpelekea mteja au mteja anakupa hela yote kisha unamletea mzigo!?

Ukijibu hayo maswali nakutumia wateja ..
 
Chief-Mkwawa ,
Mkuu,
Safi sana. Hapo wateja watakuja.

Ongezea ufafanuzi hapa..
32gb au 16gb bei ni iyo hiyo 200,000/=?

Mteja ataipata baada ya siku ngapi!?

Delivery yako ikoje ni home au Anakuja kuchukua ulipo !?

Je , uko Tanzania mf. Dar, Arusha, Mwanza, Kigoma!?

Malipo una pokea hela baada ya mzigo kufika na kumpelekea mteja au mteja anakupa hela yote kisha unamletea mzigo!?

Ukijibu hayo maswali nakutumia wateja ..
Akikujibu nitag
 
Kwann Simu Unahitaji Kuupdate Hebu Nipe Faida Zake ?
Kupokea updates ni muhimu sana kipindi hiki, kumekua na mianya mingi kwenye platform mbalimbali za vifaa vya electronics, mianya hii imekua ikitumika na wahalifu/wadukuziau mashirika kuingia kwenye simu za watu na kujichotea details binafsi kibao, zikiwemo credit card numbers, passwords na ata location yako.

Hivyo basi kwa kampuni zinazochukulia kwa uzito usalama wa mtumiaji hutoa security updates kila mara pale wanapogundua mwanya kwenye platform yao.

Kwa upande mwingine updates za simu kutoka kwa mtengenezaji huwa zinakuja ili kutatua matatizo mengine ya kama kuisha chaji kwa haraka(battery drainage), tatizo la ubora wa picha au kasi ndogo ya simu. Bila kusahau muonekano mzima wa software ya simu yako.

UPDATES NI MUHIMU KUZINGATIWA
 
Chief-Mkwawa ,
Mkuu,
Safi sana. Hapo wateja watakuja.

Ongezea ufafanuzi hapa..
32gb au 16gb bei ni iyo hiyo 200,000/=?

Mteja ataipata baada ya siku ngapi!?

Delivery yako ikoje ni home au Anakuja kuchukua ulipo !?

Je , uko Tanzania mf. Dar, Arusha, Mwanza, Kigoma!?

Malipo una pokea hela baada ya mzigo kufika na kumpelekea mteja au mteja anakupa hela yote kisha unamletea mzigo!?

Ukijibu hayo maswali nakutumia wateja ..

Jamaa hauzi simu ila kakuelezea utafute katika masoko ya nje kama aliexpress,banggood n.k au kwa msaada zaidi huyu mkuu ndo ana uzi wake jinsi ya kukununulia na kukuletea simu toka ughaibuni kuja TZ (Mwl RcT) yupo humu JF
 
Chief-Mkwawa ,
Mkuu,
Safi sana. Hapo wateja watakuja.

Ongezea ufafanuzi hapa..
32gb au 16gb bei ni iyo hiyo 200,000/=?

Mteja ataipata baada ya siku ngapi!?

Delivery yako ikoje ni home au Anakuja kuchukua ulipo !?

Je , uko Tanzania mf. Dar, Arusha, Mwanza, Kigoma!?

Malipo una pokea hela baada ya mzigo kufika na kumpelekea mteja au mteja anakupa hela yote kisha unamletea mzigo!?

Ukijibu hayo maswali nakutumia wateja ..
kama alivyokujibu jamaa hapo juu siuzi simu mimi, ni ushauri tu. na bei yake huko nje ni kama 175,000 hivi kwa India. then tafuta mtu wa kukuagizishia alilete huku.
 
Ww ndo mjanja wa mjini, kusema kweli hata mm sioni tofauti kati ya simu za android, kinachonifanya kubadili simu ni kukosa updates tu wala c kingine, lakini kama ningeweza kupata updates wala nisingebadili
Mkuu utapataje very latest updates while hardware ni zile zile.
 
Nina Vimeo viwili
1 S3 imekufa camera na kioo

iPhone 6 imekufa kioo
Sijawahi ona sababu ya kubadili simu
Mkuu kioo cha s3 andaa 80k kioo cha iphone 6 jiandae 180k hadi 200k
Kama vp niuzie
 
nimeona kwenye thread ile nyengine ulivyomjibu jamaa, ni kweli manufacture wengi wamafanya hivyo ili ununue simu mpya. wengi wanatoa updates za miaka 2 tu, wachache wanazidi hapo na wengine hawatoi kabisa.

ila sasa hivi kuanzia android 8 simu yoyote itakayotengenezwa ya oreo lazima ije na kitu kinaitwa project treble, ambapo wanatenganisha operating system na vitu vya hardware kama drivers. simu itakuwa na partition mbili moja os na moja driver na mawasiliano mengine ya hardware. hivyo itakuwa ni rahisi ku update simu kuanzia android 8 pengine simu zijazo zikawa zina maisha marefu zaidi.
Mkuu kwa kuongezea tuu ni kwamba tutakuwa kama tunapiga windows hivi kwenye PC
 
kwa kuchat kupiga simu na mambo madogo madogo ila ukipewa task yoyote kubwa inadata haitafanya chochote.


ukipewa task kubwa itashindwa, ukipewa task gani kwa mfano, kuchora ramani ya nyumba?

na hiyo task kubwa utapewa na nani, mwalimu?

hahahahahaaaa....
 
ukipewa task kubwa itashindwa, ukipewa task gani kwa mfano, kuchora ramani ya nyumba?

na hiyo task kubwa utapewa na nani, mwalimu?

hahahahahaaaa....
Mkuu, raia wanataka Cim zao ziwe PC. Wanataka wa install hadi Auto CAD waanze kufanya architecture.
Mm naikubali s2 kwenye kioo mzee
Inqonesha safi sanaaaaaa hadi naipenda bure
 
Back
Top Bottom