Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 948
- 1,092
Habari Tanzania!
Naomba kuuliza wapenda nchi eti kwa muda wote huo wa umri wa nchi miaka 60 ndio tutake KATIBA MPYA?
Kwanini kwa miaka yote 60 eti ninyi mnawaza maendeleo tu yasiyo kikomo au kuakisi mahitaji?
Kwanini hawa wapenda siasa na waishio ndani yao wanapenda kuaminisha UMMA yakuwa mawazo yao ni sahihi kuliko wengine?
Kwanini Kilimo muwe mnalopoka eti ni UTI WA MGONGO wa Tanzania na kwenye KATIBA ya sasa na hiyo MPYA hakuna anayekumbusha!?
ONYO
Penda kuweka ufahamu huu " kila mtu na amuhesabie mwenzie kuwa ni bora kuliko yeye; hakika utapa ukitakacho au ukitarajiacho kutokana na mahitaji au umuhimu"
Asante
Naomba kuuliza wapenda nchi eti kwa muda wote huo wa umri wa nchi miaka 60 ndio tutake KATIBA MPYA?
Kwanini kwa miaka yote 60 eti ninyi mnawaza maendeleo tu yasiyo kikomo au kuakisi mahitaji?
Kwanini hawa wapenda siasa na waishio ndani yao wanapenda kuaminisha UMMA yakuwa mawazo yao ni sahihi kuliko wengine?
Kwanini Kilimo muwe mnalopoka eti ni UTI WA MGONGO wa Tanzania na kwenye KATIBA ya sasa na hiyo MPYA hakuna anayekumbusha!?
ONYO
Penda kuweka ufahamu huu " kila mtu na amuhesabie mwenzie kuwa ni bora kuliko yeye; hakika utapa ukitakacho au ukitarajiacho kutokana na mahitaji au umuhimu"
Asante