Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,888
- 143,985
Hii habari nimesoma twitter, habari inayosema watoto wadogo wanapimwa uzito kwa kuning'inizwa kwenye mti huko wilayni Tarime mkoa wa Mara(kuna picha ikionyesha tukio hilo).
Hakika nimeshangazwa sana na hii habari, ila inaelekea hali hii ni ya kawaida tu kwa baadhi ya maeneo ya nchi yetu huku tukiwa na takribani miaka 60 ya kujitawala.
Jamani vitu vingine tuone aibu kwani haiwezekani viongozi watembee na mashangingi huku watoto wetu wananing'nizwa kwenye miti kama viroba miaka 60 baada ya uhuru na watu tunaridhika tu.
Alieturoga watanzania hakika alikuwa fundi.
Habari husika hii hapa chini na inapatikana pia JamiiForums twitter account :
TARIME: WATOTO WANING'INIZWA MTINI KUPIMWA UZITO, WAJAWAZITO WALAZWA CHINI
- Wananchi wa Nyagisya wamesema wanafanya hivyo kwa kuwa Kijiji hakina Zahanati
- Wizara ya Afya imesema inafuatilia kwanini Uongozi haujatumia Majengo ya Serikali
Soma - Taarifa kwa Umma: Zahanati ya Mtama mkoani Mara kutoa huduma ya vipimo kwa wajawazito mezani na watoto chini ya mti
#Afya https://t.co/IdLLhkQliK
Hakika nimeshangazwa sana na hii habari, ila inaelekea hali hii ni ya kawaida tu kwa baadhi ya maeneo ya nchi yetu huku tukiwa na takribani miaka 60 ya kujitawala.
Jamani vitu vingine tuone aibu kwani haiwezekani viongozi watembee na mashangingi huku watoto wetu wananing'nizwa kwenye miti kama viroba miaka 60 baada ya uhuru na watu tunaridhika tu.
Alieturoga watanzania hakika alikuwa fundi.
Habari husika hii hapa chini na inapatikana pia JamiiForums twitter account :
TARIME: WATOTO WANING'INIZWA MTINI KUPIMWA UZITO, WAJAWAZITO WALAZWA CHINI
- Wananchi wa Nyagisya wamesema wanafanya hivyo kwa kuwa Kijiji hakina Zahanati
- Wizara ya Afya imesema inafuatilia kwanini Uongozi haujatumia Majengo ya Serikali
Soma - Taarifa kwa Umma: Zahanati ya Mtama mkoani Mara kutoa huduma ya vipimo kwa wajawazito mezani na watoto chini ya mti
#Afya https://t.co/IdLLhkQliK