Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,018
- 144,377
Kawahadithie baba zenu mabeberu, halafu watawatia moyo kwakutoa tamko la kuweka vizuizi vya watanzania kuwa wamezuiliwa wasiende kununua vitumbua kwa mabeberu, ilihapo ufipani mfarijikee.Hii habari nimesoma twitter, habari inayosema watoto wadogo wanapimwa uzito kwa kuning'inizwa kwenye mti huko wilayni Tarime mkoa wa Mara(kuna picha ikionyesha tukio hilo).
Hakika nimeshangazwa sana na hii habari, ila inaelekea hali hii ni ya kawaida tu kwa baadhi ya maeneo ya nchi yetu huku tukiwa na takribani miaka 60 ya kujitawala.
Jamani vitu vingine tuone aibu kwani haiwezekani viongozi watembee na mashangingi huku watoto wetu wananing'nizwa kwenye miti kama viroba miaka 60 baada ya uhuru na watu tunaridhika tu.
Alieturoga watanzania hakika alikuwa fundi.
Hicho ndicho tulichobaki nacho inasikitisha sana.Kawahadithie baba zenu mabeberu, halafu watawatia moyo kwakutoa tamko la kuweka vizuizi vya watanzania kuwa wamezuiliwa wasiende kununua vitumbua kwa mabeberu, ilihapo ufipani mfarijikee.
Tunajenga kwanza Vyumba vya MadarasaHii habari nimesoma twitter, habari inayosema watoto wadogo wanapimwa uzito kwa kuning'inizwa kwenye mti huko wilayni Tarime mkoa wa Mara(kuna picha ikionyesha tukio hilo).
Hakika nimeshangazwa sana na hii habari, ila inaelekea hali hii ni ya kawaida tu kwa baadhi ya maeneo ya nchi yetu huku tukiwa na takribani miaka 60 ya kujitawala.
Jamani vitu vingine tuone aibu kwani haiwezekani viongozi watembee na mashangingi huku watoto wetu wananing'nizwa kwenye miti kama viroba miaka 60 baada ya uhuru na watu tunaridhika tu.
Alieturoga watanzania hakika alikuwa fundi.
Halafu kuna mwehu anatamba kajenga vituo vya afya 380..vipo wapi..?? Mbona Tarime watoto wanapimwa nje kwenye mitiHii habari nimesoma twitter, habari inayosema watoto wadogo wanapimwa uzito kwa kuning'inizwa kwenye mti huko wilayni Tarime mkoa wa Mara(kuna picha ikionyesha tukio hilo).
Hakika nimeshangazwa sana na hii habari, ila inaelekea hali hii ni ya kawaida tu kwa baadhi ya maeneo ya nchi yetu huku tukiwa na takribani miaka 60 ya kujitawala.
Jamani vitu vingine tuone aibu kwani haiwezekani viongozi watembee na mashangingi huku watoto wetu wananing'nizwa kwenye miti kama viroba miaka 60 baada ya uhuru na watu tunaridhika tu.
Alieturoga watanzania hakika alikuwa fundi.
Dah...sijaelewa mkuu....tatizo ni kupimwa kwa kuning'inizwa...au kuning'inizwa kwenye mti?Hii habari nimesoma twitter, habari inayosema watoto wadogo wanapimwa uzito kwa kuning'inizwa kwenye mti huko wilayni Tarime mkoa wa Mara(kuna picha ikionyesha tukio hilo).
Hakika nimeshangazwa sana na hii habari, ila inaelekea hali hii ni ya kawaida tu kwa baadhi ya maeneo ya nchi yetu huku tukiwa na takribani miaka 60 ya kujitawala.
Jamani vitu vingine tuone aibu kwani haiwezekani viongozi watembee na mashangingi huku watoto wetu wananing'nizwa kwenye miti kama viroba miaka 60 baada ya uhuru na watu tunaridhika tu.
Alieturoga watanzania hakika alikuwa fundi.